Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.

Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?

Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??

Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.

Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.

Yangu ni hayo tu.
Napika Sana tu, its my interest. Shida yako wewe unachukulia maishu kama kazi ya hivyo.
 
Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.

Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?

Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??

Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.

Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.

Yangu ni hayo tu.
Ni kweli kabisa,hayo ndio yalikuwa makubaliano yetu.
 
Sio kazi yake kabisa Nawashauri wanawake ukipata pesa zako zitumie kwa raha zako. Si kazi yako kulipia watoto ada wala kununua Sembe la nyumbani.

Achia wenye majukum yao wafanye.
Na wao Wanawake wakomae na kazi zao yaani kupika,kuogesha watoto,kufua nguo,usafi wa nyumba,Kunyoosha nguo,n.k. ni kazi zao wasije wakatusumbua.
 
Back
Top Bottom