Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mkuu, kwani hapo kuna ubaya gani...🙄[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nmecheka km chizi yaan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kwani hapo kuna ubaya gani...🙄[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nmecheka km chizi yaan.
Hao ndio vijana wetu haoLack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.
Kwanza nakupa challenge ni hotel gani unayoijuwa wewe Chef ni mwanamke?
Shika adabu yako. Mimi nimeoaUmeolewa?
🤣🤣Hao ndio vijana wetu hao
Maarifa zero
Wao ni kubeti, papuchi na kujazana ujinga
The lost generation
Hakuna lugha ya mwana ndoa hapoShika adabu yako. Mimi nimeoa
Hakna ubayaaa mbna. Tena n jambo jemaMkuu, kwani hapo kuna ubaya gani...[emoji849]
Kimsingi hakuna mahali popote iwe kwenye katiba au vitabu vitakatifu kwamb mwaume asipike asipige deki wala asifue ila ni utamaduni wanaoujenga wao mume na mke na kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yk unavoishi wewe na mke wako sio ninavyoushi mimi na mke wanguJamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
Ladha ya jogooIli agundue utamu wa royco mchuzi mix
mfumo dume hapo uko wapi? anyway mfumi dume uko mbinguni, kwa shetani, ulaya na dunia nzima.Kimsingi hakuna mahali popote iwe kwenye katiba au vitabu vitakatifu kwamb mwaume asipike asipige deki wala asifue ila ni utamaduni wanaoujenga wao mume na mke na kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yk unavoishi wewe na mke wako sio ninavyoushi mimi na mke wangu
Sisi tumeadhiriwa na mfumo dume kwamb na tumeaminishwa na kukaririshwa kwamb izo ni kazi za wanawakeeee,,,,,, mwanaume kabla hajaona mbn izo kazi anazifanya vzr tuuu
Usipende kufanya kazi zisizo zako utaingia loss tu.nilikuwa sijapika mda mrefu sana, nilivyopika
tu ugali ulijaa miunga nkaamua kuumwaga, nkajarib tena wali ulijaa chumvi nkaona...ok hapa sio kwangu nkae pemben
Siku moja moja sio mbaya.Haina shida mkuu kupika hata sometime kufua maana hufanyi kila siku
Endapo .....Hakuna ubaya endapo...
Kugha ya mwanandoa ndio ikoje Mzee JanjaweedHakuna lugha ya mwana ndoa hapo
Kwani mfumo ni mbaya?Pole kijana wewe na mfumo uliokulea.