Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,514
- 4,998
Usibadili dini kwa ajili hiyo, unaweza kubarikiwa ndoa yako (Ndoa ya Imani tofauti). Msingi nenda kwa Paroko, atakwambia ujaze fomu na kisha atazituma kwa Askofu badaye utaruhusiwa kufunga ndoa ya DINI TOFAUTI yaani "Disparity of Cults".... Kila mtu atabaki na imani yake. Tatizo litakuja kwa watoto manake Moja ya mashariti ya ndoa hizi ni kuwa watoto wawe wakatoliki.so mnashauri nibadili dini
Ikishindikana tafuta Mkatoliki Mwenzako BUT kubadili dini hapana!!!!!