Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Badili dini uolewe ww...utazeekea kwenu ..shauri yako
Wanaojwambia usibadil wengi wanalikia hyo bahati
 
Upendo wa dhati hauna dini.

Sijapata majibu hadi leo hii kati ya mkristo na muislamu ni nani hakubaliki kwa Mungu?

Mungu sio mbaguzi
wewe hujui tu maisha nampenda ila kakujua hii dini ni rahisi kuachwA.
leo niko naye kesho talaka na upande mwingine tunapendana.
 
Ipo hivi mwanzoni mwaweza fikili ni kitu simple ila at long run utajikuta hali ya kubadili dini inakutafuna wewe na watoto wako.
mimi ndio nawaza hii ndoa haina kipingami.
akikupa talaka tatu ndio basi.
 
mimi ndio nawaza hii ndoa haina kipingami.
akikupa talaka tatu ndio basi.
Wenzetu wanatumia vibaya uhuru wa kuacha huyu na kuoa mwingine.Mi nachotambua kukwaruzana kupo tu hasa kwenye kipindi cha maisha ya wanandoa sasa wenzetu kila mkwaruzo unakimbiliwa kwenye kuachwa tu.
 
Kwa kifupi tu, kuna dada mmoja alizaliwa anaitwa Margaret. Alisoma na kupata ajira, mpaka umri wa mikaka 30 Margaret alikuwa hajaolewa.

Pressure za marafiki zilizidi. Alipotokea Ally anataka kuoa Margaret alikubali kubadili dini na kuitwa Mariamu . Ally na Mariamu walipata watoto wa tatu.

Tulikutana na Margaret siku ambayo mtoto wake alikosa nafasi kwenye shule ya RC kwakuwa nafasi walizotoa kwa watu wa dini nyingine zimekwisha na chache walizinazo ni za watoto wa waumini wao.

Mariamu aliniambia kuona watoto wa marafiki zake wanabatizwa na kupata komunio na Kipaimara vinamuumiza sana.kabla mhujaamua maamuzi magumu jitafakari zaidi.
 
Kumbuka wenzetu upande wa pili waschana kuanzia watoto madrasa wanajengwa kisaikolojia kua mumewe ana haki ya kuoa mke zaidi ya mmoja ikiwa mwanaume akataka ivyo, so ukienda uko akili yako inatakiwa ifaham ilo, pili talaka ni kawaida sana sio kitu cha kushangaza ikiwa mkashindwana ata kwa tatizo linalotatulika, ukifaham aya we nenda zako
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.

Una umri gani.?
Nenda kapate mafunzo ya Ndoa kanisani kwako, kwanza ili uelewe kwa kina zaidi nini maana ya ndoa. Kisha fanya maamuzi.

Mathayo 10:37
Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.

Mathayo 10:33
Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
 
Una umri gani.?
Nenda kapate mafunzo ya Ndoa kanisani kwako, kwanza ili uelewe kwa kina zaidi nini maana ya ndoa. Kisha fanya maamuzi.

Mathayo 10:37
Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.

Mathayo 10:33
Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
nimewaza na kila mtu hadi padri kakataa nibadili kasema Mungu hakukosea niwe mkristo na nilaana kubadili dini ya mababu zako so niko njia panda kiukweli nimechoka kabisa.
 
Kwa kifupi tu, kuna dada mmoja alizaliwa anaitwa Margaret. Alisoma na kupata ajira, mpaka umri wa mikaka 30 Margaret alikuwa hajaolewa.

Pressure za marafiki zilizidi. Alipotokea Ally anataka kuoa Margaret alikubali kubadili dini na kuitwa Mariamu . Ally na Mariamu walipata watoto wa tatu.

Tulikutana na Margaret siku ambayo mtoto wake alikosa nafasi kwenye shule ya RC kwakuwa nafasi wakizotoa kwa watu wa dini nyingine zimekwisha na chache walizinazo ni za watoto wa waumini wao.

Mariamu aliniambia kuona watoto wa marafiki zake wanabatizwa na kupata komunio na Kipaimara vinamuumiza sana.kabla mhujaamua maamuzi magumu jitafakari zaidi.
Kwa kweli uchaguzi ni wake.

Lakini Amani ya Moyo ni bora zaidi.
Kwenye maisha furaha na amani ni ya kwake kwanza kabla ya mtu mwingine.
 
Mimi kama mwanamme wa kiislamu, ninakuashauri ...(bila shaka ushajua naelekea wapi) ,, sijaja hapa kuhubiri dini au kukushawishi uwe muislamu. ila nitakacho kuhakikishia tu ni kwamba islam is a beautiful religion.

After all muslims and christians have only one God, tofauti pekee kubwa ni kwamba wakiristo wanaamini kuwa yesu ni mtoto wa Mungu, sisi tunaamini kuwa Mungu hana mtoto wala hana wazazi, na hivyo yesu ni mtume wa Mungu. kama alivyo Muhammad ni mtume wa Mungu.

welcome to islam, hutajutia uamuzi wako. daima.
 
Kwa kifupi tu, kuna dada mmoja alizaliwa anaitwa Margaret. Alisoma na kupata ajira, mpaka umri wa mikaka 30 Margaret alikuwa hajaolewa.

Pressure za marafiki zilizidi. Alipotokea Ally anataka kuoa Margaret alikubali kubadili dini na kuitwa Mariamu . Ally na Mariamu walipata watoto wa tatu.

Tulikutana na Margaret siku ambayo mtoto wake alikosa nafasi kwenye shule ya RC kwakuwa nafasi wakizotoa kwa watu wa dini nyingine zimekwisha na chache walizinazo ni za watoto wa waumini wao.

Mariamu aliniambia kuona watoto wa marafiki zake wanabatizwa na kupata komunio na Kipaimara vinamuumiza sana.kabla mhujaamua maamuzi magumu jitafakari zaidi.
Sababu hizo ni nyepesi sana. Shule ziko ngapi,labda hilo la commonia(check spellling), jambo ambalo inaonyesha hakufuata ndoa bali ni mihemuko tu ili kuondoa mkosi.
Jambo la mwisho tujiulize,kabla ya kuja Waarab(karne ya 7-15)na wazungu(karne ya 18-20) watu walioana vipi hapa Tanzania na Afrika. Ukitafakari hilo,kaeni U RC wenu na Uislam wenu.
 
Back
Top Bottom