Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Dumbest comment..
Thank you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dumbest comment..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waliokiri kuwa huwa wanapika hakuna aliyekubali kwamba anapika na chapati[emoji1787][emoji1787]
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...wape mwongozo shemeji
Napika Sana tu, its my interest. Shida yako wewe unachukulia maishu kama kazi ya hivyo.Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
Ni kweli kabisa,hayo ndio yalikuwa makubaliano yetu.Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
Kutafuta pesa za familia na yeye atanisaidia??.Si unamsaidia mwenzi wako...au hujui kupika?
Si ndio hapo!!!.Watakwambia ni kumsaidia mkewe wakati wanasahau mke ndo msaidizi wa mume na hayo ndo maagizo ya Mungu mwenyewe.
Tunataka tuwaone wale wanaotusaliti kwenye jambo hili muhimu.Ni kweli kabisa,hayo ndio yalikuwa makubaliano yetu.
Sio kazi yake kabisa Nawashauri wanawake ukipata pesa zako zitumie kwa raha zako. Si kazi yako kulipia watoto ada wala kununua Sembe la nyumbani.Kutafuta pesa za familia na yeye atanisaidia??.
sawaNapika Sana tu, its my interest. Shida yako wewe unachukulia maishu kama kazi ya hivyo.
Wale wako kazini wanatafuta pesa za kuleta nyumbani. Ndicho tulichokubalinaNaona huko hotelini wanapika sana
Kila mmoja itabidi awe mlinzi wa mwenzake.Tunataka tuwaone wale wanaotusaliti kwenye jambo hili muhimu.
How? hakuna kitu kamq hicho kwamba ishi maisha yako usiangalie jamii inasemaje no big no. You will always be a looserDumbest comment..
🤣🤣Kila mmoja itabidi awe mlinzi wa mwenzake.
Na wao Wanawake wakomae na kazi zao yaani kupika,kuogesha watoto,kufua nguo,usafi wa nyumba,Kunyoosha nguo,n.k. ni kazi zao wasije wakatusumbua.Sio kazi yake kabisa Nawashauri wanawake ukipata pesa zako zitumie kwa raha zako. Si kazi yako kulipia watoto ada wala kununua Sembe la nyumbani.
Achia wenye majukum yao wafanye.
Wakiona haziwatoshi walale wapumzike wa relax watusubiri jioni tukirudi kwa kazi maalumNa wao Wanawake wakomae na kazi zao yaani kupika,kuogesha watoto,kufua nguo,usafi wa nyumba,Kunyoosha nguo,n.k. ni kazi zao wasije wakatusumbua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kweli kabisa Aisee, kazi ya kuwapelekea [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].Wakiona haziwatoshi walale wapumzike wa relax watusubiri jioni tukirudi kwa kazi maalum
Naomba kuuliza, mkeo ni mama wa nyumbani?Kutafuta pesa za familia na yeye atanisaidia??.
Ana mishe zakeNaomba kuuliza, mkeo ni mama wa nyumbani?