Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 974
- 2,106
Sasa unasema masagati .....mbona hujafika kule Tanganyika mkuu?Masagati
MASAGATI
MASAGATI.
AISEEEH NIKIRUDI KULE MNIITE MBWA NIMEKAA PALEEEEEEEEE
Unaweza hisi upo kuzimu...
Hakuna huduma muhimu kwa binadamu,watu wanakula nyama yoyote ilimradi inatoka damu,nyani,kima,ngedere, twende.....
Ngono inafanyika kama mazoezi ya viungo tu,inauzwa kama njugu,mpaka najiuliza kweli kuna UKIMWI duniani!
Hakuna barabara wala umeme wala maji salama...
Mvua ikinyesha hakuna kutoka wala kuingia
Hii nchi waigawanye tu aisee tuna linchi likubwa mnoo.
Hyo Masagati iskieni hivyo hivyo hakuna kanisa wala msikiti😂😂😂