Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,271
- 5,617
Hapana mkuuIshi maisha yako rafiki, hata ingekua unagonga 38, bado sioni shida ikiwa hajapatikana mtu sahihi. Unataka kuniambia utajilengesha kwa mtu kisa unafukuzia umri?
ila imebidi nihoji maana masakamo yamekua mengi hata usipozaa kiafrika jiandae kupambana na changamoto