nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
fafanua kuhusu majimoto, hali ya hewa, kilimo na mzunguko wa pesaYes majimoto nishawahi kufika, hilo jina linatokana na Chem Chem ya majimoto iliyopo hapo kijijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fafanua kuhusu majimoto, hali ya hewa, kilimo na mzunguko wa pesaYes majimoto nishawahi kufika, hilo jina linatokana na Chem Chem ya majimoto iliyopo hapo kijijini
Sasa huko si burundi mzee.Kijiji kinaitwa Nyankoronko kipo wilaya ya Buhigwe mkoani kigoma aisee kule ni hakuna hata Bara bara ya changarawe tu maji mitoni aisee
Halafu wenyeji wanatamka GambosiKijiji cha Gamboshi kilichopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu.
Ntarudi.
Makete nlipapita nlkua naenda Ikonda daah kuna watu wanaishi nchi nyingine wanasingizia TanzaniaMakete kuna mtu amesepa yale maeneo haifai mtu kuishi..
Nimefanya kazi kama na kuishi huko. Nakushauri, nenda kapige mishe. Ni eneo zuri sana na watu wanalima sana. Kilimo kikubwa ni Mpunga na wanatoa kwenye bonde la Mwamapuli, Mamba, lake Rukwa na Kasansa. Kuna elimu za umwagiliaji za uhakika na Mpunga wanaolima hawatumii mbolea. Pana mzunguko mkubwa wa Pesa kwani wasukuma na Waha wengi wameinvest huko kwenye Kilimo, Biashara na ufugaji. Pia wanalima ufuta kama zao lingine la kibiashara. Pamechangamka sana na muda wataipata hadhi ya Mamlaka ya Mji mdogo Maji moto. Panapitika mwaka mzima kwa barabara za uhakika, unaweza kwenda Sumbawanga, Mpanda Mjini na Tabora pitia daraja la Kavuu. Nenda mkuu, ukiwa na akili unatoka kimaisha. Kunefunguka sana japo ni nilitoka huko 2014emu tufafanulie kuhusu majimoto, pako vipi kwenye uwekezaji wa kilimo
Lakini watu wanapiga sana hela huko kwa kuendesha kilimo cha tangawiziHuko same kuna sehemu inaitwa mamba miamba,aisee ni mlimani hatariiii.
Sasa panaweza kuwa Pazuri kwani ni kijiji na sasa ni kata ya Wawindaji. Nimeishi huko japo zamani. Barabara sasa nasikia ni ya uhakika na mawasiliano sasa nasikia yapo. Ni pazuri kwa kweli kwani jamaa wanalima sana japo zao kubwa ni Tumbaku. Kijiji hiki kuna misitu mingi ya asili ukiwa Majanja unapiga maisha oitia Mininga na Mikora. Pia kuna wanyama wengi ukiwa jangili utapiga pesa. Kijiji hiki kuna kijiji kingine jirani kipo Singida kama sikosei, kuna madini na watu wanapiga sana pesa. Ni pazuri bro, nenda kafanye Maisha japo nakushauri Majimoto is the best.hebu fafanua zaidi kuhusu hiki kijiji mkuu, kuna wakati nilitaka kwenda hapo.
We nae ndio umekosa cha kusema.mpanda watu wanaendesha dualis na harier watu wana hela za madin na ndege ipo dar. Mpanda labda ulifika ya karne ya 12.ila sio mpanda hii mzeeMpanda katavi....mji wa hovyo sana ule
Majimoto yote wanalima mpunga,asali na sasa lami tupuBora hata mpanda, kuna mahali panaitwa MAJIMOTO aisee huko nilipoenda nilijiuliza qatu wamefuata nini, na wengi wao ni wasukuma kule...Ajabu ni kwamba they are making money ile hatari. Ni matajiri wa kutupwa kutokana na kilimo ufugaji na madini.
sanga sanga sehemu gani mkuu?Kijiji cha Sanga Sanga mkoani Morogoro..
Nadhani una maanisha njia panda ya Ipole, wilaya ya Sikonge, Tabora; ukiacha barabara ya kuelekea Mpanda, unayooka kushoto kwako kuelekea Rungwa. Hapo mlipokutana na bonge la joka hapo panaitwa Kitunda. Usipochukua tahadhari unaweza liwa na simba. Mbele kidogo kuna mji unaitwa Kitunda - watu wanachimba madini pale. Ukitoka Rungwa unaelekea Kambi Katoto (upande wa kusini), Chunya kisha unaelekea Mbeya. Unabidi uwe na roho ngumu kiasi ili uweze kuishi kule. Ukitoka Rungwa kuelekea Kaskazini utaingia Itigi, kisha barabara kuu kuelekea Singida au Manyoni.Tabora Kuna sehem Moja Kuna njia panda ya kwenda mpanda na barabara lingine linaingia maporini......Picha linaanza mwenyeji alokuja kutupokea usiku mwenyewe alitupoteza, pili hatukua tukiona nyumba Wala chchte ni Giza tu......Tumesogea mbele tukashuka kweny gari kuangalia tuelekee usawa gani katokea bonge bonge ya joka tukakimbilia kweny gari tukaanza tena kuitafuta njia tukaipata
Tulivofika hapo msibani tukala tukala usiku nmelala nasikia kitu kikubwa kipo mgongoni kwangu kuwasha tochi nakutana na panya analinga a kichwa na Putin. Weeeh nlipiga kelele watu wote wakaamka nduki
Asubui nmeamka wakasema tuende tukapaone sehem alipozikwa ndugu yetu tukafika tukaanza kurudi nyumbani tukakutana tena na joka nlikua natetemeka hadi nikaingia period
Tukarudi nyumbani muda wote natembea sion nyumba za watu nkajiuliza Ina maan huku watu wanatokea wapi kumbe huko ndani ya msitu zaid
Siku tunarudi tukakutana barabarani na fisi mara na mbwa mwitu mara nyoka kakaa katikati ya barabara eeeh nyumba tukaona chache sana zenyewe ziko mbali mbali
Tulivofika center bwana weeeh nilijikuta nipo hospital maan nlikata moto gafla baada ya kusema tumbo linauma
Nilijiuliza watu huko wanaish vp, nyoka kila Kona, fisi mbwa mwitu,wanakunywa maji meupe kama maziwa, hospital ni mbali kias kwamba lazima uombe Pooh
Yes, utafutaji umefanya tuzunguke kila kona ya nchi hii.Humu kuna watafutaji sana.
Kuna watu mna vipaji vya kushika majina ya vijijiNadhani una maanisha njia panda ya Ipole, wilaya ya Sikonge, Tabora; ukiacha barabara ya kuelekea Mpanda, unayooka kushoto kwako kuelekea Rungwa. Hapo mlipokutana na bonge la joka hapo panaitwa Kitunda. Usipochukua tahadhari unaweza liwa na simba. Mbele kidogo kuna mji unaitwa Kitunda - watu wanachimba madini pale. Ukitoka Rungwa unaelekea Kambi Katoto (upande wa kusini), Chunya kisha unaelekea Mbeya. Unabidi uwe na roho ngumu kiasi ili uweze kuishi kule. Ukitoka Rungwa kuelekea Kaskazini utaingia Itigi, kisha barabara kuu kuelekea Singida au Manyoni.
Lutindi kule kwenye hospitali ya vichaa?Unapajua lutindi mashindei