Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Mimi kama mwanamme wa kiislamu, ninakuashauri ...(bila shaka ushajua naelekea wapi) ,, sijaja hapa kuhubiri dini au kukushawishi uwe muislamu. ila nitakacho kuhakikishia tu ni kwamba islam is a beautiful religion.

After all muslims and christians have only one God, tofauti pekee kubwa ni kwamba wakiristo wanaamini kuwa yesu ni mtoto wa Mungu, sisi tunaamini kuwa Mungu hana mtoto wala hana wazazi, na hivyo yesu ni mtume wa Mungu. kama alivyo Muhammad ni mtume wa Mungu.

welcome to islam, hutajutia uamuzi wako. daima.
Mungu wa Wayahudi,! Ushahidi upo kwenye hizi dini kuhusu Uteule wa Wayahudi, maana wana mbegu za dini zote kuu na wanatunzwa na mataifa mengine mpaka. Taifa dogo kuliko Taifa la China, kweli akili ndogo (yaani akili ya wachache) hutawala akili kubwa (yaani ya akili ya wengi)
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
kama umemoenda kwa dhati naye pia basi kubali kubadili dini
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Huna lolote weweee nyege hizo ndio zinakuzungua na hapo hutafuti dini unachotafuta ni mashine na itakubidi ifuate tu hauna jinsi
 
Duh it will cost you, sio kweli kwamba wakristo hawaoi , bila shaka utakuwa unamiss baadhi ya vitu
 
Ulikuwa mpagani ukaingia RC. Sasa Kuna shida kutoka RC kurudi upagani au kwenda kokote kule?
Watu siku hizi wabadili hadi kabila. Mcongo kujiita Muha au Mmnyema.
 
Wasichana wengine wa kikristo ni hovyo sana.Akikutana na mvulana wa kibarakhashea anamdanganya kua mwanamke hana dini hivyo anatakiwa afuate dini ya mumewe.Lakini mvulana wa Kikrosto akikutana na ustaadha,ustaadha anamwambia mvulana wa kikristo badili dini,this is bullshit!Si mlisema mwanamke hana dini???Unagundua tuu ni utapeli wa hiyo dini.

Na ukiangalia wasichana wa kikristo wanaobadilisha dini ni wale wa hovyo hovyo,huwezi kuta msichana wa maana anayejitambua atoke nuruni aende gizani,haiwezekani!
 
Wasichana wengine wa kikristo ni hovyo sana.Akikutana na mvulana wa kibarakhashea anamdanganya kua mwanamke hana dini hivyo anatakiwa afuate dini ya mumewe.Lakini mvulana wa Kikrosto akikutana na ustaadha,ustaadha anamwambia mvulana wa kikristo badili dini,this is bullshit!Si mlisema mwanamke hana dini???Unagundua tuu ni utapeli wa hiyo dini.
mbinu ya kuwavuta wengi kwenda kwao na binti akitoka upande wao kwenda kwingine watamtumia mapepo na majini hadi akome
 
mbinu ya kuwavuta wengi kwenda kwao na binti akitoka upande wao kwenda kwingine watamtumia mapepo na majini hadi akome

Hata huyu tayari ameshatupiwa majini na hajitambui,asipopata mtu wa karibu wa kumsaidia,mtamkuta sasa hivi anasema ala la la la na maneno asiyoyajua badala ya kufanyia Mungu wa kweli ibada.
 
Usibadilishe dini kwasababu ya mapenzi,katika mapenzi kuna kuolewa na kuachwa,dini ni imani ya mtu,kila mtu anaiona dini yake iko bora kuliko ya mwengine,dini zote zina uzuri na ubaya wake..

Mimi ni mwislam,moja katika sheria za kiislam ni kuwa huwezi kuwa mwislam bila ya kumkubali na kumuamini Yesu(Kigririki),Iso(kiyahudi),Isa(Kiarabu) chagua mwenyewe utakavyomwita..

Mwislamu unatakiwa kila akimtaja Isa(aka Yesu aka Iso aka Yoshua),lazima useme kwa kumuombea "Kheri na baraka zimfikie",Isa(yesu) katajwa mara nyingi kwenye kitabu cha Kuran kuliko mtume yeyeyote yule..

Ushauri wangu,usibadilishe dini yako kwasababu ya mapenzi,pili kama umeamua kubadilisha basi kwanza soma uislam ni kitu gani halafu ndio ubadilishi,...

Wako muumini wa kweli nakuombea kheri na baraka zote katika maamuzi yako,...Bless
 
Hata huyu tayari ameshatupiwa majini na hajitambui,asipopata mtu wa karibu wa kumsaidia,mtamkuta sasa hivi anasema ala la la la na maneno asiyoyajua badala ya kufanyia Mungu wa kweli ibada.
Hata huyu tayari ameshatupiwa majini na hajitambui,asipopata mtu wa karibu wa kumsaidia,mtamkuta sasa hivi anasema ala la la la na maneno asiyoyajua badala ya kufanyia Mungu wa kweli ibada.
kiwango cha uvumilivu kwa mabinti wa kikristo ni kidogo sana yaani kuolewa wamefanya kama vile kipaumbele, wanajiweka kidunia zaidi kiasi cha wanaume wenzao wa kikristo kuhofia kupata wake ambao hawana maadili, mwisho wa siku cha mbele halali yao hata kama jini ilimradi aonekane ameolewa. kwa wenzetu hata kama umetumika sana hawaoni shida maana ruksa kukuacha akiona utamu umeisha kabisa ila sio kwetu sio wa mpaka kifo.
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.

Yaani kutoka kuwa Mkuu wa Mkoa kuwa Muislamu mbaona rahisi sana maanahata MaRC wa Mikoa kibao tu ni Waislamu.
 
Acha maswali ya ajabu

Suala la imani ni suala binafsi huhitaji maoni ya watu kuchagua cha kuamini.
 
Mungu wa Wayahudi,! Ushahidi upo kwenye hizi dini kuhusu Uteule wa Wayahudi, maana wana mbegu za dini zote kuu na wanatunzwa na mataifa mengine mpaka. Taifa dogo kuliko Taifa la China, kweli akili ndogo (yaani akili ya wachache) hutawala akili kubwa (yaani ya akili ya wengi)
katika uislamu hakuna taifa au kundi la watu ambalo limetukuzwa zaidi kuliko wengine. mbele ya uislamu kila mtu/taifa lina haki sawa na wengine. hakuna taifa au kundi la watu lililo juu ya wengine.
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Huijui kweli, unaangaika na dunia tuuh! Heri ungeijua kweli ingekufungua na kifungo chako!
 
Yesu ni njia na kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila.....angali kuna roho inakufuatilia,kama wazazi wamekukatalia wasilikilize wazazi.
ashakuwa mkubwa aamue mwenyewe ukubali au uendelee kuzini ili mpimane tabia
 
Back
Top Bottom