Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Naomba utembelee hiyo link hapo chini maulamaa wenzako watakuelewesha uujue uislam
Muslim scholars agree that Mohammed sodomized child Aiysha

Haina haja ya kutembelea hiyo link Mkuu,Mimi ni mwislam naujua uislam,naujua ukiristo vile vile,namkubali Yesu kama Mtume wangu,lakini smkubali Mafundisho ya Paulo,..

Mkuu unajua kuwa asilimia 70% ya maandishi ya biblia ni mafunzo ya Paulo!!??,Mimi nafuata mafunzo na gospel ya Yesu sio ya Matayo,Luka,Yohana nk,,,lakini sikufahamu kwanini umeleta huu uzi,au mistari ya Biblia niliyokuwa naweka imekugusa!!?

Turudi kwenye hoja,Aliyoyafanya Mohammad miaka hiyo ilikuwa ni itikadi na mila za makabila mingi dunia nzima,mfano mama angu aliolewa ana miaka kumi na moja,(10) hapa Tanzania wakati huo

Marekani na Ulaya imeacha kuwaozesha watoto wadogo katika karne ya kumi na tisa,mpaka 2006 ilikuwa ni halali kumuoa mtoto wa miaka 12 kule Marekani katika baadhi ya majimbo,mtoto wa kike wa miaka kumi na mbili anaochukuliwa kama mkubwa..

Katika Uislam mtoto wa kike akiwa amesha balekhe,ameshafika siku zake za kupata hedhi, anachukuliwa kama mkubwa,lakini sheria inasema haina maana mtoto umuoe kwa kumwingilia kimapenzi,unamchukua mkeo kwa kumuweka ndani kwa kumlea,kumbuka kuwa uislam ni ruhusa kuoa wake wanne(4)..

Sheria za ndoa katika dini ya kiisalm imelenga kumlinda na kumuenzi mwanamke ili kupunguza umala na uhasaharati katika nchi husika,kwavile wanawake wanazaliwa wengi kuliko wanaume, mafano hivi sasa kila mwanamme wa kitanzania anatakiwe awe na zaidi ya wanawake watano ili kufanya kila mwanamke apate mume..

Anyway,hayo mambo ya Muhamad ya kuoa mtoto mdogo hayatuhusu sisi waafrika hizo ni propaganda za wakristo wa ulaya kuhusu uislam,..

Huku Afrika mpaka leo kuna makabila mengi tu wanaoa watoto wakike pale tu wanapopata siku zao(hedhi) kwa mara ya mwanzo yaani kuanzia miaka 10,11,12

Je ukristo unasemaje kuhusu mwanamke wa kikiristo hasa kuhusu ndoa??
 
TZ Mbongo

Nje ya dini sheria ni maelewano tena kwa kura,kwa utashi wa nyie wananchi,sio mnaandikiwa na mpuuzi mmoja halafu anasema katumwa!

Umeona tofauti mzee?
Mkuu kwani hapa tunajadiliana tofauti ya jinsi zinavyopatikana sheria za dini na za serikali zetu? Maana naona umejikita huko ambapo mie sipo kabisa.

Tatizo lako ni chuki kwa dini na ndiyo unataka ionekane kana kwamba dini zina sheria kwa ajiri ya kuwakomoa waumini wake na hizi sheria zetu ni kama vile ndiyo ziko kwa ajiri ya kuwaridhisha watu.

Hebu weka chuki za dini pembeni ili tujadiliane vizuri,mbona wengine tumeweka ushabiki wa dini pembeni.
 
Us

Usibadili dini ina madhara makubwa kwako. Unaweza ukaanya hivyo, lakini siku ukipewa talaka je utarudi kuwa mkiristo tena? Angalia pande zote za shilingi. Hata kama umesema anakupenda, mimi naona kama hicho ni kikwazo kikubwa sana kwako. Ebu jaribu kumwambia yeye abadili dini, akufuate huko uliko kama kweli na yeye anakupenda. Nadhani kama atafanya hivyo atakuwa kweli amekupenda. Kwanza wazazi wako walishakukataza na kumbuka asiyesikia la wazazi dunia humfunza. Wao wameona mengi na wanajua kwanini. Wazazi wako mwenyewe sio kama wana kukataza kwakuwa wana wivu na wewe, la hasha ni kwakuwa wana upendo wa agape kwako.
Wazazi nao hukosea,pengine hata huyo mwanaume pia ana wazazi wake unadhani wao watakubali kijana wao abadili?
 
Swala la kuongeza mke halija katazwa kisheria za dini, lakini pia haulazimishwi kuoa mke zaidi ya mmoja, tena unakuwa discouraged kama imani yako ni hafifu. Swala ni la mtu binafsi, wapo waislam wengi wasiotaka kusikia kabisa swala la mke zaidi ya mmoja. Si ajabu huyo mwenza wako hapendi hilo swala
Kama mimi..wake wengi watoto wengi..maisha magumu ndugu, haya yamebaki vijijin huko ambako wazee hawajali uduma bora kwa familia
 
wewe hujui tu maisha nampenda ila kakujua hii dini ni rahisi kuachwA.
leo niko naye kesho talaka na upande mwingine tunapendana.

Kuwaza kuachwa ni sawa kuwaza kufa. Kuna vitu vingine hupaswi kuviwazia coz vinatokea kama emergency. Hakuna anaepanga kumuacha ampendae. Cha kufanya ni kumuomba Mungu aealindie ndoa yenu.
 
Wanaobadilisha dini kwa ajili ya ndoa, hiyo ndoa kwa 83% haitafanikiwa, cc Nuh Mziwanda


Kama kweli unapenda na kuamini kwenye uisilamu ndio sababu pekee itakayoipa ndoa yako uimara na sio MAPENZI,


MAPENZI ya kiisha hamu ya kubakia kwenye uisilamu itapotea tu.

naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
 
Mkuu kama Yesu kasema hakuja kutengua Sheria(Taurati_= Agano la kale),mbona wakristo wa siku hizi wanatengua sheria!??,mbona mnakula nguruwe,mbona hamtahiriwi,mbona hamsali kama alivyosali Yesu,au livyosli Musa!??

John ndio kambatiza Yesu,John mbatizaji alikata kumbatiza Yesu kwasababu aalimuona Yesu tayari nini mtu mtakatifu,sasa kama ubatizo umetoka mbinguni amekuja nao nani!? Yesu au John mbatizaji...

Jibu)Uislam ni dini iko wazi kwa kila kitu,kweli muislamu ameruhusiwa kula Nguruwe kama hamna chakula chengine cha kula,ili kunusuru maisha ya yake!,..,

kumbuka Nguruwe ni mnyama alieumbwa na Mungu kama wanyama wengine sema ana kasoro zake ambazo ndio zimefanya isiwe vizuri kwa mwanadamu kumla

Ukweli uharamu wa nguruwe umeelezwa kwenye agano la kale kwa kina kuliko kwenye Kuran,kwenye Kuran haikuelezwa sababu za kwanini wanadamu wamekatazwa kule Nguruwe,..

kwenye Agao la kale imeelezwa sababu za kukatazwa mwanadamu kule nguruwe,lakini nashangaa kuwa wakristo wa leo ndio wanaongoza kula Nguruwe..

Mkuu unajua kwanini Yesu alisema:- " Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino"..
unajua wakristo mnasoma Biblia msitari mmoja mmoja,bila ya kujua madhumuni ya kisa chenyewe..

Mkuu umeweka mistari mbingi ya biblia mambyo haiko kwenye hii topic...sasa sijui unaisomaje Biblia,sijui unaisoma kwa kuifahamu unachagua mistari unayoipenda na kuisoma..
A: Kwenye kipengele cha kwanza nilikua nakuonyesha jinsi ilivyo muhimu kubatizwa kama unamuamini Yesu na kuifuata Sheria.
Nanyi hambatizwi.

Kipengele cha Pili nilikua nakupa highlights ukasome Mathayo 5. Huone tafsiri ya Yesu ilivyo. Na jinsi mnavyompinga mengi ya mafundisho yake ya msingi. ILI UUFAHAMU UKAMILIFU WA KIMUNGU VILE UNATAKA.
*************************


B: Unaweza ukasoma Marko yote mimi nitagusia hili kipengele kidogo.

Marko 7:18-23
18 Akawaambia, HIVI HATA NINYI HAMNA AKILI? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia UNAJISI;
19 Kwa sababu hakimwingii moyoni, ILA TUMBONI TU; kisha chatoka kwenda CHOONI ? Kwa kusema hivi ALIVITAKASA VYALULA VYOTE.
20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
22 wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.


C: KUHUSU 'JINO KWA JINO'.

Yesu anisistiza.msamaha

Mathayo 6:12
Utusamehe deni zetu,
kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


Mathayo 18:21-22
21 Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba?
22 Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bBALI HATA MARA SABA SABINI.

Mathayo 5:43-44
43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
[44]lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

*******

D: Unaweza ukaangalia mwenyewe na kugundua kua jinsi mlivyo Kinyume na Neno la Kristo.


Luka 11:23
23 Mtu ambaye si pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutawanya.





D: Hamsali sala ya Baba Yetu.
 
Haina haja ya kutembelea hiyo link Mkuu,Mimi ni mwislam naujua uislam,naujua ukiristo vile vile,namkubali Yesu kama Mtume wangu,lakini smkubali Mafundisho ya Paulo,..

Mkuu unajua kuwa asilimia 70% ya maandishi ya biblia ni mafunzo ya Paulo!!??,Mimi nafuata mafunzo na gospel ya Yesu sio ya Matayo,Luka,Yohana nk,,,lakini sikufahamu kwanini umeleta huu uzi,au mistari ya Biblia niliyokuwa naweka imekugusa!!?

Turudi kwenye hoja,Aliyoyafanya Mohammad miaka hiyo ilikuwa ni itikadi na mila za makabila mingi dunia nzima,mfano mama angu aliolewa ana miaka kumi na moja,(10) hapa Tanzania wakati huo

Marekani na Ulaya imeacha kuwaozesha watoto wadogo katika karne ya kumi na tisa,mpaka 2006 ilikuwa ni halali kumuoa mtoto wa miaka 12 kule Marekani katika baadhi ya majimbo,mtoto wa kike wa miaka kumi na mbili anaochukuliwa kama mkubwa..

Katika Uislam mtoto wa kike akiwa amesha balekhe,ameshafika siku zake za kupata hedhi, anachukuliwa kama mkubwa,lakini sheria inasema haina maana mtoto umuoe kwa kumwingilia kimapenzi,unamchukua mkeo kwa kumuweka ndani kwa kumlea,kumbuka kuwa uislam ni ruhusa kuoa wake wanne(4)..

Sheria za ndoa katika dini ya kiisalm imelenga kumlinda na kumuenzi mwanamke ili kupunguza umala na uhasaharati katika nchi husika,kwavile wanawake wanazaliwa wengi kuliko wanaume, mafano hivi sasa kila mwanamme wa kitanzania anatakiwe awe na zaidi ya wanawake watano ili kufanya kila mwanamke apate mume..

Anyway,hayo mambo ya Muhamad ya kuoa mtoto mdogo hayatuhusu sisi waafrika hizo ni propaganda za wakristo wa ulaya kuhusu uislam,..

Huku Afrika mpaka leo kuna makabila mengi tu wanaoa watoto wakike pale tu wanapopata siku zao(hedhi) kwa mara ya mwanzo yaani kuanzia miaka 10,11,12

Je ukristo unasemaje kuhusu mwanamke wa kikiristo hasa kuhusu ndoa??
Hapa ndio unataka kutoa tafsiri ama picha ya kua;-
ile ambayo tunaiona ni Mila Potofu kitabibu.

Laiti Mohammad angezaliwa ulaya, angeilaani mila hii potofu, kulingama na vile jamii inaona inafaa ?.

Ambapo aliibariki Mila hii ya waarabu wajahilia.

Yaani ukweli ni subjective na Mila iliyopo zaidi kwa wakato huo

Q. Na ukeketaji wanawake je?
 
Upendo wa dhati hauna dini.

Sijapata majibu hadi leo hii kati ya mkristo na muislamu ni nani hakubaliki kwa Mungu?

Mungu sio mbaguzi

Ni kweli, only if you are just religious hauko kwenye ukristo wala uislam, otherwise challenge ipo pale pale! Mtaamini Mungu mmoja ila mgawanyiko wa huyu anaamini mtume na yule Yesu, sio rahisi.
 
Haina haja ya kutembelea hiyo link Mkuu,Mimi ni mwislam naujua uislam,naujua ukiristo vile vile,namkubali Yesu kama Mtume wangu,lakini smkubali Mafundisho ya Paulo,..

Mkuu unajua kuwa asilimia 70% ya maandishi ya biblia ni mafunzo ya Paulo!!??,Mimi nafuata mafunzo na gospel ya Yesu sio ya Matayo,Luka,Yohana nk,,,lakini sikufahamu kwanini umeleta huu uzi,au mistari ya Biblia niliyokuwa naweka imekugusa!!?

Turudi kwenye hoja,Aliyoyafanya Mohammad miaka hiyo ilikuwa ni itikadi na mila za makabila mingi dunia nzima,mfano mama angu aliolewa ana miaka kumi na moja,(10) hapa Tanzania wakati huo

Marekani na Ulaya imeacha kuwaozesha watoto wadogo katika karne ya kumi na tisa,mpaka 2006 ilikuwa ni halali kumuoa mtoto wa miaka 12 kule Marekani katika baadhi ya majimbo,mtoto wa kike wa miaka kumi na mbili anaochukuliwa kama mkubwa..

Katika Uislam mtoto wa kike akiwa amesha balekhe,ameshafika siku zake za kupata hedhi, anachukuliwa kama mkubwa,lakini sheria inasema haina maana mtoto umuoe kwa kumwingilia kimapenzi,unamchukua mkeo kwa kumuweka ndani kwa kumlea,kumbuka kuwa uislam ni ruhusa kuoa wake wanne(4)..

Sheria za ndoa katika dini ya kiisalm imelenga kumlinda na kumuenzi mwanamke ili kupunguza umala na uhasaharati katika nchi husika,kwavile wanawake wanazaliwa wengi kuliko wanaume, mafano hivi sasa kila mwanamme wa kitanzania anatakiwe awe na zaidi ya wanawake watano ili kufanya kila mwanamke apate mume..

Anyway,hayo mambo ya Muhamad ya kuoa mtoto mdogo hayatuhusu sisi waafrika hizo ni propaganda za wakristo wa ulaya kuhusu uislam,..

Huku Afrika mpaka leo kuna makabila mengi tu wanaoa watoto wakike pale tu wanapopata siku zao(hedhi) kwa mara ya mwanzo yaani kuanzia miaka 10,11,12

Je ukristo unasemaje kuhusu mwanamke wa kikiristo hasa kuhusu ndoa??



UMEANDIKA MAELEZO MENGII LAKINI HAUJAJIBU SWALI,KWANINI MTUME WA ALLAH ALIMWINGILIA KINYUME NA MAUMBILE MKEWE AISHA TANGU AKIWA NA MIAKA 6???


Labda ni kwasababu umekataa kusoma hiyo link ya muslim scholars wakijitetea kuhusu kitendo hicho cha kikatili alichofanyiwa Aisha.

Pia umeandika uongo unaosambazwa kila siku na jamii ya kiislamu kuwa wanawake Tanzania wapo wengi sana kushinda wanaume na ili kila mwanamke apate mwanaume inabidi kila mwanaume aoue wanawake 5.HUU NI UONGO,TAKWIMU ZA TANZANIA HAZISEMI HIVYO!Hii ni propaganda ya kujihalalishia zinaa na kuwatumia wanawake wasiojielewa.

Takwimu za jumla za Tanzania zinaonyesha sex ratio ya 0.99% inamaana kila wanawake 100 kuna wanaume 99,lakini katika umri wa chini na wakati hadi miaka 54 wanaume ni wengi kwa idadi kuliko wanawake kama data zifuatazo za mwaka2016 zinavyoonyesha.

upload_2018-5-5_6-16-39.png


Hii inaprove uongo unaoenezwa na propaganda za kiislam ili kuifurahia zinaa.
 
Wazazi nao hukosea,pengine hata huyo mwanaume pia ana wazazi wake unadhani wao watakubali kijana wao abadili?

Wakatae sunna?wakatae kijana wao amepata mateka asiyejielewa?kiislam ukioa mkristo unapata dhawabu coz umeongeza idadi ya watu wataokwenda na Muhammadna siku ya kiama Muhammad atamwambia allah ,angalia hili kundi lote nililokuletea motoni
 
Wakatae sunna?wakatae kijana wao amepata mateka asiyejielewa?kiislam ukioa mkristo unapata dhawabu coz umeongeza idadi ya watu wataokwenda na Muhammadna siku ya kiama Muhammad atamwambia allah ,angalia hili kundi lote nililokuletea motoni
Yani hicho unachokiamini wewe kwa sababu tu umezaliwa na kukuta wazazi wanakiamini ndiyo kinakufanya uone wengine ni mateka wasiojielewa na wewe ndiyo mateka unaojielewa?

Ajabu ungezaliwa na wazazi wenye kuamini tofauti na unachoamini sasa pia ungeona wengine ni mateka wasiojielewa.

Sasa sijui hata ni kipi kinachokufanya nawe usiwe mateka tu usiojielewa.
 
UMEANDIKA MAELEZO MENGII LAKINI HAUJAJIBU SWALI,KWANINI MTUME WA ALLAH ALIMWINGILIA KINYUME NA MAUMBILE MKEWE AISHA TANGU AKIWA NA MIAKA 6???


Labda ni kwasababu umekataa kusoma hiyo link ya muslim scholars wakijitetea kuhusu kitendo hicho cha kikatili alichofanyiwa Aisha.

Pia umeandika uongo unaosambazwa kila siku na jamii ya kiislamu kuwa wanawake Tanzania wapo wengi sana kushinda wanaume na ili kila mwanamke apate mwanaume inabidi kila mwanaume aoue wanawake 5.HUU NI UONGO,TAKWIMU ZA TANZANIA HAZISEMI HIVYO!Hii ni propaganda ya kujihalalishia zinaa na kuwatumia wanawake wasiojielewa.

Takwimu za jumla za Tanzania zinaonyesha sex ratio ya 0.99% inamaana kila wanawake 100 kuna wanaume 99,lakini katika umri wa chini na wakati hadi miaka 54 wanaume ni wengi kwa idadi kuliko wanawake kama data zifuatazo za mwaka2016 zinavyoonyesha.

View attachment 766133

Hii inaprove uongo unaoenezwa na propaganda za kiislam ili kuifurahia zinaa.
Well said
 
Hapa ndio unataka kutoa tafsiri ama picha ya kua;-
ile ambayo tunaiona ni Mila Potofu kitabibu.

Laiti Mohammad angezaliwa ulaya, angeilaani mila hii potofu, kulingama na vile jamii inaona inafaa ?.

Ambapo aliibariki Mila hii ya waarabu wajahilia.

Yaani ukweli ni subjective na Mila iliyopo zaidi kwa wakato huo

Q. Na ukeketaji wanawake je?
Katika ukeketaji wa wanawake hamna kitu kama hicho kwenye Uislam,katika tafiti zangu nimegundua kuwa ukeketaji wa wanawake uko katika bara la Africa,Asia na Mashariki ya kati..,Nchi kama Egypt,Indonesia kuna baadhi ya makabila yanawakeketa wanawake zao..

Africa utakuta makabila mengi yanayofuga "Nilotic" ndio wanayokeketa wanawake zao,sio lazima haya makabila yawe na Imani ya kiislam mengine hata Uislam hauujui mfano Wamasai,Wagogo,Wangoni nk,kwa hapa kwetu Tanzania

Katika upande wa Afrika Magharibi nchi kama za Mali, Guinea and Sierra Leone,Nigeria utakuta ndio vile vile yale makabila yenye tamaduni za ufugaji ndio yanayofanya hichi kitendo kwa watoto wao wa kike..

Ulaya habari za ukeketeaji wa watoto wa kike zimeanza kujulikana na kuzagaa baada ya wahamiaji wengi wa Kisomali kuhamia Ulaya na Marekani,..

kwasababu wasomali ni waislam,hapo hapo zikaanza propaganda kuwa waislam wanawakeketa wanawake wao ...Kumbuka wasomali nao ni miongoni mwa makabila ya wafugaji hawana tafauti na wamasai (Nilotic)

Mkuu kwa ufupi uislam hauna uhusiano na Ukeketeji wa wanawake,Kuran hakueleza hivyo,Hadith za Mitume hazikueleza hivyo,warabu wengi wenye Imani za kiislam hawafanyi hivyo,..

Muhamad hakubariki mila potovu,kumbuka mkuu wazungu nao walikuwa na mila zao potovu na nyengine wanazifanya mpaka hii leo,mfano baba kuingiliana na mtoto wake,mama kuingiliana na mtoto wake,kaka na dada kuingilia,nk,kama unakaa ulaya au Marekani hizi stori lazima uisikie kila siku kwenye magazeti na TV..,kumsitiri mtoto wa kike sio potovu ukilinganisha na uovu huuu

Ukweli Uislam ndio umewaletea warabu ustaarabu,Warabu walikuwa majahili sana,Mila na tamaduni nyingi potovu za kiarabu ziliondoka baada ya kuja uislam...

Mkuu,Lete swali jingeni,napenda tuelimishana kuliko kubishana..,kaka nakuomba usiamini unachokisoma hasa kile kilichoandikwa na mzungu,fanya utafiti kwanza, usiamini moja kwa moja,si unajuwa wazungu wanaamini waafrika tunakulana(cannibalism)
 
Yani hicho unachokiamini wewe kwa sababu tu umezaliwa na kukuta wazazi wanakiamini ndiyo kinakufanya uone wengine ni mateka wasiojielewa na wewe ndiyo mateka unaojielewa?

Ajabu ungezaliwa na wazazi wenye kuamini tofauti na unachoamini sasa pia ungeona wengine ni mateka wasiojielewa.

Sasa sijui hata ni kipi kinachokufanya nawe usiwe mateka tu usiojielewa.


Hicho unachosema haki apply kwangu kwani mimi niliamua kufuata kitu cha tofauti na vile nilivyozaliwa au imani ya wazazi.

Hivyo mimi nipo mbali sana na unavyofikiri,mbali sana na concept ya dini.
 
Mkuu kwani hapa tunajadiliana tofauti ya jinsi zinavyopatikana sheria za dini na za serikali zetu? Maana naona umejikita huko ambapo mie sipo kabisa.

Tatizo lako ni chuki kwa dini na ndiyo unataka ionekane kana kwamba dini zina sheria kwa ajiri ya kuwakomoa waumini wake na hizi sheria zetu ni kama vile ndiyo ziko kwa ajiri ya kuwaridhisha watu.

Hebu weka chuki za dini pembeni ili tujadiliane vizuri,mbona wengine tumeweka ushabiki wa dini pembeni.

TZ Mbongo,

Hutakaa unielewe kabisa!

Dini ni dictatorial system based on intimidation and lies.Huwezi refute hili.

In recent human history,Laws of the land,zinajengwa kwa makubaliano ya watu kidemokrasia..

Binadamu tumetoka mbali,kuanzia dark ages huko,kings and queens walikua ndio wanamiliki watu,ila tume-fight,tumetumia akili zetu wanadamu tuka-improve mpaka leo walao tuna demokrasia,tunapanga mambo yetu na sheria zetu kwa makubaliano na tunazibadili kwa makubaliano muafaka.Sijui kwanini unaita huu sio uhuru?I real dunno yo line of thinking 'bout this.

Chuki ni human reaction,ni natural,mawe hayawezi kua na chuki,ni kwa ajili yetu sisi viumbe hai..sasa sijui unanilaumu vipi kwa kua kiumbe hai!

Sipendi dini,siwezi kukudanganya au kuongea unafiki hapa...It has done more harm than good on this planet...I can never like it..Usinilazimishe...Wewe refute my claims kwa hoja na sio unifundishe how to feel about myself.

Wewe unapenda dini,good for you!Leave us who hate it the fvck alone!It is our right to shit on it,likewise you on us!

I guess,we can agree to disagree,thanks for your time sir!
 
Back
Top Bottom