LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Kuna sehemu moja huko Monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku.
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme, maji, choo, nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu, dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi, hakuna hata kuangalia habari, jioni ni kuota Moto tu.
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme, maji, choo, nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu, dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi, hakuna hata kuangalia habari, jioni ni kuota Moto tu.
Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.