Ni sawa kufanya tohara? Kwanini muumba aliweka govi?

Hivi haya magovi hayawezi kutengeneza bidhaa badala ya kuyatupa tu baada ya kutahiri tanzania ya viwanda yaja tuangalie tuyaganyie nini magovi
 
Hivi haya magovi hayawezi kutengeneza bidhaa badala ya kuyatupa tu baada ya kutahiri tanzania ya viwanda yaja tuangalie tuyaganyie nini magovi
Made of govi, dah [emoji109]
 
Du miaka 99!!?
 
kama nilo ni la kuhoji,basi na la kukatwa kitovu pia pindi mtoto azaliwapo...nalo vipi..???.. maana mwenyezi mungu pia angeweza kufanya tukazaliwa kama vifaranaga..
kwa hiyo ni makusudi halali kabisa kwa m'mungu...
 
Adamu ambaye ndo mwanadamu wa kwanza Duniani alitahiliwa nanani ? Na kwanini Mungu alikosoa uumbaji wake !.Wakuu mukuje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…