Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Ndoa huandikwa na Mungu na alipangalo yeye hakika wa kulipangua hayupo km ana kheri naww hakika atakuoa mtu mzima ana maamuzi yake amueni nyinyi wawili
 
Hilo suala ni gumu. Chagua moja kubadili dini na jamii yako ikutenge au kusubiri mwanaume wa dini yako.
 
Usahihi ama La_Si sahihi, ni juu yako.

Hakuna mwenye kujua maficho ya Moyo wa Mtu.

Ila ninachoweza sema kunachangamoto nyingi kwenye mahusiano ya watu waliokulia kwenye malezi/mitazamo ya kiimani Tofauti kuweza kudumisha mahusiano yao.

Ukweli:Ni rahisi sana kuvunjika kuliko kudumisha

Unahitaji usaidizi wa watu wazima wakomavu unao waamini kuweza kukuimarisha.

NB:ndoa si MchezoMchezo, mihemko weka Mbali.sikutishi ni Uhalisia
 
hivi katoliki ni dini? najijibu....sio dini ni dhehebu, dini ni Mkristo....so kama wewe ni Mkristo na umeamua kuolewa na Muislam,,,, jitafakari sana mdogo wangu.......na ukasome vema maandiko yahusuyo Uislam kabla hujaafanya maamuzi yeyote....Uislam ni dini tena nzuri sana, hata Ukristo pia...ni imani mbili tofauti.....nadhani umenielewa vizuri......
 
nimewaza na kila mtu hadi padri kakataa nibadili kasema Mungu hakukosea niwe mkristo na nilaana kubadili dini ya mababu zako so niko njia panda kiukweli nimechoka kabisa.
Basi hata Mimi nakushauri, usichoke.
Sikiliza Sauti ya Wazazi wako na Padre wako wanachokuambia. Wako sahihi zaidi yako.

Sikiliza kabla hujafanya a grave Mistake.

Unachokitamani sasa kwa nje, utaja kujutia maisha yako yote. Na sikuzote majuto ni mjukuu.
 
Wenzetu wanatumia vibaya uhuru wa kuacha huyu na kuoa mwingine.Mi nachotambua kukwaruzana kupo tu hasa kwenye kipindi cha maisha ya wanandoa sasa wenzetu kila mkwaruzo unakimbiliwa kwenye kuachwa tu.
ni kweli anakuacha
 
hivi katoliki ni dini? najijibu....sio dini ni dhehebu, dini ni Mkristo....so kama wewe ni Mkristo na umeamua kuolewa na Muislam,,,, jitafakari sana mdogo wangu.......na ukasome vema maandiko yahusuyo Uislam kabla hujaafanya maamuzi yeyote....Uislam ni dini tena nzuri sana, hata Ukristo pia...ni imani mbili tofauti.....nadhani umenielewa vizuri......
najua Rc ni dhehebu ipo ndani ya dini ya kikristo ila ningekubali kuolewa nayeye kama sio yafuatayo ukigombana naye tu anakuacha mawifi je je kuongezewa mke mwingine yaani kazi sana.
nipo njia panda naweza olewa nikafa kama ananipenda anioe na dini yangu.
watoto wakikuwa watajua wafuate lipi.
 
Yesu ni njia na kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila.....angali kuna roho inakufuatilia,kama wazazi wamekukatalia wasilikilize wazazi.
Kwani anayeolewa ni wazazi au bint mwenyewe? How come unasema "kama wazazi wamekukatalia wasilikilize wazazi
"
 
najua Rc ni dhehebu ipo ndani ya dini ya kikristo ila ningekubali kuolewa nayeye kama sio yafuatayo ukigombana naye tu anakuacha mawifi je je kuongezewa mke mwingine yaani kazi sana.
nipo njia panda naweza olewa nikafa kama ananipenda anioe na dini yangu.
watoto wakikuwa watajua wafuate lipi.
yes...kumbe maamuzi unayo.....but watoto wanalelewa vizuri ktk misingi ya kiimani toka mwanzo.....yaani wakiwa wadogo........mke mwenza je.....jipange vema
 
najua Rc ni dhehebu ipo ndani ya dini ya kikristo ila ningekubali kuolewa nayeye kama sio yafuatayo ukigombana naye tu anakuacha mawifi je je kuongezewa mke mwingine yaani kazi sana.
nipo njia panda naweza olewa nikafa kama ananipenda anioe na dini yangu.
watoto wakikuwa watajua wafuate lipi.
Swala la kuongeza mke halija katazwa kisheria za dini, lakini pia haulazimishwi kuoa mke zaidi ya mmoja, tena unakuwa discouraged kama imani yako ni hafifu. Swala ni la mtu binafsi, wapo waislam wengi wasiotaka kusikia kabisa swala la mke zaidi ya mmoja. Si ajabu huyo mwenza wako hapendi hilo swala
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Bwana umepata juzi Leo ndoa, hata mwezi Bado. Una bahati ya kufuatwa na majini, jitathmini
 
Trade your soul for your body or let the body meet the body and the soul stay soul, kila mtu ana mzani wake, na atapimwa kwa huo huo mzani wake.
 
Sikia bibie mimi ni muislamu, kubadili dini kisa mume tuhaina ujazo ubadili dini baada ya kuisoma na kuona huko ndio kwenye haki, mkazanie huyo mchumba wako akuoe elimu ya kutosha, chimbuo soma sana ndio uhame dini, hatuhami dini kumfata mume, ni kumpokea allah(s.w). Kwa ushauri na maeleezo zaidi uliza hapa hapa.
 
Wewe binafsi huna imani imara. Katika umri ulionao ulitakiwa kufahamu maana ya wewe kuwa mkatoliki. Mpaka sasa hivi wewe ni Mkatoliki wa kuzaliwa lakini huufahamu Ukatoliki.
Asante,umemaliza kila kitu hadi ukoko mkuu
 
hapo suluhisho wote muokoke muachane na dini muufuate uwokovu katika YESU KRISTO ndio mtaiona amani ya ndoa yenu. watu wa dini hawataweza kunielewa hapa zaidi watakejeli na kutukana.
 
Suala la ndoa pekee lisikufanye uhame dini,kwasababu wewe ni mkristo na unaufahamu,jipe muda pia uufahamu uislam pia,ndipo ufanye maamuzi!

Ukiona hayo yote yanakua magumu,kuna bomani pia mnaweza kwenda mkafunga ndoa yenu huko!
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
wanatangaza ndoa faster kwa sababu kama ndivyo sivyo anakupa talaka faster, kitu amabacho hakipo kwenye ukristu
 
Back
Top Bottom