sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Mashoga nao wanatabia za kike japo ni meLazima utakuwa jinsia Ke.... Maana Jinsia Me huwa hatuna muda wala tabia ya kuichunguza sura ya Me mwenzetu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashoga nao wanatabia za kike japo ni meLazima utakuwa jinsia Ke.... Maana Jinsia Me huwa hatuna muda wala tabia ya kuichunguza sura ya Me mwenzetu...
Ndogo sana hiyo, kama uswahili mwenye jina lake anafikisha 20 to 30mln itakuwa hao, mtu mmoja 5mln niambie amealika wangapiNi kaharusi kamilioni 50 tu
yuko fasta yani,dah😅😂Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
Na baba pia aonekanagi,how?mbona huyo binti hatumuoni..
Sukuma gang walilamba sana enzi za Mwendawazimu, zamu ya wavaa kobazi hii. Kutesa kwa zamu.Lambeni tu asali ***** nyie
Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.
Hilo pozi hapo hapo kwenye picha ni kama dalali aliyemuona mtu aliemtapeli anakuja.
View attachment 2531313
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.
Hilo pozi hapo hapo kwenye picha ni kama dalali aliyemuona mtu aliemtapeli anakuja.
View attachment 2531313
ACHA chuki dhidi ya waliofanikiwaMakamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.
Hilo pozi hapo hapo kwenye picha ni kama dalali aliyemuona mtu aliemtapeli anakuja.
View attachment 2531313
sawa.ACHA chuki dhidi ya waliofanikiwa