- Thread starter
- #81
Si ndio vyakula vinaandaliwa jikoni?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana eti kachori na kukuna nazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio vyakula vinaandaliwa jikoni?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana eti kachori na kukuna nazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushimen kuna wadau wanauliza huku eti huwa una kuna na nazi?Mkuu, mimi hua napika na wakati waifu anaangalia tamthilia sebleni kisha nampakulia kabisa na kabla hajaanza kula nahakikisha nimemnawisha kwa maji safi tena yalio chemshwa.
Na saizi ndio nimemaliza kuosha vyombo, nikimaliza ku comment hapa nataka nika deki nyumba...😊
Hahahah umenikumbusha siku nimeenda ukweni baada ya long time.Mimi niko vizuri sana kwenye kupika. Ila hua napika siku nikijisikia, siku hiyo nawaambia wote kaeni pembeni leo napika mimi! Nafyatua kitu cha uhakka mtaa mzima wanaulizana.
Pili kuna aina ya vyakula, mfano kama nimenunua BEBERU langu nataka nile na washkaji siwezi kamwe kumpa wife anichomee!
Jambo hema Baba kuwalikia wanaye. Inapendeza. Pia kuna ile akina sisi tulizaliwa madume tupu.Hayo ni malezi tu yanakuja kujenga mazoea
Mi msure huwa anapika enzi anatulea kama single Dad ila hata alipooa tuko wakubwa weekends anatoa hizo treat.
Lakin kwenye makuzi yao wanasema mama yao alikua hawatenganishi kazi za jikoni sijui za mwanamke
Hata nakua naona mabinam zangu wakiume wakiwa kwenye zamu ya upishi, vyombo sa hapo baadae kimoja kinaweza kua hobby...
Wala si kurogwa.
mleta mada mchonganishiTupikieni Jamani msimsikize mleta mada..
Muda upo mwingi tu. Kwa wengine ni hobbi tena wanapenda kweli.Hapana ila tu nawaza huo muda wanaupata wapi? Au wake zao wanapika vyakula visivyo na ladha?
Siku hiz nazi hazikuniwi kwenye mbuzi tenaUshimen kuna wadau wanauliza huku eti huwa una kuna na nazi?
Hii phrase naona inatambaa sana, hivi ilianzia wapi mkuu?Maake hapo kwanza ncheke😂😂😂
Lack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
Hotel ni kazini. Nyumbani is home of Mahaba tu.Lack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.
Kwanza nakupa challenge ni hotel gani unayoijuwa wewe Chef ni mwanamke?
Hahahaa yale ya kitangaMbona ni maisha ya kwaida tu. Yani kama mimi kuna mboga au msosi flani nikitaka kula kujigalagaza namuachia mzee baba jiko.
Mkuu unafikir mahaba ni mpaka ubebwe upelekwe bafuni?
Nimecheka vibaya mno...Kuna wanaume wenzetu wana vipaji vingi sana.
Mambo ya kupika Mimi ndio siwezagi.
Kitu pekee nachoweza kupika ni chai tu labda na kuchemsha maji ya kuoga.
Kuna siku nilijaribu kupika ugali, nikashangaa nimejaza maunga unga tu ukatokea uji mzitoooo... nikashindwa kuelewa niufanyeje [emoji848] nikaumwaga!!! Dah nikasema ngoja nijaribu kupika wali nikashangaa mchele umanasa nasa kwenye sufuria na umeungua...
Ilibidi nikubali tu yaishe nikaendelea na ratiba zangu za kula kwenye vibanda umiza [emoji848][emoji848]
Imewarahusishia wapishi wa kiume.Siku hiz nazi hazikuniwi kwenye mbuzi tena
View attachment 2181175
Mzungu alijua wanaume wengi wanaona ni aibu kukaa kwenye mbuzi na kukuna nazi akaamua kurahisha mambo
Jamaa kanichekesha sana hata mimi.Nimecheka vibaya mno...
Ila mkuu chai yenyewe huwa ina iva kweli??
Au nayo huwa inaungua pia 🤗😊
Waliokiri kuwa huwa wanapika hakuna aliyekubali kwamba anapika na chapati🤣🤣Elements za udada dada
huyu sio Afsa kelphin kepph kweli??