Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeeeee umekolezwa sio....😁Hatari 😀 😀 ...Watu mna masihara kweli ninyi
Huyu jamaa kaathiriwa sana na porn. Deep Pond inabidi utoe ushauri kwa vijana waweze kuji-control kwenye porn.Athari za Kuangalia sn hizi category,
1. family Taboo affair
2. Seducing my Step sis
3. Massaging step bro
4. Blowjob My Brother's BBC
5. Sleeping sis
Kama ni mtihani wewe umeenda opposite kabisa na mtihani. Jibu swali kama lilivyoulizwa, usijibu kwa kutengeneza nadharia yako nje mada.Punguza kutazama porn itakusaidia. Unachokiona kwenye Porn ni uharibifu mtupu. Ukiendelea utakuja kubaka mama au dada yako mwisho wako uwe mbaya.
The Law of Marriage Act inakataza ndugu kuoana na ni kosa kisheria. Nimesahau specific provision ila ipo sheria hiyo.
Hata bigamy na polyandry ni kosa kisheria. Hapa namaanisha ni kosa kisheria mtu aliyepo kwenye ndoa ambayo haijavunjika kuoa ama kuolewa na mtu mwingine.
Ama mwanamke mmoja kuolewa na zaidi ya mwanaume mmoja.
Bila link huu ni uongo na chai km chai zingine 😂😂😂Athari za Kuangalia sn hizi category,
1. family Taboo affair
2. Seducing my Step sis
3. Massaging step bro
4. Blowjob My Brother's BBC
5. Sleeping sis
Tunasubiri maoni yakoUna hoja muhimu! Lazima usikilizwe
Akili zako za hovyo, hakuna haja ya sheria. Utaoaje mtoto wa mama yako?Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Incest).
Maoni yangu ni kwamba usikilizweTunasubiri maoni yako
Umeuliza upumbavu mtupu. Hakuna mtihani wowote hapa zaidi ya kusoma upumbavu unaouwaza.Kama ni mtihani wewe umeenda opposite kabisa na mtihani. Jibu swali kama lilivyoulizwa, usijibu kwa kutengeneza nadharia yako nje mada.
Acha uongo wewe, kuna kitu mnatafutaSuala hapa siyo kutamani ndugu. Lengo la huu uzi ni kupeana uelewa kuhusu sheria zinazokataza mambo kama haya pamoja na utekelezaji wake.