Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Mtwara-wilaya ya newala-kijiji kinaitwa mpotola,maji ya kunywa utadhani maziwa,unaoga maji lita moja.ilikuwa mwaka 2007 hiyo,sijui kwa sasa hali ipoje huko.
 
Kutegeruka😁
😁😁😁!!!!!
Eeh mkuu,kwa wakerewe na wakara huko noma sana...Sema wana mazingira poa sana huko ukerewe misitu ya wastani.....Nilikaa mwez mmoja huko nili enjoy sana hasa samaki fresh na zile furu
 
Masagati

MASAGATI


MASAGATI.


AISEEEH NIKIRUDI KULE MNIITE MBWA NIMEKAA PALEEEEEEEEE

Unaweza hisi upo kuzimu...

Hakuna huduma muhimu kwa binadamu,watu wanakula nyama yoyote ilimradi inatoka damu,nyani,kima,ngedere, twende.....

Ngono inafanyika kama mazoezi ya viungo tu,inauzwa kama njugu,mpaka najiuliza kweli kuna UKIMWI duniani!
Hakuna barabara wala umeme wala maji salama...

Mvua ikinyesha hakuna kutoka wala kuingia
 
Mboga za majani Bora kabisa kwangu ni mlenda/ msusa , unafata mchicha , Tembele, Chinese , kabeji ,. .... mboga za majani ambazo sitaki hata kuziona ni kisamvu
Duuhhhh
 
Ndio maana ukiowa mwanamke wa kirangi ni rahisi sana kuhadaika na maisha ya mjini wengi wao wanazaliwa wanakulia kwenye maisha magumu chakula chao kikubwa ni ugali na nsanza ( majani yaliyokaushwa yanakaangwa halafu unatafuna kama karanga)
Yaani Kondoa Nako vijiji hvyo balaa tupu!!umaskini wa Hali zotee asehh
 
Masagati

MASAGATI


MASAGATI.


AISEEEH NIKIRUDI KULE MNIITE MBWA NIMEKAA PALEEEEEEEEE

Unaweza hisi upo kuzimu...

Hakuna huduma muhimu kwa binadamu,watu wanakula nyama yoyote ilimradi inatoka damu,nyani,kima,ngedere, twende.....

Ngono inafanyika kama mazoezi ya viungo tu,inauzwa kama njugu,mpaka najiuliza kweli kuna UKIMWI duniani!
Hakuna barabara wala umeme wala maji salama...

Mvua ikinyesha hakuna kutoka wala kuingia
Duuu pole saana mkuu kweli ulichoka,,😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Masagati

MASAGATI


MASAGATI.


AISEEEH NIKIRUDI KULE MNIITE MBWA NIMEKAA PALEEEEEEEEE

Unaweza hisi upo kuzimu...

Hakuna huduma muhimu kwa binadamu,watu wanakula nyama yoyote ilimradi inatoka damu,nyani,kima,ngedere, twende.....

Ngono inafanyika kama mazoezi ya viungo tu,inauzwa kama njugu,mpaka najiuliza kweli kuna UKIMWI duniani!
Hakuna barabara wala umeme wala maji salama...

Mvua ikinyesha hakuna kutoka wala kuingia

Mbususu za bure hizo ndo nzuri acha woga wewe
 
Masagati

MASAGATI


MASAGATI.


AISEEEH NIKIRUDI KULE MNIITE MBWA NIMEKAA PALEEEEEEEEE

Unaweza hisi upo kuzimu...

Hakuna huduma muhimu kwa binadamu,watu wanakula nyama yoyote ilimradi inatoka damu,nyani,kima,ngedere, twende.....

Ngono inafanyika kama mazoezi ya viungo tu,inauzwa kama njugu,mpaka najiuliza kweli kuna UKIMWI duniani!
Hakuna barabara wala umeme wala maji salama...

Mvua ikinyesha hakuna kutoka wala kuingia

Unaizungumzia Tanganyika Masagati?
 
Niliuliza kwanini mnakula mirenda na madagaa kila siku wakati mna ng'ombe na kuku wengi. Nilichojibiwa ni kwamba eti kuku na ng'ombe ni ajili ya kuuzia Watu wa dar wao ni za kulima na kutoa mahali.
Pia nilichogundua jinsi wewe wa mwanza waavyopenda samaki, bukoba wanapenda ndizi na Kaskazini nyama kama chakula chao kikuu Basi na wao Chakula chao kikuu ni mlenda yaani ukimlisha nyama au samaki siku 4 unaweza kumuua mnyaturu[emoji23]

Ugali wao ni mgumu mara elfu ya wasukuma
[emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kumuua?
 
Kuna kijiji kinaitwa Chilulumo kipo Mko songwe kwa wanyiha huko ni balaa..!! Wanakatana mapanga daily, kuna watu wana roho mbaya kishenzi. Huko ndio kulikuwa na uchunaji wa ngozi za binaadam miaka ya nyuma. Hakuna umeme, barabara mbovu.
 
Kuna kijiji kinaitwa Chilulumo kipo Mko songwe kwa wanyiha huko ni balaa..!! Wanakatana mapanga daily, kuna watu wana roho mbaya kishenzi. Huko ndio kulikuwa na uchunaji wa ngozi za binaadam miaka ya nyuma. Hakuna umeme, barabara mbovu.
Daah huku mahala ni middle of nowhere jamaa wanakunywa maji yale ya rangi ya maziwa ya kwenye mifereji. huku hata miaka elfu ipite sijui km watapata maji ya kunywa meupe
 
Kuna kijiji kinaitwa Mishamo (sijui kama nimekosea) kipo wilaya ya Tanganyika mkoa wa katavi. Nilienda kule mwaka 2018 ila hadi leo nikifumba macho nikivuta picha ya kile kijiji huwa nasema Mungu awalinde tu. Maana siku nafika nilikutana na mwalimu mmoja nikamtania hivi huku mitihani ya NECTA inafika kwa wakati au mnafanya siku mbili mbele?
 
Habari za muda huu wana JF,

Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya

Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?

Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.

Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.

Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Aisee wee jamaa kweli hujatembea kabisa! Unapashanfaaje Baranga sehemu ya matajiri wa dhahabu na mifugo.
Yaani pale ukilinganiaha na maeneo wanayotaja watu humu pale Baranga si ulaya kabisa!
 
Back
Top Bottom