Wakaz
Member
- Mar 17, 2021
- 92
- 279
Uko nasikia sindo Kuna Nazi nyingi sana yaani kilimo cha Nazi uko ndo kwao.Ng'apa, Lindi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko nasikia sindo Kuna Nazi nyingi sana yaani kilimo cha Nazi uko ndo kwao.Ng'apa, Lindi!
Muongo weweUkubwa wa Tanzania ni zaidi ya nchi ya Kenya + Uganda + Rwanda + Burundi
Na Baridi linapuliza sio mchezo usipooga mchana ndio nitoleeBarabara na madaraja yao ya minazi
Ole wako uzidishe chenji Sasa.🤣😂Nilifika kijiji flani Mlimba mliman karibu na mpaka wa Wilaya ya Kilolo. Duka na genge halina muuzaji bali orodha ya bei ya kila kitu imewekwa.
Unajihudumia unachotaka unaweka hela yako na kuchukua chenji na kuondoka.
Mwaka gani huo ndgu, palikushinda town kabisa pale.Mwakaleli- Tukuyu Mbeya. Aisee baridi lilinushinda pale Mwax sec.
😂😅😅😅😅😅😄😄Kuna kijiji nilifika kutafuta ndizi biashara miaka hiyo.
Aisee ni mbali katikati ya turiani na korogwe njia ya pori kwa pori.hamna magari ni kwenda kwa baskeli tu alafu unachepuka kwenda mlimani huko nikakuta kakijiji aisee vijumba kichekesho,alafu wana mfalme wao yaani chakula wanakula woote familia zoote pale kwa mfalme.
Kila kaya inaleta ilichopika pale.
Nilikula mboga mboga mpk nilikoma.
Siku nikalogwa nikanunua kuku 2 wameniuzia wao wenyewe kaya 1 niliokuwa nakaa nikawapa wapike nikajua ntakula japo nusu aaah wakapeleka kwa mfalme kule tunakokula nikaambulia kibawa,yaani mkulu ana nyofoa kinyama anampa mtu kushoto au kulia kwake kinatumwa mpk kikufikie kila mtu kakishika
Nilikasirika sana.
Mwaka 2014 niliwahi kwenda Karagwe mkoani kagera yaani mpaka maji nishidaHabari za muda huu wana JF,
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji cha Baranga kata ya Sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndio kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu, jua kali ndio kwao, vurugu Sasa ndio chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafiki na timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa na mgogoro wa mpaka wa shamba kati ya ukoo na ukoo huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu nini?
Ulihisi hao watu walidondoka tu wakajikuta wako happo na hakukuwa na namna ya kuhama. Hatari Sana.Kijiji Cha LISAU,Halmashauri ya mbinga vijijini
🤣🤣🤣🤣Kuna kijiji nilifika kutafuta ndizi biashara miaka hiyo.
Aisee ni mbali katikati ya turiani na korogwe njia ya pori kwa pori.hamna magari ni kwenda kwa baskeli tu alafu unachepuka kwenda mlimani huko nikakuta kakijiji aisee vijumba kichekesho,alafu wana mfalme wao yaani chakula wanakula woote familia zoote pale kwa mfalme.
Kila kaya inaleta ilichopika pale.
Nilikula mboga mboga mpk nilikoma.
Siku nikalogwa nikanunua kuku 2 wameniuzia wao wenyewe kaya 1 niliokuwa nakaa nikawapa wapike nikajua ntakula japo nusu aaah wakapeleka kwa mfalme kule tunakokula nikaambulia kibawa,yaani mkulu ana nyofoa kinyama anampa mtu kushoto au kulia kwake kinatumwa mpk kikufikie kila mtu kakishika
Nilikasirika sana.
HakikaSawa. Ila mwanza sehemu kubwa ni milima na mapango. Ni Mungu tu anawalinda wanaMwanza walio wengi. Yale mawe ukiyaangalia yalivyokaa ndio utajua kuna nguvu kubwa inaulinnda ulimwengu na mabaya
Mwakaleli ndio chimbuko la Wanyakyusa wengi. Ni kuzuri mno kutokana na mandhari yake, watu wake wakarimu na wacha Mungu, hali ya hewa safi na mito mingi yenye maji safi na chemchemi kila mahali. Ni Kaanani yetu!Mwakaleli- Tukuyu Mbeya. Aisee baridi lilinushinda pale Mwax sec.
Mwakaleli haiko Tukuyu, huko ni kwingine. Iko Busokelo, mashariki mwa wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Tukuyu ni makao makuu ya wilaya ya Rungwe.Mwakaleli- Tukuyu Mbeya. Aisee baridi lilinushinda pale Mwax sec.