Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

mbinu ya kuwavuta wengi kwenda kwao na binti akitoka upande wao kwenda kwingine watamtumia mapepo na majini hadi akome
Uislam sio dini ya mapepo na majini,..

katika moja ya sheria za kiislam mwislam anatakiwa kabla hajafanya chochote lazima amlaani shetani kwa kusema "aundhu bilahi minal shetain rajim" maana:-"naomba kinga kwa mwenyeenzi mungu kutoka kwa shetani alie laaniwa"

Halafu unasema "bismilahi raham rahim" maana yake :- "kwa jina la mwenyeenzi Mungu mwenye kuneemesha neema na mwengi wa rehema" halafu ndio unafanya kile unachoaka..

Sasa hapo kuna sehemu yoyote ya kuabudu mashetani na majini,,,..

Watu wasiojua dini kama wewe ni wazuri wa kupotosha dini za watu wengine,kwani unafikiri waislamu hatuoni vipi mnavyompotosha mtume wetu Yesu(Isa) kwenye makanisa yenu kwa kutumia jina lake kutoa mapepo yenu!??..

Umeshawahi kuona msikiti gani waumini wanatolewa mapepo...

Wako Muumini wa kweli...,Bless
 
Uislam sio dini ya mapepo na majini,..

katika moja ya sheria za kiislam mwiaslam anatakiwa kabla hajafanya chochote lakizima amlaani shetani kwa kusema "aundhu bilahi minal shetain rajim" maana:-nauomba kinga kwa mweenzi mungu kutoka kwa sheitan alie laaniwa"

Halafu unasema "bismilahi raham rahim" maana yake :- "kwa jina la mwenyeenzi Mungu mwenye kuneemesha neema na mwengi wa rehema" halafu ndio unafanya kile unachoaka..

Sasa hapo kuna sehemu yoyote ya kuabudu mashetani na majini,,,..

Watu wasiojua dini kama wewe ni wazuri wa kupotosha dini za watu wengine,kwani unafikiri waislamu hatuoni vipi mnavyompotosha mtume wetu Yesu(Isa) kwenye makanisa yenu kwa kutumia jina lake kutoa mapepo yenu!??..Umeshawahi kuona msikiti gani waumini wanatolewa mapepo...

Wako Muumini wa kweli...,Bless
sasa utatoaje unachokifuga zaidi ya kukilisha na kukihudumia, wewe hata quran husomii vizuri ukaielewe
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
hapo kuna dini mbili tofauti kabisaa, yaani umkane Yesu kisa mwanaume, mafundisho ya kanisa hayakukukolea wewe. upo tayali kuishi uke wenza? kwa uislamu ni kawaida. subiri wakati wako Mungu atakupa wa ubavu wako.
 
sasa utatoaje unachokifuga zaidi ya kukilisha na kukihudumia, wewe hata quran husomii vizuri ukaielewe
sijakufahamu,Mkuu.,lakini nitajaribu kuelewesha kitu,labda inawezekana ndio ulivyokusudia kuniuliza..

Kama waislam wanatakiwa wamlaani shetani kwa kila wanapoanza kufanya kitu,basi kila anaefuga mashetani ni mshirikina,na kila mshirikina adhabu yake ni moto wa Jahanam...

Ushirikana hauna mjadala katika Uislam,Mungu anasamehe makosa yote isipokuwa kosa la Ushirikina na Usengenyaji(kupita kumsema na kumzulia mtu)
 
Ndoa ni kitu cha heri yes but kuna changes ama decisions ambazo huwa zina impact kubwa sana mpaka inabidi ujiulize is it worth it?

Speak to your heart. Wewe ndo unajua umetoka wapi na umepitia nini and how much you can take.

By the way are you under pressure to get married? Do you know that if you succumb to such pressure and you are not ready only you will suffer?
 
so mnashauri nibadili dini
Waislamu hukimbilia ndoa fasta maana hujua kuna talaka tofauti na ukristo, mpk ujitafakari. Dada yangu alibadili dini 2008 kutoka RC na kuwa mwislamu, wazazi walimkataza Ila akatishia kujiua ikabd wamwache. Miaka kumi badae mwaka huu katelekezwa Mwanza mwanaume yupo Dar anakula bata. Usikimbilie ndoa kwa kubadili dini, Bali endelea kumwomba Mungu wa kwako atakuja.
 
Wenzetu wanatumia vibaya uhuru wa kuacha huyu na kuoa mwingine.Mi nachotambua kukwaruzana kupo tu hasa kwenye kipindi cha maisha ya wanandoa sasa wenzetu kila mkwaruzo unakimbiliwa kwenye kuachwa tu.
Usikariri lugha ya picha. Hakuna kitu kinachokatazwa katika ndoa kwa waislam kama taraka. Ni ukosefu wa elimu ndio maana unaona watu hukimbilia taraka.
 
sijakufahamu,Mkuu.,lakini nitajaribu kuelewesha kitu,labda inawezekana ndio ulivyokusudia kuniuliza..

Kama waislam wanatakiwa wamlaani shetani kwa kila wanapoanza kufanya kitu,basi kila anaefuga mashetani ni mshirikina,na kila mshirikina adhabu yake ni moto wa Jahanam...

Ushirikana hauna mjadala katika Uislam,Mungu anasamehe makosa yote isipokuwa kosa la Ushirikina na Usengenyaji(kupita kumsema na kumzulia mtu)
ndugu nakuombea kwa MUNGU aliye hai akupe neema ya kuijua kweli ili uwe huru, yaani mtu anakuambia MUNGU hana mtoto kwasababu hajawahi oa, hivi unadhani MUNGU WA KWELI kwa uweza wake anahitaji aoe ili apate mtoto? yaani aliyesema iwe dunia na ikawa unamfananisha na mwadamu kama wewe ambaye ili uwe na mtoto unahitaji mwanamke? kama hauamini kuwa YESU NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI NA KUWA ALITOLEWA MSALABANI MARA MOJA ILI ATUPATANISHE NA MUNGU, BASI UNAPOTEA
 
sasa utatoaje unachokifuga zaidi ya kukilisha na kukihudumia, wewe hata quran husomii vizuri ukaielewe
yaani naona nimkatae wandugu maana kuna mambo mengi nilikuwa siyajui nampenda ila Mungu ammependa zaidi .
unajua mahali inazuiwa na wengi.
kunajambo sio zuri home humu nje kila.mahali waislamu wenyewe kwanini nijitese kisa nini?
atakuja wamgu
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.

It is really funny to see how religion can hold people into captivity!

This is one of them!

Thats why I hate religion with passion!

Religion is the system so lethal,it tells you how to think and live,and if you disobey kwa kujua au kutokujua eti utaadhibiwa kwenye moto wa milele...This is pure lunacy!

How can two adult human beings being told who to love and who not to love?Utampangia mwanadamu yupi ampende au kumchukia?Stupidity!
 
Jifikirie kwanza je akikuacha unaweza kubaki na hiyo imani uliyo ikimbilia kama haiwezekani baki njia kuu mchepuko siyo dili
 
ndugu nakuombea kwa MUNGU aliye hai akupe neema ya kuijua kweli ili uwe huru, yaani mtu anakuambia MUNGU ana mtoto kwasababu hajawahi oa, hivi unadhani MUNGU WA KWELI kwa uweza wake anahitaji aoe ili apate mtoto? yaani aliyesema iwe dunia na ikawa unamfananisha na mwadamu kama wewe ambaye ili uwe na mtoto unahitaji mwanamke? kama hauamini kuwa YESU NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI NA KUWA ALITOLEWA MSALABANI MARA MOJA ILI ATUPATANISHE NA MUNGU, BASI UNAPOTEA
 
hapo kuna dini mbili tofauti kabisaa, yaani umkane Yesu kisa mwanaume, mafundisho ya kanisa hayakukukolea wewe. upo tayali kuishi uke wenza? kwa uislamu ni kawaida. subiri wakati wako Mungu atakupa wa ubavu wako.
kweli?
 
yaani naona nimkatae wandugu maana kuna mambo mengi nilikuwa siyajui nampenda ila Mungu ammependa zaidi .
unajua mahali inazuiwa na wengi.
kunajambo sio zuri home humu nje kila.mahali waislamu wenyewe kwanini nijitese kisa nini?
atakuja wamgu
dumu katika ibada na umtumikie MUNGU WA KWELI kwa wakati wake atakupa mume safi wakufurahi nae
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Kama wewe unaamini dini yako ndoa si dini bali ni makubaliano na mapenzi, fuata imani yako na yeye yake ila pendaneni kama wana ndoa wakati wa fungo mpikie futali na wakati wa kanisa upewe ruksa. Kumbuka Yesu ndiye njia na kweli hakuna ajaye kwake bila kufuata njia yake
 
Back
Top Bottom