Ni sheria zipi nchini Tanzania zinazokataza Mahusiano ya Kimapenzi kati ya ndugu?

Ni sheria zipi nchini Tanzania zinazokataza Mahusiano ya Kimapenzi kati ya ndugu?

Athari za Kuangalia sn hizi category,
1. family Taboo affair
2. Seducing my Step sis
3. Massaging step bro
4. Blowjob My Brother's BBC
5. Sleeping sis
Huyu jamaa kaathiriwa sana na porn. Deep Pond inabidi utoe ushauri kwa vijana waweze kuji-control kwenye porn.
 
Punguza kutazama porn itakusaidia. Unachokiona kwenye Porn ni uharibifu mtupu. Ukiendelea utakuja kubaka mama au dada yako mwisho wako uwe mbaya.
Kama ni mtihani wewe umeenda opposite kabisa na mtihani. Jibu swali kama lilivyoulizwa, usijibu kwa kutengeneza nadharia yako nje mada.
 
The Law of Marriage Act inakataza ndugu kuoana na ni kosa kisheria. Nimesahau specific provision ila ipo sheria hiyo.

Hata bigamy na polyandry ni kosa kisheria. Hapa namaanisha ni kosa kisheria mtu aliyepo kwenye ndoa ambayo haijavunjika kuoa ama kuolewa na mtu mwingine.

Ama mwanamke mmoja kuolewa na zaidi ya mwanaume mmoja.
 
Athari za Kuangalia sn hizi category,
1. family Taboo affair
2. Seducing my Step sis
3. Massaging step bro
4. Blowjob My Brother's BBC
5. Sleeping sis
Bila link huu ni uongo na chai km chai zingine 😂😂😂
 
Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Incest).
Akili zako za hovyo, hakuna haja ya sheria. Utaoaje mtoto wa mama yako?
 
Kosa linaitwa KUZINI NA MAHARIMU kwa mujibu wa kifungu cha 158 sura ya 16 K.A Revised Edition 2022

Ni makosa bro ukizini na maharimu wako
 
Kama ni mtihani wewe umeenda opposite kabisa na mtihani. Jibu swali kama lilivyoulizwa, usijibu kwa kutengeneza nadharia yako nje mada.
Umeuliza upumbavu mtupu. Hakuna mtihani wowote hapa zaidi ya kusoma upumbavu unaouwaza.
 
COnclusion
Binafsi naona kuwa mahusiano na ndugu ambao hawajakatazwa kwenye sheria kama vile cousins yana tija zaidi. Kwanza ni mtu ambaye mmeelekezwa na sometimes kukuzwa kwenye maadili yanayofanana. Haitachukua nguvu kubwa sana kuelekezana mambo.

Imagine mtu unaishi Arusha unaenda kuoa mtu wa Mtwara huko, kwanza historia yake kiundani huijui, mila na desturi na tamaduni za maisha mmetofautiana, hadi mje muelekezane na mkae sawa muishi pamoja ni project. Zaidi utaishia kuja kulia lia tu huku JF kuwa mke wangu mara hivi mara vile.

Hata kwenye Biblia tunaona Jacob alikimbia na kwenda kuishi kwa mjomba wake. Palepale nyumbani kwa mjomba akavuta mabinti wote wawili wa mjomba. Case closed.
 
Back
Top Bottom