Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kondoa sio pa mchezo, ila wanapenda kamati balaa
Kwanza nicheke sana umenikumbusha mbali sana hilo neno kamati hv linamaana gani?
Nakumbuka bibi yangu alikuwaga anapenda sana kusema nitakupeleka kamati hasa kama amekerwa na mtu kwa jambo fulani mfano mtu kachungisha mazao shamban kwake
 
Kuna Kijiji jina Dotina, manyara huko, aisee kile Kijiji wiki niliyokaa niliona kama miaka 5!! Dotina, Endamasaki, wenyeji wa kule heshima kwenu!!
😁😁😁 dotina noma sana halafu pisi za kule haziogagi halafu baridi kama urusi endasaki pazuri sana kama trip tatu nilipeleka karanga na vitunguu maji
Unashawahi kusika mbojo?
 
Mkuu endasaki ni kweli pazuri sana mwakq fulani Tulikuwa tunapeleka vitunguu tunavitoa berabera ulipo mto bubu kupitia njia ya siropu ila siropo kuna uchawi sana
Unajua mbojo?

Ndio maana nimeshangaa sana jamaa kusema Endasaki ni kubaya,pale pazuri sana,hali ya hewa ni nzuri,chakula cha kutosha,mazao full time wanalima mbugani,biashara unafanya bila tatizo,totozi za kimbulu ndio usiseme!,nimekaa pale one year napajua vizuri
 
Dodoma pazuri mjini TU pale na Kondoa pale mjini vijijini hukoo ni shida kwanza kuna sehemu nilienda wanatumia maji Yale kama maziwa hivi hata kwetu Kijijini hayapo kabisaa
😁😁 sehem gn hy maana kondoa yote nimeivuruga
 
Madabadaba a.k.a Ganja Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Mkoa wa Morogoro
Kijiji kiko ndani ndani hatarii-porini,nilikutana na wasukuma(wanaDress kama wamasai+fimbo) kibao_Ni mwendo wa kisukuma...

Kwa mara ya kwanza nilikosa kushuhudia pisi za kisukuma_kila mwanamke yuko na watoto wa kutosha!
 
Ndio maana nimeshangaa sana jamaa kusema Endasaki ni kubaya,pale pazuri sana,hali ya hewa ni nzuri,chakula cha kutosha,mazao full time wanalima mbugani,biashara unafanya bila tatizo,totozi za kimbulu ndio usiseme!,nimekaa pale one year napajua vizuri
Vp hujakutana na kashikashi za misukule aka mananau
Maana endasaki na siropu wamejaa kabila la wafyomi
 
Ndio maana ukiowa mwanamke wa kirangi ni rahisi sana kuhadaika na maisha ya mjini wengi wao wanazaliwa wanakulia kwenye maisha magumu chakula chao kikubwa ni ugali na nsanza ( majani yaliyokaushwa yanakaangwa halafu unatafuna kama karanga)
Duh dadeq mkuu nsanza nazipenda sana halafu sasa upate na mpototo aisee ugali wa uwele unashuka tu
 
Kuna kijiji nilifika kutafuta ndizi biashara miaka hiyo.
Aisee ni mbali katikati ya turiani na korogwe njia ya pori kwa pori.hamna magari ni kwenda kwa baskeli tu alafu unachepuka kwenda mlimani huko nikakuta kakijiji aisee vijumba kichekesho,alafu wana mfalme wao yaani chakula wanakula woote familia zoote pale kwa mfalme.
Kila kaya inaleta ilichopika pale.
Nilikula mboga mboga mpk nilikoma.
Siku nikalogwa nikanunua kuku 2 wameniuzia wao wenyewe kaya 1 niliokuwa nakaa nikawapa wapike nikajua ntakula japo nusu aaah wakapeleka kwa mfalme kule tunakokula nikaambulia kibawa,yaani mkulu ana nyofoa kinyama anampa mtu kushoto au kulia kwake kinatumwa mpk kikufikie kila mtu kakishika
Nilikasirika sana.
umenichekesha sana hapa 😂😂😂😂
 
Ndio maana ukiowa mwanamke wa kirangi ni rahisi sana kuhadaika na maisha ya mjini wengi wao wanazaliwa wanakulia kwenye maisha magumu chakula chao kikubwa ni ugali na nsanza ( majani yaliyokaushwa yanakaangwa halafu unatafuna kama karanga)
huko si wanasema dini ndo imetamalaki balaa
 
**** kijiji Kiko meatu huko simiyu sijui Shinyanga huko hawana vyoo vya kujisaidia wao wanakunya kwenye pori jirani, Dadadadeki
 
Kakukuru kata ya mulutilima...hapo beach ya kakukuru ndio stendi ya boti nyingi za kwenda visiwani huko (last time nilienda kakukuru 2020)...Siku za kufunga makambi huko visiwani wenyewe wanaita kutegeruka hapo kakukuru usafir wa kwenda nansio inakua ni patashika
Kutegeruka😁
😁😁😁!!!!!
 
Kuna Wavidunda wanaishi juu ya milima pembeni ya Bwawa la Kidatu. Tulikwenda study tour unapita chuo cha Maafisa wa Polisi. Wao wanaahuka toka milimani ni hatari. Naambiwa Wana Mila Yao ya kubudu Moto lazima wawashe Pori mara moja Kila mwaka. Wale watu mpaka Serikali imeingia nao mkataba wa kuwasafirisha kwenda Kilombero kufuata mahitaji. Magari ya TANESCO yanawapeleka na kuwarudisha bure Kila alhamisi.
wavidunda, wana miguu iliyoota vigimbi kwa ajili ya kushuka na kupanda milima ktk harakati za kwenda kuuza maharage kule Kidatu na Ruaha.
 
Back
Top Bottom