Ni sehemu gani nzuri ya Kuficha 'Pochi' yako Chumbani 'Gesti' ukiwa umemnunua 'Malaya' wa Kulala nae hadi Asubuhi ili asikuibie?

Watu tunawaza kujenga uchumi ambao Bi Mkubwa kauharibu, nyie mikuchuru ya mbungani mnawaza tuuuu kupoteza energy kwenye ushirikizinaa. Sijui hapo tunaenda ama tunarudi kama taifa!???
 
Unatakiwa uwe timamu tu kumkichwa,hatapata muda wa kukupiga,sasa ukiwa kitungi utapigwa tu.
 
wewe ni konki kwenye hiyo seksheni
 
ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
Sihangaiki na chochote zaidi;

1. Big deal ni kusogeza kitanda kwenye mlango yaani mlango haufunguki hadi usogeze kitanda tena.

Au

2. Funguo naitumbukiza kwenye pochi au nguo zake akiwa haoni.
 
Sihangaiki na chochote zaidi;

1. Big deal ni kusogeza kitanda kwenye mlango yaani mlango haufunguki hadi usogeze kitanda tena.

Au

2. Funguo naitumbukiza kwenye pochi au nguo zake akiwa haoni.
Hiyo namba 2 ndio inakamilisha ule msemo wa;

Mchawi mpe mwanao akulelee.
 
dah, mna roho ngumu kulala na 'wezi'

hao ni wa kugonga 'sho taim'
 
Kama kwenye chumba kuna dustrbin chukua kondom moja ivishe wallet tupa pamoja na zile ulizotumia juu yake ndan dust .
 
ANGALIZO

Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
mwambie muulizaji amuulize mkewe.
 
Asee mna moyo mgumu yaani mimi mwanamke ambae simjui (ambae ndio mara ya kwanza kukutane nawe) kufanya nae mapenzi sidhani kama nitakuja kuweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…