KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Kinamweri
kibondo kigoma yani, ilikua mwaka 2015 , kwanza kufika uko ni barrier za maana tulikutana nazo barabarani adi nikajiuliza ivi uku ni Tanzania au nchi nyingine.
Duh haya bwanaOh! nimechanganya,I'm sorry 🙏
Ndio nyumbani nini😂😂😂😂Kwenda zako huko 😁😁😁🖐
Mimi kwetu mkoa wa Mara huko ndani ndani Ujaluoni huko. Huko Bariadi ni ukweni nimeoa huko na hayo anayoyasema mimi sijayaona. Jamaa atakuwa ni furushi labda 😁😁😁Ndio nyumbani nini😂😂😂😂
Mwakaleli siyo kijiji, bali ni eneo kubwa lenye kata 4 (Isange, Luteba, Kandete na Mpombo), vijiji takribani 20 na vitongoji lukuki.Ni Kweli Ni maharufu San hicho kijij na wengi ni wa lutheri Seema saasa Kuna wachawi sna pale ukicheza unabebeshwa mimba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilifika kijiji flani Mlimba mliman karibu na mpaka wa Wilaya ya Kilolo. Duka na genge halina muuzaji bali orodha ya bei ya kila kitu imewekwa.
Unajihudumia unachotaka unaweka hela yako na kuchukua chenji na kuondoka.
Wewe unisurika kuchomwa moto na gari lenu. Kimsingi wanawaona kama wanyonya damu za watuDodoma ni hatari ,kuna vijiji vinapatikana shortcut (mpwapwa to Iringa road)
Imagine hadi wakiona gari wanakimbia,ilibidi tushuke kwanza tuwauulize maswali ya hapa na pale kuhusu maji,chakula maana Hamna mazao kabisa na vumbi linatimka muda wote ,watoto wamebabuka hatari unahisi hata wakipiga maji hawatakati,kiswahili pia shida
Ni wapi huko, hao ndio waandamanaji wanaotakiwa Tz.Habari za muda huu wana JF,
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Dah umenikumbusha mbali, tanganyika masagati, iduhi ndembo na utengule.kijiji cha tanganyika,kata ya masagati tarafa mlimba wilaya ya kilombero .nikipangiwa kule kituo cha kazi mwaka 1999 nikarudi kumshukuru DED kwa kazi.nikarudi zang Dar .aise Kule watu alikuwa wanaishi kama mazombie hakuna huduma ylza jamii hata moja hadi uende mlimba 150km Dahhh ila nasikia mambo siku hizi yamebadilika Luna kula kitu japo afadhari.
Unawawaza halafu wao wanaona kawaidaKuna sehemu Mkoa wa mbeya inaitwa Lupa tingatinga then unaingia ndani ndani huko kunaitwa Nkunungu aisee nliona watoto wa shule ya msingi shati Lina rangi ya udongo hata ufulie jiq haliwezi takata! Umasikini ni mkubwa sana vijijini, Bado watu hutumia mitishamba kwa kiasi kikubwa! Nlikuwa nna project ya research kule sasa pencils nlikuwa nazo kwenye vibox ikabidi nizikatekate nigawe kwa watoto karibia darasa la pili wote walikuwa hawana mtoto anakipenseli kama ukucha! Kila nikikumbuka huwa nawaza wale watu ni lini watakuja kuondokana na Hali ile
Ng'apa, Msimba na Iyovi karibia na Mikumi morogoroNg'apa ipi?!!km ya Lindi sio kweli
God must be crazy kumbe bado inaishiDodoma ni hatari ,kuna vijiji vinapatikana shortcut (mpwapwa to Iringa road)
Imagine hadi wakiona gari wanakimbia,ilibidi tushuke kwanza tuwauulize maswali ya hapa na pale kuhusu maji,chakula maana Hamna mazao kabisa na vumbi linatimka muda wote ,watoto wamebabuka hatari unahisi hata wakipiga maji hawatakati,kiswahili pia shida
Ni muda umepita,nafikiri sasa kutakuwa na mabadiliko.God must be crazy kumbe bado inaishi