Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
- Thread starter
-
- #81
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dunia Ina mamboMakongoro, jimbo la Rorya Kule ziwani hakuna mwanakijiji mwenge choose, kwakweli nimestaajabu sana, halafu wenyewe hawabanwi na mavi hadi muda wa kwenda ziwani kuoga, kweli kuwa uyaone.
Hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu Mimi jamaaniiiiiiiiKwa konje, handeni iko ndani ndani masaa sita kwa baisikeli kutoka makuyuni. Kila nyumba ina kibwengo
Kijiji cha MKOO wilayani MASASIHabari za muda huu wanajf.
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji Cha Baranga kata ya sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndo kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu , jua kali ndo kwao, vurugu Sasa ndo chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafikina timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa Sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa namgogoro wa mpaka wa shamba Kati ya ukoo na uko huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu Nini?
Huijui mwanza wewe. Wa kishiri akiishi kwenye mawe, igogo au mabatini wassmejeHahah..hi ngoma ni kishiri kama sikosei
Nje ya madaTanzania hii ni kubwa sana nashangaa watu kujilinganisha na Rwanda, na Kenya kimaendeleo wakati hizo nchi zinaingia mara mbili kwa Tanzania
Ni kama ipo mpakan na igoma...mfno ni hill front ambayo ipo njia ya kuelekea kishiri..napo watu wamejenga ila c kulinganisha na mabatinHuijui mwanza wewe. Wa kishiri akiishi kwenye mawe, igogo au mabatini wassmeje
Sawa. Ila mwanza sehemu kubwa ni milima na mapango. Ni Mungu tu anawalinda wanaMwanza walio wengi. Yale mawe ukiyaangalia yalivyokaa ndio utajua kuna nguvu kubwa inaulinnda ulimwengu na mabayaNi kama ipo mpakan na igoma...mfno ni hill front ambayo ipo njia ya kuelekea kishiri..napo watu wamejenga ila c kulinganisha na mabatin
Kabxaa aysee...kama hapo mabatin ndo changamoto ...hadi unashangaa hayo material ya ujenzi aliyapoandishaje mliman huko?Sawa. Ila mwanza sehemu kubwa ni milima na mapango. Ni Mungu tu anawalinda wanaMwanza walio wengi. Yale mawe ukiyaangalia yalivyokaa ndio utajua kuna nguvu kubwa inaulinnda ulimwengu na mabaya
Huko sidhan kama mazingira ya kuish ni magumu kiasi hicho kwan kiasi kikubwa huduma zote za kijamii zinapatikanaKilimanjaro so far sijaona maeneo yake yakitajwa.
Bila shaka tulikuwa wote kwenye mkesha wa Mwenge Kijiji cha Ilunde, kule ni nomaIlunde Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Kijiji kipo Porini, Kilomita 70 toka makao makuu ya Wilaya ya Mlele. Hakuna network wala nini na ni Porini hasa. Sijui walifuata nini kule.
Kuna huduma nyingi za kijamii hakuna mazingira magumuKilimanjaro so far sijaona maeneo yake yakitajwa.
Tanganyika ndio hatari zaidiMpanda katavi....mji wa hovyo sana ule
Duh! .Kwa konje, handeni iko ndani ndani masaa sita kwa baisikeli kutoka makuyuni. Kila nyumba ina kibwengo
Hapo ongeza na ndongosi Napo kwikwi labda wakat huu pamebadilikaKijiji kinaitwa Magwamila kiko Nambendo Wilaya ya Songea ndani ndani uko, wale wayao 95% wote ni watu wa Msumbiji ni mbali kishenzi