Kazi ni uhai, ni kipimo cha ukamilifu wa utu, bila kujali anafanya kazi kwa naniSio wote wanafanya kazi kwa muhindi kama wewe, kuingia saa 12 kutoka haijulikani.
Sasa huku ni kupangia watu waishi unavyotaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli kabisa.
wanaume wengi wamekimbia majukum yao wameanza kujipikilisha
Mmh! kazi kweli kweliWe unapika kaka? Kama hupiki nini kinakuuma hivyo hadi unaanzisha uzi? We unahisi mambo yote unayofanya yanawafurahisha wanaume wenzio? Mbona hawakusemi na wanakuacha na machaguo yako?
Hujui kuna wanaume wanatafuta hela na wanazo kukuzidi, alafu wanatoa hicho kichapo kwa wake zao kukuliko wewe na hao hao wanasaudia wake zao kupika na wana enjoy life kukuliko?
🤣🤣🤣Kwani kama umeoa na ukapika...huo uanaume wako unapotea?
Kutafuta hela kunakwisha?
Maisha sio magumu hivyo kijana.
🤣🤣🤣Sasa huku ni kupangia watu waishi unavyotaka
Achana na maisha ya watu waache waishi wanavyo penda
We inakukera nn
Acha kiherehere
Safi sana mkuuSio kwamba kisa ni mwanamke bas anajua kupika kila kitu kama kinavyo takiwa.
Sio Siku zote mke atakuwa na afya na nguvu za kuweza kunyanyuka kukupikia
Ni moja ya njia za kudumisha mapenzi yao, kuonesha appreciation juu ya kaz nzuri anayoifanya kwa kumuhudumia mme pamoja na familia bas anaamua kumpa zawadi ya kumpikia chakula kizuri
Kupika ni interest kama kishabikia mpira au movies.
🤣🤣🤣Mixologist kuwa uyaoneAnapika chapati?
Kuna huyo mmoja anakuna hadi nazi 😂😂 basi akiweka chumvi anaonja mwenyewe kwa mwiko kama imekolea yani ni hurumaJamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
The Happiness kamsemo ketu..!Maake hapo kwanza ncheke😂😂😂
Kupika ndo miongoni mwa kazi za mwanamke kumsaidia mumewe wakati mumewe akiwa katika harakati za kutafuta pesa. Kuna msemo wanasema mwanamume hakai jikoni. Na mume akioa wanasema kapata jiko iweje sasa apike yeye na jiko lipo?Ni msaidizi kwel hujakosea, kwa iyo pika kwanza ukichoka ukusaidie [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa ingawa kila mtu ana uhuru wa kuishi anavyotaka lakini huyo mwenzetu kachagua uhuru mbaya🤣Kuna huyo mmoja anakuna hadi nazi 😂😂 basi akiweka chumvi anaonja mwenyewe kwa mwiko kama imekolea yani ni huruma
Una miaka mingapi?Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
Wanaopika acha wapike lakini wasijitetee eti wanawasaidia wake zao.Kupika ndo miongoni mwa kazi za mwanamke kumsaidia mumewe wakati mumewe akiwa katika harakati za kutafuta pesa. Kuna msemo wanasema mwanamume hakai jikoni. Na mume akioa wanasema kapata jiko iweje sasa apike yeye na jiko lipo?
Miaka ya nini Mkuu? Umri wangu?Una miaka mingapi?