Aiseee, ulijikojoleaKijiji kimoja kipo bukoba -omurushaka-nkwenda— halafu unazani ndaaaaaaani kabisa ,usafir kutoka huko kuja nkwenda gari moja Linapita saa kumi halafu mnapakatana , niliajiriwa huko nmiefika kama leo kesho yake nikaamua kuondoka gari likapita kunichukua aisee hawataki hata nikojoe eti wanaChelewa, nilijikojolea kwenye gari na kazi ndo ikawa basi
Kwa hiyo kwa sasa wewe sio Mwalimu tena??Kijiji kimoja kipo bukoba -omurushaka-nkwenda— halafu unazani ndaaaaaaani kabisa ,usafir kutoka huko kuja nkwenda gari moja Linapita saa kumi halafu mnapakatana , niliajiriwa huko nmiefika kama leo kesho yake nikaamua kuondoka gari likapita kunichukua aisee hawataki hata nikojoe eti wanaChelewa, nilijikojolea kwenye gari na kazi ndo ikawa basi
Kwa hiyo kwa sasa wewe sio Mwalimu tena??
Nina imani huko kwingine una amani nako mkuu.Mungu alijaalia nikapata sehemu nyingine
Hii ni kwel kabsaDodoma ni hatari ,kuna vijiji vinapatikana shortcut (mpwapwa to Iringa road)
Imagine hadi wakiona gari wanakimbia,ilibidi tushuke kwanza tuwauulize maswali ya hapa na pale kuhusu maji,chakula maana Hamna mazao kabisa na vumbi linatimka muda wote ,Vitoto vimebuka hatari unahisi hata wakipiga maji hawatakati,kiswahili pia shida
Mbona Russia [emoji635] ni mara 5 ya England [emoji636] lakin zinalingnishwa kiuchumi?Tanzania hii ni kubwa sana nashangaa watu kujilinganisha na Rwanda, na Kenya kimaendeleo wakati hizo nchi zinaingia mara mbili kwa Tanzania
Si hata ushukuru Mungu unakula ugali na maharage na hujui yametoka wapi!Hivi ilikuwaje hadi watu wakaishi mkoa wa rukwa?
Nyie jamaa mna mtindio wa ubongo. Kwakua mnaishi sehemu mnazoona ni nzuri mnawashangaa wanaoishi Rukwa, Lindi na Mtwara. Imagine wote tubanane huko kwenu mnakoona kuzuri.Yaani hata Mimi najiuliza Kuna Lindi na Mtwara sijui walifuata nini
Mtambaswala na Nakapanya kuna shida gani?? Hizo sehemu ni lami, zina bar na maduka, kuna network.. Nyama na kila aina ya starehe unazipata hapo. Ofisi za serikali zipo na huduma zote za kijamii. Hujatembea weweDodoma Kuna sehemu inaitwa farqwa,Kondoa road.
Pengine ni Mtambaswala,Masasi ,Lindi,na Nakapanya kama unaenda Tunduru,nchi hii basi tu,huko watu wanakula mpaka upupu
MTWARA ipi?? Mtwara inaizidi mikoa mingi sana Tanzania kwa Maendeleo, Hata vijiji vyake huwezi linganisha karibu na Robo 3 ya mikoa ya Tanzania hii. Unalinganisha Mtwara na mikoa ipi??Yaani hata Mimi najiuliza Kuna Lindi na Mtwara sijui walifuata nini
We nawe mwakaleli town kabisa,kwa mwakaleli,kwa mpuna,kulisu ipimba,kuno jiliko igesi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji137]Mwakaleli- Tukuyu Mbeya. Aisee baridi lilinushinda pale Mwax sec.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ruaha mbuyuni mule [emoji1787]Vijiji vya njiani ukiwa unapita kwenda mikoani unakuta mtu anatembea kuelekea uelekeo ambao ww huoni nyumba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo kiberiti ni 3600/=TSH Nchi yangu bado unakuta mtu kavaa CCM nambari oneKupata kiberiti Lazima upande tandamu zinazobeba magogo uwape 1500 na kurudi 1500 jumla buku tatu kiberiti Cha mia
Dah,kule ni another country,tulienda kufanya vaccination records taking, people wakawa wanatukimbia, thanks mwl mmoja akawatoa hofu kwamba siyo police [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I remember that day [emoji137][emoji137]Nzugilo Mpwapwa.
Ungevumilia tu mambo yange kuwa mazuriKijiji kimoja kipo bukoba -omurushaka-nkwenda— halafu unazani ndaaaaaaani kabisa ,usafir kutoka huko kuja nkwenda gari moja Linapita saa kumi halafu mnapakatana , niliajiriwa huko nmiefika kama leo kesho yake nikaamua kuondoka gari likapita kunichukua aisee hawataki hata nikojoe eti wanaChelewa, nilijikojolea kwenye gari na kazi ndo ikawa basi
Ndiyo wapi huko niende nikajifiche na hii Dunia [emoji137][emoji137]Kawe kapina -Heka kumi kwa elf 15 .Ukiwa na 50 na nyumba unajenga kabisa .Tanzania bado poriii.