Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Kuna jamaa mmoja ni teacher. Utaratibu wake ni kufua nguo zote na kupika chakula cha wote kwa siku za jmosi na jpili. Kimsingi siku hizo mbili huwa ni za mke wake kwenda bar kupata bia tamu.
Mwamba mwenyewe huwa hanywi.

Hii kwenye betting sijui ndio NGUMU KUMEZA
Mkeka ulishanchanikiwa huyo mwamba.
 
Ajabu nini sasa, nikijisikia naingia jikoni namkarangizia mke wangu, vingine napatia vingine natoa boko tunachekana siku inaenda.

Hizi kazi nyingine ni wanatusaidia tu, ila kazi yake haswa ni ile tu, mguu bara mguu pwani [emoji23]
 
Ajabu nini sasa, nikijisikia naingia jikoni namkarangizia mke wangu, vingine napatia vingine natoa boko tunachekana siku inaenda.

Hizi kazi nyingine ni wanatusaidia tu, ila kazi yake haswa ni ile tu, mguu bara mguu pwani [emoji23]
Yaani wewe unapenda sana chini.... . Jokes Makaveli
 
Ajabu nini sasa, nikijisikia naingia jikoni namkarangizia mke wangu, vingine napatia vingine natoa boko tunachekana siku inaenda.

Hizi kazi nyingine ni wanatusaidia tu, ila kazi yake haswa ni ile tu, mguu bara mguu pwani [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khaaa!
 
Mwanamke anakuwa ana test dawa zake kama zimeanza kufanya kazi kama bado arudi tena kwa babu yaani mwanamke ukimsaidia kazi siku moja tu basi anaona dezo kila siku atakutest ukiingia king tu umeisha.
Acha kuwadanganya wenzio bwana. Mbona mnataka kufanya maisha yawe magumu!!!
 
Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.

Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?

Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??

Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.

Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.

Yangu ni hayo tu.
Ni sahihi kwa mwanaume anayetaka kuoa kuuliza maswali ya kipumbavu kama hili kwenye thread hii ?
 
Kabisa kabisa mzee mwenzangu. Pika boko lako mle mshibe mkapige kazi[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji1787][emoji1787]

Hivi mfano mimi nimerudi home mapema kuliko mwenzangu, au sijaingia mishe mishe na ni mzima wa afya, mwenzangu kaenda mzigoni kwanini nisipike sasa!! Mapenzi ni kuhurumiana, haya mengine tunaendekeza tu, mie nikijisikia kupika naingia jikoni naharibu haribu akija tunajaza tumbo.
 
[emoji23][emoji1787][emoji1787]

Hivi mfano mimi nimerudi home mapema kuliko mwenzangu, au sijaingia mishe mishe na ni mzima wa afya, mwenzangu kaenda mzigoni kwanini nisipike sasa!! Mapenzi ni kuhurumiana, haya mengine tunaendekeza tu, mie nikijisikia kupika naingia jikoni naharibu haribu akija tunajaza tumbo.
Bora mjaze tumbo tu maana hapo hakuna Chakula tena.
 
[emoji23][emoji1787][emoji1787]

Hivi mfano mimi nimerudi home mapema kuliko mwenzangu, au sijaingia mishe mishe na ni mzima wa afya, mwenzangu kaenda mzigoni kwanini nisipike sasa!! Mapenzi ni kuhurumiana, haya mengine tunaendekeza tu, mie nikijisikia kupika naingia jikoni naharibu haribu akija tunajaza tumbo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti naharibu!
Hayo ndio mapenzi sasa. Hatupaswi kuyafanya mapenzi kuwa mzigo jamani. Tunapaswa kuyafurahia na kutendeana mema.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti naharibu!
Hayo ndio mapenzi sasa. Hatupaswi kuyafanya mapenzi kuwa mzigo jamani. Tunapaswa kuyafurahia na kutendeana mema.
Eehh.. Naharibu haribu mwenzangu wee, maana siwezi kukarangiza kama anavyokarangizaga mwenyewe mwenye jiko lake.
 
Back
Top Bottom