Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh 😂😂😂 noma sanaMakamba ana sura moja ya kijanja janja sana.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.
Lazima utakuwa jinsia Ke.... Maana Jinsia Me huwa hatuna muda wala tabia ya kuichunguza sura ya Me mwenzetu...Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
It takes one to know the other.Lazima utakuwa jinsia Ke.... Maana Jinsia Me huwa hatuna muda wala tabia ya kuichunguza sura ya Me mwenzetu...
Basi acha ushoga ndugu yangu. Au ulishaacha?It takes one to know the other.
Itakuwa umenifananisha na mtu mnaonunua wote sanitary pads ndio maana ukahisi nitakuwa wa jinsia ke kama wewe.
By the way mimi ni mwanaume na sina michezo michafu ya kufanya na wanaume wenzangu, on that note, kuwa na amani Bwana 'ako aliekuuma sana kumithilishwa na ujanja bado ni Bwana wako. Enjoy na siku njema.
watakuwa wamekuja na mapipa na madebe ya asali wanakunywa kwa kutumia maguduriaWalamba asali wamekutana
Makamba ana sura ya wale Wazee wa short cuts!!Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
Muoaji kalenga kwenye neema! Labda Kama wameowana kiarabu Mtu na binamu yake kulinda Mali za ukoo zisiende mbali!!Jamaa kaoa ama kaolewa ?
Sheikh Zuberi ???Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
Kama tunakubaliana na hako kasura, basi hata kule siasani tunapigwa tu.Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
Lakupigwa mbona lipo wazi.Kama tunakubaliana na hako kasura, basi hata siasani tunapigwa tu.