Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Uko sahihi
 
Bukiriro wilaya ya Ngara.....uchawi wa kutisha.....ukipangiwa kazi huko huwez kurud nyumban wanakjj wanakufungia huko
 
A
Aiseeee hatarrr
 
Toka Iringa mjini kituo cha mafuta unakikuta Migoli mbele ya Nyang'oro
 
Reactions: EEX
Niliwahi enda sehemu moja pwani chalinze inaaitwa Kilemela nilidhani ni pagumu kumbe kuna sehemu ngumu zaidi
 
Bukundi na Makao kwa Sasa Kuna uafadhali
Nilienda mwaka juzi huko Bukundi aisee hakuna rangi sijaona. Kuna vumbi hata kama una v8 lazima likufikie. Maisha magumu sana kuna sehemu nyingine huko sijui karibu na ziwa magadi daaah.!!!
 
Duh haya mambo yako kweli ndugu?imenishtua sana hii
 
Ni kweli kabisa. Mimi kwetu ni Usangi Kirongwe. Toka nazaliwa kuna maji na umeme kitambo sana. Barabara ya lami. Usafiri upo muda wote. Coaster, mabasi makubwa, coaster etc.
Shule ni nyingi hadi zinakosa wanafunzi. Nyumba za kisasa. Karibu Usangi , Greenland.
 

Attachments

  • Screenshot_20250308_115621_Gallery.jpg
    2 MB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…