Katka haya maisha jaribu kutolazmisha vle unavyoamin bas kila mtu aamini hivyo, ww huon haja ya kusaidia mwenza wko lkn wngne n destur na wanafanya kwa moyo wakupenda bila kushurutshwa.
Uslazmshe tufanane, na pia mwanamke n msaidz kwahiyo mnafanya wote kwa kusaidiana kila jukumu, na s kibaraka ama kijakaz hilo liweke kwny akili yako.
Lkn pia kuna kuumwa na pia kuna kuchoka, kumsaidia kupka kuosha, vyombo kufua, hata kudeki s uzoba bali n kujitambua na kutambua hauish na kijakaz.
Acha mfumo dume, na ubinafs. Kwa leo yangu n hayo.