Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Hahahaahaaa
Hizi sifa za kijinga! Mzazi Bora hawezi kuwa sirious kufundisha mtoto wake wa kiume kupika!
Kupika sio msingi wa maisha wa mwanamume! Hakuna mwanamume atakufa njaa kisa Hana ujuzi wa mapishi
Wewe ni msukuma?
 
Ili ndoa iwe strong lazima mmoja awe mnyonge, aidha baba au mama!
 
Hata wanaume walioamua kuwa mashoga hawaishiwi damu pia
 
ngoja nimalizie kutia tui hiki kisamvu kwanza mke wangu ale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…