Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Wachawi sana wa kutumia visomo(Quran) ila kuna mabinti wazuri kule acha kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kondoa sio pa mchezo, ila wanapenda kamati balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi sana wa kutumia visomo(Quran) ila kuna mabinti wazuri kule acha kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kondoa sio pa mchezo, ila wanapenda kamati balaa
mwaka huu tu.Hii Dar napinga coz now kuna baridi
Kwanza nicheke sana umenikumbusha mbali sana hilo neno kamati hv linamaana gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kondoa sio pa mchezo, ila wanapenda kamati balaa
Mkuu endasaki ni kweli pazuri sana mwakq fulani Tulikuwa tunapeleka vitunguu tunavitoa berabera ulipo mto bubu kupitia njia ya siropu ila siropo kuna uchawi sanaEndasaki pazuri sana tengua kauli yako!
😁😁😁 dotina noma sana halafu pisi za kule haziogagi halafu baridi kama urusi endasaki pazuri sana kama trip tatu nilipeleka karanga na vitunguu majiKuna Kijiji jina Dotina, manyara huko, aisee kile Kijiji wiki niliyokaa niliona kama miaka 5!! Dotina, Endamasaki, wenyeji wa kule heshima kwenu!!
Wape salamu hapo kasalaziUmenikumbusha mbali sana huko kasalazi
Mkuu endasaki ni kweli pazuri sana mwakq fulani Tulikuwa tunapeleka vitunguu tunavitoa berabera ulipo mto bubu kupitia njia ya siropu ila siropo kuna uchawi sana
Unajua mbojo?
😁😁 sehem gn hy maana kondoa yote nimeivurugaDodoma pazuri mjini TU pale na Kondoa pale mjini vijijini hukoo ni shida kwanza kuna sehemu nilienda wanatumia maji Yale kama maziwa hivi hata kwetu Kijijini hayapo kabisaa
Vp hujakutana na kashikashi za misukule aka mananauNdio maana nimeshangaa sana jamaa kusema Endasaki ni kubaya,pale pazuri sana,hali ya hewa ni nzuri,chakula cha kutosha,mazao full time wanalima mbugani,biashara unafanya bila tatizo,totozi za kimbulu ndio usiseme!,nimekaa pale one year napajua vizuri
Duh dadeq mkuu nsanza nazipenda sana halafu sasa upate na mpototo aisee ugali wa uwele unashuka tuNdio maana ukiowa mwanamke wa kirangi ni rahisi sana kuhadaika na maisha ya mjini wengi wao wanazaliwa wanakulia kwenye maisha magumu chakula chao kikubwa ni ugali na nsanza ( majani yaliyokaushwa yanakaangwa halafu unatafuna kama karanga)
NasbangaagaVijiji vya njiani ukiwa unapita kwenda mikoani unakuta mtu anatembea kuelekea uelekeo ambao ww huoni nyumba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makongoro, Shirati, jimbo la Rorya Kule ziwani hakuna mwanakijiji mwenye choo, kwakweli nimestaajabu sana, halafu wenyewe hawabanwi na mavi hadi muda wa kwenda ziwani kuoga, kweli kuwa uyaone.
umenichekesha sana hapa 😂😂😂😂Kuna kijiji nilifika kutafuta ndizi biashara miaka hiyo.
Aisee ni mbali katikati ya turiani na korogwe njia ya pori kwa pori.hamna magari ni kwenda kwa baskeli tu alafu unachepuka kwenda mlimani huko nikakuta kakijiji aisee vijumba kichekesho,alafu wana mfalme wao yaani chakula wanakula woote familia zoote pale kwa mfalme.
Kila kaya inaleta ilichopika pale.
Nilikula mboga mboga mpk nilikoma.
Siku nikalogwa nikanunua kuku 2 wameniuzia wao wenyewe kaya 1 niliokuwa nakaa nikawapa wapike nikajua ntakula japo nusu aaah wakapeleka kwa mfalme kule tunakokula nikaambulia kibawa,yaani mkulu ana nyofoa kinyama anampa mtu kushoto au kulia kwake kinatumwa mpk kikufikie kila mtu kakishika
Nilikasirika sana.
Ni balaa wale watu sidhani kama hata kama walikua wanajua hii nchi ina serikaliumenichekesha sana hapa 😂😂😂😂
huko si wanasema dini ndo imetamalaki balaaNdio maana ukiowa mwanamke wa kirangi ni rahisi sana kuhadaika na maisha ya mjini wengi wao wanazaliwa wanakulia kwenye maisha magumu chakula chao kikubwa ni ugali na nsanza ( majani yaliyokaushwa yanakaangwa halafu unatafuna kama karanga)
Kutegeruka😁Kakukuru kata ya mulutilima...hapo beach ya kakukuru ndio stendi ya boti nyingi za kwenda visiwani huko (last time nilienda kakukuru 2020)...Siku za kufunga makambi huko visiwani wenyewe wanaita kutegeruka hapo kakukuru usafir wa kwenda nansio inakua ni patashika
Hii kali ya mwaka!Ushakaa Mwanga na Same ukaona pa Ovyo? Asilimia kubwa vijiji vyao vina huduma muhimu tokea zamani, kushinda hata Dar es salaam
wavidunda, wana miguu iliyoota vigimbi kwa ajili ya kushuka na kupanda milima ktk harakati za kwenda kuuza maharage kule Kidatu na Ruaha.Kuna Wavidunda wanaishi juu ya milima pembeni ya Bwawa la Kidatu. Tulikwenda study tour unapita chuo cha Maafisa wa Polisi. Wao wanaahuka toka milimani ni hatari. Naambiwa Wana Mila Yao ya kubudu Moto lazima wawashe Pori mara moja Kila mwaka. Wale watu mpaka Serikali imeingia nao mkataba wa kuwasafirisha kwenda Kilombero kufuata mahitaji. Magari ya TANESCO yanawapeleka na kuwarudisha bure Kila alhamisi.