jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Kitaalam tunaliita self-defense!!Lakupigwa mbona lipo wazi.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitaalam tunaliita self-defense!!Lakupigwa mbona lipo wazi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
Ndiyo Ukweli Ndugu ZanguUzi tayari...
Hili nalo mkalitazame
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kaoza[emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa kaoa ama kaolewa ?
Mimi nadhani kaolewa au ww unaonaje!?Jamaa kaoa ama kaolewa ?
😂😂😂😂😂😂Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
Uvaaji ungekuwa ni huo hata kwenye matukio ya kitaifa ingekuwa safi sana, ingeakisi mshikamano ...no green no yellow no red no blue
Nawaona chawa kama wote, huyo binti yake nasikia yupo TRA na bwana ake ni TRA piaUzi tayari...
Hili nalo mkalitazame
Au nasema uongo ndugu zangu?
Yaani ilikuwa hatar Kila nusu saa ni vingora tu utafikir nchi Iko vitani kama zile alarm za kule kievizo V8 zilizopaki huko nje sasa
Kumbe nao walala hoi wenzetu? Watoto wa Marais wanafanyaje kazi za kichovu kama sisi watoto wa wakulima???Nawaona chawa kama wote, huyo binti yake nasikia yupo TRA na bwana ake ni TRA pia
hahahahakama zile alarm za kule kiev
A na B yote majibuJamaa kaoa ama kaolewa ?
Mwenye nacho atazidi kuongezewa,Nawaona chawa kama wote, huyo binti yake nasikia yupo TRA na bwana ake ni TRA pia
True...anaonekana mtoto wa mjini saanaMakamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313
.Makamba ana sura moja ya kijanja janja sana, kasura kauongo ungo mwingi.
Isingekuwa siasa lazima angekuwa muuza iphone fake makumbusho au dalali tapeli tapeli hivi.View attachment 2531313