Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

We unapika kaka? Kama hupiki nini kinakuuma hivyo hadi unaanzisha uzi? We unahisi mambo yote unayofanya yanawafurahisha wanaume wenzio? Mbona hawakusemi na wanakuacha na machaguo yako?

Hujui kuna wanaume wanatafuta hela na wanazo kukuzidi, alafu wanatoa hicho kichapo kwa wake zao kukuliko wewe na hao hao wanasaudia wake zao kupika na wana enjoy life kukuliko?
 
Sio wote wanafanya kazi kwa muhindi kama wewe, kuingia saa 12 kutoka haijulikani.
Kazi ni uhai, ni kipimo cha ukamilifu wa utu, bila kujali anafanya kazi kwa nani
 
Mwanamke anakuwa ana test dawa zake kama zimeanza kufanya kazi kama bado arudi tena kwa babu yaani mwanamke ukimsaidia kazi siku moja tu basi anaona dezo kila siku atakutest ukiingia king tu umeisha.
 
Sio kwamba kisa ni mwanamke bas anajua kupika kila kitu kama kinavyo takiwa.

Sio Siku zote mke atakuwa na afya na nguvu za kuweza kunyanyuka kukupikia

Ni moja ya njia za kudumisha mapenzi yao, kuonesha appreciation juu ya kaz nzuri anayoifanya kwa kumuhudumia mme pamoja na familia bas anaamua kumpa zawadi ya kumpikia chakula kizuri

Kupika ni interest kama kishabikia mpira au movies.
 
We unapika kaka? Kama hupiki nini kinakuuma hivyo hadi unaanzisha uzi? We unahisi mambo yote unayofanya yanawafurahisha wanaume wenzio? Mbona hawakusemi na wanakuacha na machaguo yako?

Hujui kuna wanaume wanatafuta hela na wanazo kukuzidi, alafu wanatoa hicho kichapo kwa wake zao kukuliko wewe na hao hao wanasaudia wake zao kupika na wana enjoy life kukuliko?
Mmh! kazi kweli kweli
 
Sio kwamba kisa ni mwanamke bas anajua kupika kila kitu kama kinavyo takiwa.

Sio Siku zote mke atakuwa na afya na nguvu za kuweza kunyanyuka kukupikia

Ni moja ya njia za kudumisha mapenzi yao, kuonesha appreciation juu ya kaz nzuri anayoifanya kwa kumuhudumia mme pamoja na familia bas anaamua kumpa zawadi ya kumpikia chakula kizuri

Kupika ni interest kama kishabikia mpira au movies.
Safi sana mkuu
 
Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.

Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?

Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??

Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.

Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.

Yangu ni hayo tu.
Kuna huyo mmoja anakuna hadi nazi 😂😂 basi akiweka chumvi anaonja mwenyewe kwa mwiko kama imekolea yani ni huruma
 
Ni msaidizi kwel hujakosea, kwa iyo pika kwanza ukichoka ukusaidie [emoji23][emoji23][emoji23]
Kupika ndo miongoni mwa kazi za mwanamke kumsaidia mumewe wakati mumewe akiwa katika harakati za kutafuta pesa. Kuna msemo wanasema mwanamume hakai jikoni. Na mume akioa wanasema kapata jiko iweje sasa apike yeye na jiko lipo?
 
Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.

Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?

Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??

Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.

Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.

Yangu ni hayo tu.
Una miaka mingapi?
 
Kupika ndo miongoni mwa kazi za mwanamke kumsaidia mumewe wakati mumewe akiwa katika harakati za kutafuta pesa. Kuna msemo wanasema mwanamume hakai jikoni. Na mume akioa wanasema kapata jiko iweje sasa apike yeye na jiko lipo?
Wanaopika acha wapike lakini wasijitetee eti wanawasaidia wake zao.
 
Back
Top Bottom