- Thread starter
- #101
Kuna wanaume wanajua kupika vizuri kama Wanawake zetu?Muda upo mwingi tu. Kwa wengine ni hobbi tena wanapenda kweli.
Wkt ww unawaza muda wanatoa wapi, yeye anawaza akitoka kwenye mihangaiko yake ajilikie nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanaume wanajua kupika vizuri kama Wanawake zetu?Muda upo mwingi tu. Kwa wengine ni hobbi tena wanapenda kweli.
Wkt ww unawaza muda wanatoa wapi, yeye anawaza akitoka kwenye mihangaiko yake ajilikie nn
Sahihi.Swal la mwanaume kupika au kusaidia kazi yoyote ile ya ndani (ambayo anaiweza), likifanyika kwa utashi wa mwanaume mwenyewe bila kutumwa na mke wake haliwezi kuondoa thamani ya uanaume wake.
Mbaya ni ile kufanya kitu fulani kwasababu mke amekutaka ufanye, nasisitiza AMEKUTAKA UFANYE.
Sokoni huwa vipo vinavyotumia umeme. Wanapiga kazi kisha unawalipa.Siku hiz nazi hazikuniwi kwenye mbuzi tena
View attachment 2181175
Mzungu alijua wanaume wengi wanaona ni aibu kukaa kwenye mbuzi na kukuna nazi akaamua kurahisha mambo
Wanaogapa 😂😂😂Waliokiri kuwa huwa wanapika hakuna aliyekubali kwamba anapika na chapati🤣🤣
Wapo sana tu.. they are masters. Cooking ni skills tu si something specialKuna wanaume wanajua kupika vizuri kama Wanawake zetu?
Kumbe bado bachelor? Welcome in thr world of no stressWanaogapa 😂😂😂
Mm huwa napika tena za kusukuma maana sio rahis kupata chapati ya kusukuma yenye radha ninayoitaka kwa wanaouza.
Sijaoa lakini ata nikioa mwanamke akawa hajui kuziandaa nitamfundisha tuwe tunaandaa wote nikiwa na mda. Sipendi vyakula vya kununua
[emoji28][emoji28][emoji28] sina uhakika sana mkuu, ila nikionaga maji yanaruka ruka tu nachukulia imeshachemka.. naipua naweka ktk kikombe, nakunywa!Nimecheka vibaya mno...
Ila mkuu chai yenyewe huwa ina iva kweli??
Au nayo huwa inaungua pia [emoji847][emoji4]
Waambie washike adabu zao, tena wanitunzie heshma yangu...🤨Ushimen kuna wadau wanauliza huku eti huwa una kuna na nazi?
🤣🤣🤣Waambie washike adabu zao, tena wanitunzie heshma yangu...🤨
Mkuu sijasema kuna mtu anadharaulika. Soma vizuri uzi wangu.Mkuu Sasa ukipika unaishiwa damu?, Mimi nadhani mwanamme aliyeoa sio tu napaswa kupika, Bali pia anapaswa kufua nguo, kuogesha watoto na kufanya shughuli zote za nyumbani ambazo zinafanywa na mwanamke.
Huu ni ukiritimba uliokithiri kwa baadhi ya wanaume wanaoamini kuwa wako juu kuwaliko wa wanawake, Mimi kwangu nafua nguo, naogesha watoto na kupika na pika Ila sijawahi kuona ikiwa nadharauliwa na mke wangu, zaidi ya yote, naagizwa kununua mboga, chumvi, nyanya na kadhalika .
Upendo wangu kwa mke wangu uko pale pale, yeye pia ananipenda na kuniheshimu.
Don't complicate life kijana!!
MamaJ mbona anakusumbua sanaHuo Ujinga sifanyi,
Labda nijiskie TU mwenyewe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nmecheka km chizi yaan.Mkuu, mimi hua napika na wakati waifu anaangalia tamthilia sebleni kisha nampakulia kabisa na kabla hajaanza kula nahakikisha nimemnawisha kwa maji safi tena yalio chemshwa.
Na saizi ndio nimemaliza kuosha vyombo, nikimaliza ku comment hapa nataka nika deki nyumba...[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora useme wee.Lack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.
Kwanza nakupa challenge ni hotel gani unayoijuwa wewe Chef ni mwanamke?
Ahsanteeeeeeeeh.Mkuu Sasa ukipika unaishiwa damu?, Mimi nadhani mwanamme aliyeoa sio tu napaswa kupika, Bali pia anapaswa kufua nguo, kuogesha watoto na kufanya shughuli zote za nyumbani ambazo zinafanywa na mwanamke.
Huu ni ukiritimba uliokithiri kwa baadhi ya wanaume wanaoamini kuwa wako juu kuwaliko wa wanawake, Mimi kwangu nafua nguo, naogesha watoto na kupika na pika Ila sijawahi kuona ikiwa nadharauliwa na mke wangu, zaidi ya yote, naagizwa kununua mboga, chumvi, nyanya na kadhalika .
Upendo wangu kwa mke wangu uko pale pale, yeye pia ananipenda na kuniheshimu.
Don't complicate life kijana!!
Umeolewa?Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.