Ni sahihi kwenda kula nyama choma, huku familia ikishindia mboga za majani?

Ni sahihi kwenda kula nyama choma, huku familia ikishindia mboga za majani?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.

Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.

Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.

Inabidi tubadilike, familia kwanza.​
 
pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.
images00.jpg
 
Kwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.

Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.

Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.

Inabidi tubadilike, familia kwanza.​
Yes. Familia kwanza. Hao wengine wanakutafuna na kufyonza kama muwa halafu ukishabaki ganda(empty) wanakutema, tupa kule na kutafuta juha mwingine tena.
Wanatumia sana neno la "Acha ubahili bhana".
 
I think mtu anaekua selfish ahdi kwa familia yake hajawah kua tayari kuwa na majukum ya kifamilia.
Personalky naamini familia yangu inaanza kwanza ndo wengineo wanafurahi. So ni heri ninunue hyo nyama choma, ifungwe niende nayo kitengo (home) wote tudonoe donoe.. hata kama n finyango moja lakn wote wabaki wameenjoy
 
Siku zote familia kwanza kisha ndio marafiki,sio tu kula nyama bali hata kua na muda wa kukaa na familia yako Nyumbani,wape muda home wa kukaa na wewe.
Sahihi kabisa mkuu. Imewahi kutokea watoto hawamjui baba kwa sababu baba anarudi saa 5-7 uck wakati watoto wameshalala na asubuhi watoto wanapoamka na kulekea shuleni baba anakuwa bado amelala. Siku zinaenda, wiki zinakatika na mwisho mtoto akimwona baba anaingia ndani, anamkimbilia mama chap na kumwambia "mama, mama kuna mgeniii" Ni aibu iliyoje?
 
Kwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.

Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.

Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.

Inabidi tubadilike, familia kwanza.​
Why not?
 
Back
Top Bottom