- Thread starter
- #241
🤣🤣🤣Tumbo likijaa ndio kushiba kwenyewe huko. [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Tumbo likijaa ndio kushiba kwenyewe huko. [emoji23]
Kwanza hawa wananjaa kila wakatiEehh.. Maana ule mchezo unahitaji shibe, sio mie mizuka ishapanda nimemkunja mtoto wa watu aanze kulalamika njaa, au akimaliza anaanza kuagiza chipsi, kikipungua tumboni kipo kwenye sufuria, hakuna kisingizio[emoji23]
Acha wasikie njaa, ile shughuli tunayopiga pale juu si mchezo kaka, we fikiria ukikwea juu ukazipata 2,3 za kibabe yaani, moaka jasho la mstari wa ikweta, piga mahesabu mwenzio anavyozipata 7,8.. Inafika hatua hata nguvu ya kunyenyua mkono hana, viumbe vile nasi tunavichakazaga[emoji23][emoji1787]Kwanza hawa wananjaa kila wakati
🤣🤣🤣🤣we mhuni sanaAcha wasikie njaa, ile shughuli tunayopiga pale juu si mchezo kaka, we fikiria ukikwea juu ukazipata 2,3 za kibabe yaani, moaka jasho la mstari wa ikweta, piga mahesabu mwenzio anavyozipata 7,8.. Inafika hatua hata nguvu ya kunyenyua mkono hana, viumbe vile nasi tunavichakazaga[emoji23][emoji1787]
Hiyo jamii ikishasema nini kinatokea? Inakupa hela kulipa bills zako na familia?How? hakuna kitu kamq hicho kwamba ishi maisha yako usiangalie jamii inasemaje no big no. You will always be a looser
Na hizo pesa unazotafuta wewe unazipata kutoka nyumbani kwako au kutokana na wanajamii wanaokuzunguka?Hiyo jamii ikishasema nini kinatokea? Inakupa hela kulipa bills zako na familia?
Mimi siku nikitaka kutoa kichapo huwa nampikia chakula kizuri na kumwogesha, kumpaka mafuta halafu baada ya kichapo suala na poda na wanja namwachia mwenyewe.Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki? Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii?
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi. Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
Sasa mwanaume ukikimbia jukumu lako la kutafuta chakula siku ukitaka kumpikia mke wako utapika Nini kama hujatafuta?Mimi sijaumia ninajaribu kuwagungua macho wanaume wenzangu wakumbuke majukum yao wasiyakimbie.
Sasa mbona hasaidii kutafuta hela? Pika ukichoka atakusaidia.Watakwambia ni kumsaidia mkewe wakati wanasahau mke ndo msaidizi wa mume na hayo ndo maagizo ya Mungu mwenyewe.
Mpake na Poda na wanja pia🤣Mimi siku nikitaka kutoa kichapo huwa nampikia chakula kizuri na kumwogesha, kumpaka mafuta halafu baada ya kichapo suala na poda na wanja namwachia mwenyewe.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣kazi kweli kweli. Mara nyingi haya mazee yaliyooa watoto wadogo wananyanyaswa sana. Hayafanyi kwa mahaba.Unakuta zee zima na likitambi lake eti liko jikoni linakalangiza misosomolo.
Sifanyi huo ujinga asee
Hayo fanya wewe usiyetaka kupika[emoji2][emoji2]Mpake na Poda na wanja pia[emoji1787]
Yananyanyaswa hatari..kuna limoja ni lijirani langu hapa mtaani,kila jioni unalikuta liko kibalazani eti linachambua mchicha na mke wake. Unajiuliza haya ni mapenzi au uzezeta tu.🤣🤣🤣kazi kweli kweli. Mara nyingi haya mazee yaliyooa watoto wadogo wananyanyaswa sana. Hayafanyi kwa mahaba.
Hamnaga mapenzi hapo.Yananyanyaswa hatari..kuna limoja ni lijirani langu hapa mtaani,kila jioni unalikuta liko kibalazani eti linachambua mchicha na mke wake. Unajiuliza haya ni mapenzi au uzezeta tu.
Wanaume wengi nguvu zao za kiume zimepungua, acha tu wapike mkuu!Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki? Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii?
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi. Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
HahahaahaaaNyie mkubaliane msikubaliane mimi hayanihusu, ila ni hivi sisi kwetu tumefundishwa kupika tangu nina miaka 8 hivyo basi hata niwe na wake 10 lazima niingie jikoni sometimes nipike. In short napenda kupika hadi mke wangu anatabasam mwenyewe anasifia mmewangu unajua kupika [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Anataka mfumo jike! Hahahaahaaa!Asante kwa mchango wako. Hapo mfume dume uko wapi.
Anyway hizi ni stori tu.
Mfumo dume upo mbinguni, uko kwa shetani. Uko Ulaya na dunia nzima.