Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maamuzi ni ya mama wa mtoto, kuwa sawa au si sawa is none of your businessNaomba tujadili kidogo je kufikisha miaka 30+ kwa binti bila kuwa na mtoto kwa misimamo ya kusubiri Ndoa ni sawa au si sawa
Wengine tuliingia 45 na tumetoka salama na mtoto mwenye afyaKuanzia miaka 35 mwanamke akiwa labour, tayar ni pregnancy with complication.
Kujifungua kwa njia ya kawaida ni mala chache sana.
Upasuaji niwakufikia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengi tu wanajifungua at 40 na hakuna cha complications, upasuaji wala niniKuanzia miaka 35 mwanamke akiwa labour, tayar ni pregnancy with complication.
Kujifungua kwa njia ya kawaida ni mala chache sana.
Upasuaji niwakufikia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha
Mwenye negativity ni wewe. Kuna mambo mengine kama hili uliloleta hapa halihitaji mjadala. Wabongo tutaendelea kufeli.Acha kuwaza negative kila kitu tumia akili
Kuna wengi tu wanajifungua wakiwa at 40 na hakuna cha complications, upasuaji wala nini
Huu ni uongo.
Wengine tuliingia 45 na tumetoka salama na mtoto mwenye afya
Hawa wanaoficha online status [emoji1][emoji1][emoji1]Wapo wengi sanaaaaaa
Wale mama zetu wanaokula ugali wa dona na kila aina ya mboga za majani.
Nakufanya kazi kutwa nzima na kutokwa jasho.
Lakini sio dada zetu wa chip, bia,
GB whatsApp na instagram.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye negativity ni wewe. Kuna mambo mengine kama hili uliloleta hapa halihitaji mjadala. Wabongo tutaendelea kufeli.
Hatar tupu,Hawa wanaoficha online status [emoji1][emoji1][emoji1]