mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Hao ni USED kuliko unavyofikiriWakuu me nakutana nae kesho mtot mzuri wa mzumbe
ASEEE WEWE KWELIInategemea na uzito wa wallet yako. Mtu kama mimi wali maharage nyama na mchicha kwa mama ntilie nitakuona wewe people kweli wala sitakusahau.
Mtoe out for coffee, msikariri kila siku dinner tu.
kama yuko smart upstairs atapenda the idea ya coffee kwasababu huko coffee shop mtakuwa na serious talk pia ata-xperience the difference.
Umekula lini mihogo ya pale nasikia mihogo imepanda bei sana siku hiziCoco beach mkale mihogo. . Mihogo ya siku hizi mitamu kweli [emoji4]
Daah..!Mpeleke guest