Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
We unapika kaka? Kama hupiki nini kinakuuma hivyo hadi unaanzisha uzi? We unahisi mambo yote unayofanya yanawafurahisha wanaume wenzio? Mbona hawakusemi na wanakuacha na machaguo yako?
Hujui kuna wanaume wanatafuta hela na wanazo kukuzidi, alafu wanatoa hicho kichapo kwa wake zao kukuliko wewe na hao hao wanasaudia wake zao kupika na wana enjoy life kukuliko?
Hujui kuna wanaume wanatafuta hela na wanazo kukuzidi, alafu wanatoa hicho kichapo kwa wake zao kukuliko wewe na hao hao wanasaudia wake zao kupika na wana enjoy life kukuliko?