Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+

Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?

Tabia? Mwonekano? Au nini??
Mama yako alipewa mimba na miaka mingapi?
naomba jibu tuendelee na mjadala
 
Ni balaa mkuu, ndo maana wanasemaga mwalimu wa mwanamke Ni KIPOFU
Kwa maana
MWANAUME AKIOA ANAHITAJI:
1. Kupikiwa
2. Unyumba
3. Kupumzika
4. Uvumilivu

MWANAMKE AKIOLEWA ANAHITAJI MWANAUME WAKE UWE:-
1. Mpenzi
2. Rafiki
3. Mshikaji
4. Kaka
5. Baba
6. Mwalimu
7. Bosi
8. Mpiganaji
9. Askari
10. Mlinzi
11. Mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Mchungaji
15. Mzee wa kanisa
16. Shehe
17. Daktari
18. Mpambaji
19. Mwana mitindo
20. Modo
21. Mnyanyua vyuma
22. Fundi magari
23. Mwanasheria
24. Mhasibu
25. Fundi seremala
26. Mcheshi
27. Mwanamuziki
28. Muigizaji
29. Shamba boi
30. Fundi ujenzi
31. Msafi
32. Unajali
33. Mzazi
34. Mlezi
35. Mvumilivu
36. Mjanja
37. Mpole
38. Mkarimu
39. Msikivu
40. Mtunza siri
41. Mkweli
42. Kiongozi
43. Tajiri
44. Mpangaji
45. Mwana Michezo
46. Mtundu
47. Tegemeo
48. Jasiri
49. Mthubutu
50. Shupavu
51. Mwerevu
52. Muungwana

HAPO HAPO UNATAKIWA:-
53. Uwe Fundi kitandani.
54. Uwe unamtoa outing.
55. Uwe unampa pesa za kutosha.
56. Usimsumbue sumbue.
57. Usiangalie wanawake wengine.

HALAFU KUNA:-
58. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale.
59. Kumsifia alivyoumbika.
60. Kumsifia alivyopendeza.
61. Kumfungulia mlango, kumshikia pochi.

PIA USISAHAU:-
62. Siku yake ya kuzaliwa.
63. Kumbukumbu ya ndoa.
64. Siku ya valentine.
MUHIMU SANA, KUWA MAKINI:-
65. Jifunze kutoulizia chenji ukimpa pesa ya shopping.
66. Usipende kubishana nae kila kitu
WANAUME KAZ TUNAYO.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukinunua gazeti jioni unaakuwa umepoteza tu bure pesa maana linakuwa halina jipya habari zote zinakuwa zimeshapita muda. Sasa weka mtu hapo kwenye uhusika wa gazeti [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nijiweke tu mwenyewe

Mtuwache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie wenyewe ni magazeti ya jioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuoa Mwanamke wa umri labda iwe kwa sababu maalumu

1. Awe ni mchumba wangu niliyekuwa naishi naye ndio maana kafikisha umri huo. let say nilimchukua akiwa na 24 tukaishi miaka sita au saba bila ndoa. Huyo nitaoa.

2. Awe ni mwanamke niliyemzalisha zamani, labda nilimpa mimba zamani then baada ya miaka kupita aje akiwa na 31+. hana mtoto mwingine isipokuwa yule wangu niliyemzalisha. Huyo nitamuoa.

3. Awe na miaka 31+ akiwa na bikra Huyo nitamuoa kwa mahari kubwa.


Tofauti na hapo siwezi oa Mzee wakati mabinti wapo
 
Vip kuhusu utamu wadau si ni uleule???
kwenye utam naona ni uleule labda kinachoweza kuleta shda ni kuona aibu mbele ya ndugu zako endapo utaoa mwanamke mwenye 28+
 
Wanawake wengi wakifikia miaka 30 huwa wanajikuta kwenye mahusiano yasiyo na malengo wanaliwa tu na kuhudumiwa ipasavyo ila bila ndoa na mwsho wa siku hupigwa mimba na wanaume tofauttofaut

GunFire
 
Kuoa Mwanamke wa umri labda iwe kwa sababu maalumu

1. Awe ni mchumba wangu niliyekuwa naishi naye ndio maana kafikisha umri huo. let say nilimchukua akiwa na 24 tukaishi miaka sita au saba bila ndoa. Huyo nitaoa.

2. Awe ni mwanamke niliyemzalisha zamani, labda nilimpa mimba zamani then baada ya miaka kupita aje akiwa na 31+. hana mtoto mwingine isipokuwa yule wangu niliyemzalisha. Huyo nitamuoa.

3. Awe na miaka 31+ akiwa na bikra Huyo nitamuoa kwa mahari kubwa.


Tofauti na hapo siwezi oa Mzee wakati mabinti wapo
Yaani we jamaa kwenye points zako nilijua tu #3 haiwezi kukosa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+

Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?

Tabia? Mwonekano? Au nini??

umalaya tuu tuuhamna lolote.
 
Ni sahihi na muda wake haujafika..last born wangu kaolewa na 21 ..dada yangu kaolewa na 34..kwahiyo sidhani Kama Kuna tatizo hapo Ni muda tu ndiyo waongea.
Hapo kwenye "Last born wangu wa miaka 21" nahisi kama unatupanga??
 
Back
Top Bottom