Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Lack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.

Kwanza nakupa challenge ni hotel gani unayoijuwa wewe Chef ni mwanamke?
Hao ndio vijana wetu hao

Maarifa zero

Wao ni kubeti, papuchi na kujazana ujinga

The lost generation
 
Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.

Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?

Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??

Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.

Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.

Yangu ni hayo tu.
Kimsingi hakuna mahali popote iwe kwenye katiba au vitabu vitakatifu kwamb mwaume asipike asipige deki wala asifue ila ni utamaduni wanaoujenga wao mume na mke na kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yk unavoishi wewe na mke wako sio ninavyoushi mimi na mke wangu
Sisi tumeadhiriwa na mfumo dume kwamb na tumeaminishwa na kukaririshwa kwamb izo ni kazi za wanawakeeee,,,,,, mwanaume kabla hajaona mbn izo kazi anazifanya vzr tuuu
 
nilikuwa sijapika mda mrefu sana, nilivyopika
tu ugali ulijaa miunga nkaamua kuumwaga, nkajarib tena wali ulijaa chumvi nkaona...ok hapa sio kwangu nkae pemben
 
Kimsingi hakuna mahali popote iwe kwenye katiba au vitabu vitakatifu kwamb mwaume asipike asipige deki wala asifue ila ni utamaduni wanaoujenga wao mume na mke na kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yk unavoishi wewe na mke wako sio ninavyoushi mimi na mke wangu
Sisi tumeadhiriwa na mfumo dume kwamb na tumeaminishwa na kukaririshwa kwamb izo ni kazi za wanawakeeee,,,,,, mwanaume kabla hajaona mbn izo kazi anazifanya vzr tuuu
mfumo dume hapo uko wapi? anyway mfumi dume uko mbinguni, kwa shetani, ulaya na dunia nzima.
 
nilikuwa sijapika mda mrefu sana, nilivyopika
tu ugali ulijaa miunga nkaamua kuumwaga, nkajarib tena wali ulijaa chumvi nkaona...ok hapa sio kwangu nkae pemben
Usipende kufanya kazi zisizo zako utaingia loss tu.
 
Back
Top Bottom