Usihangaike na vitu vyako.
Cheza na ufunguo tu.
Hakikisha kuwa hajuani na watu wa guest husika. Mkiingia tu, funga mlango. Funguo usichomoe.
Taa pia usizime. Kula mzigo, wana tabia ya kujidai kuwahi kulala ili nawe ulale.
Jifanye unaenda kuzima taa kule ukutani hata kama ipo karibu na kitanda.
Ukizima taa, chomoa na ufunguo.
Kuwa makini, hajalala bali anakuchora tu.
Jifanye kushika shika mto ili ajue unauchomeka kwenye mto. Alafu nenda chooni au bafuni. Weka tu pembeni ya kidirisha cha chooni.
Nenda kalale! Atakuamsha usiku mwenyewe kuwa anataka kuondoka!.
Au chomeka ufunguo kwenye kipakiti cha kondom, tupia uvunguni.
UZINZI HAULIPI. ACHANA NA MAGUMEGUME.