Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Wachache ndio wanalitambua hiloYes. Familia kwanza. Hao wengine wanakutafuna na kufyonza kama muwa halafu ukishabaki ganda(empty) wanakutema, tupa kule na kutafuta juha mwingine tena.
Wanatumia sana neno la "Acha ubahili bhana".
Dah! Unashindwa kujipambanua na unakuwa mbinafsi hata kwa familia yako?Kiafya sio nzuri, ila kijamii, watu ni wabinafsi
Anahofia kutokana na ukubwa wa familia, hatofaidi nyama chomaDah! Unashindwa kujipambanua na unakuwa mbinafsi hata kwa familia yako?
Ni wachache wanaolitambua hiliSiku zote familia kwanza kisha ndio marafiki,sio tu kula nyama bali hata kua na muda wa kukaa na familia yako Nyumbani,wape muda home wa kukaa na wewe.
Ndivyo inavyotakiwa mkuuI think mtu anaekua selfish ahdi kwa familia yake hajawah kua tayari kuwa na majukum ya kifamilia.
Personalky naamini familia yangu inaanza kwanza ndo wengineo wanafurahi. So ni heri ninunue hyo nyama choma, ifungwe niende nayo kitengo (home) wote tudonoe donoe.. hata kama n finyango moja lakn wote wabaki wameenjoy
Mboga za majani ni bora kuliko nyamaKwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.
Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.
Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.
Inabidi tubadilike, familia kwanza.
Ni sawa na kusema, kutembea kwa miguu ni afya, ambapo kijana kila siku lazima atembee km 5 kufika shuleSahihi kabisa. Mboga za majani zina afya sana tujali familia zetu kwa mboga mboga
Sasa, kwa nini wewe unayeenda kula kuku, usile mboga za majani?Mboga za majani ni bora kuliko nyama
Kwa nini usile wewefamilia lazima ile mboga za majani zinajenga afya ya watoto nyama choma sio nzuri kwa afya za watt wakaenwale watulie na mama yao
Duuuh kwahiyo anakuwa Empty shell?Yes. Familia kwanza. Hao wengine wanakutafuna na kufyonza kama muwa halafu ukishabaki ganda(empty) wanakutema, tupa kule na kutafuta juha mwingine tena.
Wanatumia sana neno la "Acha ubahili bhana".
Labda niulize: Hiyo familia kubwa nani kaiunda? Unajua kuzaa tu bila kujua kulea? Infact ulaji wa nyama choma kulikopitiliza ni Hatari kwa Afya yako.Anahofia kutokana na ukubwa wa familia, hatofaidi nyama choma
Kwa sababu Ukimwondoa mke wako; watoto wako wa kuzaa mwenyewe ni 50% damu yako wewe. Je, unawezaje kujitenga na kutokujipenda wewe mwenyewe ndani ya watoto wako?Why not?
Ndio kabisa. Mfukoni na Kichwani kwa wakati mmoja.Duuuh kwahiyo anakuwa Empty shell?
Obviously wewe ni Marioo, unaonaga Mume wa dada yako akitoka akiwaacha sebuleni. Tafuta maisha achana na umarioo.Kwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.
Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.
Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.
Inabidi tubadilike, familia kwanza.
Wee hujui tuu kwa nini tunaenda bar kumwagilia moyo....hawa wanawake ukikaa nao ndani mwa nyumba mtarushiana maneno thu. Bora utulie na wana huko muda mcchache ndio utumie home na wife lah sivyo utajikuta umepiga mtu ngumiKwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.
Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.
Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.
Inabidi tubadilike, familia kwanza.
Huo ni usaliti unatakiwa upigwe shabaKwenda bar nakuagiza; mbuzi, kuku, kitimoto, nyama choma, pamoja na kumwagilia moyo na marafiki; huku familia umeiacha ikila mboga za majani, sio uungwana.
Itapendeza zaidi, kama utakuwa na familia yako; wote mkiwa mnatumia kwa pamoja, na si wewe na marafiki wakati huko nyumbani kwako wananung'unika.
Mwisho wa siku, unaopiga nao kilaji watakutelekeza, na utabaki na ile familia yako iliyokuwa ikishindia mboga za majani.
Inabidi tubadilike, familia kwanza.
Chakula bora kinapimika baada ya kufika tumboni; tuanzie pale chakula kikiwa mdomoni, nani alifurahia ladha nzuri?
Mbona hajatuambia kana kwamba kuna wategemezi katika familia?Obviously wewe ni Marioo, unaonaga Mume wa dada yako akitoka akiwaacha sebuleni. Tafuta maisha achana na umarioo.
Yeye nwenyewe tegemezi atasemaje sasa? Hivi mtu anayehesabu leo amekula mboga gani ni mtu wa namna gani?! Lazima ni hopeless person.Mbona hajatuambia kana kwamba kuna wategemezi katika familia?