Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mama yako alipewa mimba na miaka mingapi?Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni balaa mkuu, ndo maana wanasemaga mwalimu wa mwanamke Ni KIPOFU
Kwa maana
MWANAUME AKIOA ANAHITAJI:
1. Kupikiwa
2. Unyumba
3. Kupumzika
4. Uvumilivu
MWANAMKE AKIOLEWA ANAHITAJI MWANAUME WAKE UWE:-
1. Mpenzi
2. Rafiki
3. Mshikaji
4. Kaka
5. Baba
6. Mwalimu
7. Bosi
8. Mpiganaji
9. Askari
10. Mlinzi
11. Mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Mchungaji
15. Mzee wa kanisa
16. Shehe
17. Daktari
18. Mpambaji
19. Mwana mitindo
20. Modo
21. Mnyanyua vyuma
22. Fundi magari
23. Mwanasheria
24. Mhasibu
25. Fundi seremala
26. Mcheshi
27. Mwanamuziki
28. Muigizaji
29. Shamba boi
30. Fundi ujenzi
31. Msafi
32. Unajali
33. Mzazi
34. Mlezi
35. Mvumilivu
36. Mjanja
37. Mpole
38. Mkarimu
39. Msikivu
40. Mtunza siri
41. Mkweli
42. Kiongozi
43. Tajiri
44. Mpangaji
45. Mwana Michezo
46. Mtundu
47. Tegemeo
48. Jasiri
49. Mthubutu
50. Shupavu
51. Mwerevu
52. Muungwana
HAPO HAPO UNATAKIWA:-
53. Uwe Fundi kitandani.
54. Uwe unamtoa outing.
55. Uwe unampa pesa za kutosha.
56. Usimsumbue sumbue.
57. Usiangalie wanawake wengine.
HALAFU KUNA:-
58. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale.
59. Kumsifia alivyoumbika.
60. Kumsifia alivyopendeza.
61. Kumfungulia mlango, kumshikia pochi.
PIA USISAHAU:-
62. Siku yake ya kuzaliwa.
63. Kumbukumbu ya ndoa.
64. Siku ya valentine.
MUHIMU SANA, KUWA MAKINI:-
65. Jifunze kutoulizia chenji ukimpa pesa ya shopping.
66. Usipende kubishana nae kila kitu
WANAUME KAZ TUNAYO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinunua gazeti jioni unaakuwa umepoteza tu bure pesa maana linakuwa halina jipya habari zote zinakuwa zimeshapita muda. Sasa weka mtu hapo kwenye uhusika wa gazeti 😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukinunua gazeti jioni unaakuwa umepoteza tu bure pesa maana linakuwa halina jipya habari zote zinakuwa zimeshapita muda. Sasa weka mtu hapo kwenye uhusika wa gazeti [emoji3][emoji3]
Hakuna ME aliyewahi kuwa gazeti la jioni wewe 😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nijiweke tu mwenyewe
Mtuwache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie wenyewe ni magazeti ya jioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mnavyojidanganya?Hakuna ME aliyewahi kuwa gazeti la jioni wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooh! Wewe na ubishi sikuweziNdio mnavyojidanganya?
Hata sisi hakuna aliyewahi kuwa gazeti la jioni[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ooh! Wewe na ubishi sikuwezi
😂😂😂😂😂Ukinunua gazeti jioni unaakuwa umepoteza tu bure pesa maana linakuwa halina jipya habari zote zinakuwa zimeshapita muda. Sasa weka mtu hapo kwenye uhusika wa gazeti 😀😀
waja waliouweka[emoji3]
Wasikuchanganyewaja waliouweka[emoji3]
Yaani we jamaa kwenye points zako nilijua tu #3 haiwezi kukosa[emoji23][emoji23][emoji23]Kuoa Mwanamke wa umri labda iwe kwa sababu maalumu
1. Awe ni mchumba wangu niliyekuwa naishi naye ndio maana kafikisha umri huo. let say nilimchukua akiwa na 24 tukaishi miaka sita au saba bila ndoa. Huyo nitaoa.
2. Awe ni mwanamke niliyemzalisha zamani, labda nilimpa mimba zamani then baada ya miaka kupita aje akiwa na 31+. hana mtoto mwingine isipokuwa yule wangu niliyemzalisha. Huyo nitamuoa.
3. Awe na miaka 31+ akiwa na bikra Huyo nitamuoa kwa mahari kubwa.
Tofauti na hapo siwezi oa Mzee wakati mabinti wapo
Mkuu unatucheka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
Hapo kwenye "Last born wangu wa miaka 21" nahisi kama unatupanga??Ni sahihi na muda wake haujafika..last born wangu kaolewa na 21 ..dada yangu kaolewa na 34..kwahiyo sidhani Kama Kuna tatizo hapo Ni muda tu ndiyo waongea.