Na ule uzi wa ukifika ukajiuliza walifuata nini..Utaunganishwa sasa hivi
Chooon huwa natamanigi nishindehukooKuna sehemu moja huko monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku,
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme,maji,choo,nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu,dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi,hakuna hata kuangalia habari,jioni ni kuota Moto tu
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Isimani, Iringa. Hakuna kituo cha mafuta ya magari. Hadi ununue kidebe au uende mjini.Kuna sehemu moja huko monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku,
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme,maji,choo,nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu,dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi,hakuna hata kuangalia habari,jioni ni kuota Moto tu
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
TABORAKuna sehemu moja huko monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku,
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme,maji,choo,nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu,dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi,hakuna hata kuangalia habari,jioni ni kuota Moto tu
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Utakuwa ulikatishia itigi inakopitia treniTABORA
nilienda na bus NBS enzi mwaka 2013 nilienda jeshini kikosi cha msange asee tulivyofika singida manyoni nadhani tuka ingia njia ya vumbi kwenda tabora
Toka nimezaliwa sijawahi kuona umaskini kama wa tabora yaani nilishangaa mno njiani kabla ya kufika tabora mjini ....tabora mjini nako ni maskini mno
Kwa muda uke rais alikuwa kikwete 2013 ....nasikia alimaliza kwa kuweka barabara ya lami kutoka singida hadi tabora ila miaka ile hali ilikuwa mbaya
Niliaapa siji kurudi tena TABORA KATIKA MAISHA YANGU
Wamekuwekea lami.Unajiapiza nini sasa?Hivi,una asili ya wapi huko ambako kuna lami hadi vyumbani na umasikini haupo?TABORA
nilienda na bus NBS enzi mwaka 2013 nilienda jeshini kikosi cha msange asee tulivyofika singida manyoni nadhani tuka ingia njia ya vumbi kwenda tabora
Toka nimezaliwa sijawahi kuona umaskini kama wa tabora yaani nilishangaa mno njiani kabla ya kufika tabora mjini ....tabora mjini nako ni maskini mno
Kwa muda uke rais alikuwa kikwete 2013 ....nasikia alimaliza kwa kuweka barabara ya lami kutoka singida hadi tabora ila miaka ile hali ilikuwa mbaya
Niliaapa siji kurudi tena TABORA KATIKA MAISHA YANGU
Karibu Marangu. Ila mazingira na hali ya watu uliionaje?Marangu, eneo la karibu na hifadhi ya msitu wa Mlima Kilimanjaro.
Lile baridi hapana, siwezi kulikabili tena.
Plus vipando ni au unyate wakati wa kwenda na ukimbie wakati wa kurudiMarangu, eneo la karibu na hifadhi ya msitu wa Mlima Kilimanjaro.
Lile baridi hapana, siwezi kulikabili tena.
Keigei huko Lindi matekwe.
Na tayariNa ule uzi wa ukifika ukajiuliza walifuata nini..