Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Hahahaahaaa
Hizi sifa za kijinga! Mzazi Bora hawezi kuwa sirious kufundisha mtoto wake wa kiume kupika!
Kupika sio msingi wa maisha wa mwanamume! Hakuna mwanamume atakufa njaa kisa Hana ujuzi wa mapishi
Wewe ni msukuma?
 
Kupika ni jadi yangu na hilo haliwezi badilika, alafu sisi tunao pika ndoa zetu unakuta ziko strong hakuzalau wala nini lakini nyie mnao jifanya et siwez mpikia mwanamke sasa ndio mnaendeshwa balaa. Ninavyo ingia jikoni naingia kwa mapenzi yangu nasiendeshwi.
Ili ndoa iwe strong lazima mmoja awe mnyonge, aidha baba au mama!
 
Mkuu Sasa ukipika unaishiwa damu?, Mimi nadhani mwanamme aliyeoa sio tu napaswa kupika, Bali pia anapaswa kufua nguo, kuogesha watoto na kufanya shughuli zote za nyumbani ambazo zinafanywa na mwanamke.

Huu ni ukiritimba uliokithiri kwa baadhi ya wanaume wanaoamini kuwa wako juu kuwaliko wa wanawake, Mimi kwangu nafua nguo, naogesha watoto na kupika na pika Ila sijawahi kuona ikiwa nadharauliwa na mke wangu, zaidi ya yote, naagizwa kununua mboga, chumvi, nyanya na kadhalika .

Upendo wangu kwa mke wangu uko pale pale, yeye pia ananipenda na kuniheshimu.

Don't complicate life kijana!!
Hata wanaume walioamua kuwa mashoga hawaishiwi damu pia
 
ngoja nimalizie kutia tui hiki kisamvu kwanza mke wangu ale
 
Back
Top Bottom