Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni. Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Minaki, Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc

Je, ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni Waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.

Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Waarabu sidhanii kama walijenga shule.
 
Hizo shule tulijenga wanyamwezi wenyewe kupitia machifu wetu,yaani shule ajenge mzungu halafu imilikiwe(owned) na mwafrika,Kama wanyamwezi huwa tunajidaia hizo shule,na utawala wa unyanyembe(tabora mjini) ulichukuliwa na mwarabu baada ya kuoa kwa ntemi na kujiingiza kwenye local politics,miongoni mwa vitu vilivyomuudhi milambo Hadi kupigana nao Vita

Kumbe wewe ni mwaarabu koko wa tabora.
 
Waisilam wangejenga vipi nawao hawa kuwa watala wa nchi hii wazungu ndio waliokuwa watala kwa mgogo wa kanisa
Kabla ya wakoloni wa Kizungu kuja hapa nchini tayari Waarab walikuwa wametawala Zanzibar na Pwani ya Tanganyika kwa miaka karibu 1,000 na hata maili kumi za pwani Mjerumani aliuziwa na Sultan wa Zanzibar. Walishindwa kijenga shule au vyuo? Bado kuna pockets nyingi za nchi Waarabu walikuwepo kwa muda mrefu kama watawala kabla ya Wazungu kama vile Ujiji, Tabora, na central corridor karibu yote. Hawana cha kujitetea...
 
Kule. Kwao kulikuwa Hakuna hizo shule. Ndio waje wajenge huku.
Elimu iliyopo duniani ni ya mfumo WA Ulaya. So ndio maana walipokuja wali jenga shule ili kuuleta huku.
Watu WA MO wao alikuwa wanajua kitabu kimoja tu maisha Yao yote. Mambo ya law of motion hayakuwa muhimu Kwao hata Sasa maeneo ambayo wamejaa waislam shule sio muhimu Kwao sababu wamebeba mfumo/tamaduni ule WA kiarabu.
Kweli sehemu zenye waisilamu wengi azina wasomi bali zenye wakiristo wengi ndio zanye wasomi swali

Hiyo elimu yenu milio isoma inatunufaisha nini sisi waisilamu ambao hatukusoma?

Je huko mliko nyiyi wakiristo mnao jiita wasomi hizo shule mnajenga kwa pesa yanu na kuwalipa walimu?

Mbona sehemu zenu au mikoa yenu nyiyi wakiristo hiko hoi kama ilivio mikoa ya waisilamu ambao hawa kusoma

Maji shida dawa shida barabala shida shule hazina walimu hiyo elimu yenu mayo jisifiya nayo kila kukicha manufaa yake nn?

Kwenye nchi hii? sababu mnasomea kodi zetu sisi mnaotuita tusio soma mbona hao wakiristo wenzenu amuwadaidii kutokana na elimu yenu?

Sababu tangu kupata uhuru nyiyi ndio wasomi mlioshika nyadhifa za juu serikalini kuanzia bunge mahakama nk mbona miaka inaenda atuoni faida ya hiyo elimu yenu mnayo jisifiya nayo au kusoma na kujisifia tu?

Na kufisadi mali ya umma sababu tukiangalia namba ya mafisadi nchi hii nyiyi ndio wengi nikweli ss waisilamu hatukusoma lakini mbona maisha yenu na sisi niyale yale kwangu kukavu? nini faida ya elimu mnayo jinasibisha nayo kila siku?

Nikweli tanatuata mila mbaya ya waarabu lakini nyiyi msio fuata mila mila hizo ndio kusema mmeendelea kwa elimu yenu hiyo kuliko nchi za waarabu ambao wanafuata mila mbaya? Au chuki tu ndio inayo wasukuma?
 
Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni. Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Minaki, Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc

Je, ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni Waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.

Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Kwa akili yako ilivyo finyu unafikir hizo madrasa walizo Jenga ni Nini kama sio shule
 
Soma chemistry kwa nini imeitwa chemistry,hiyo ni taaluma iliyoanzishwa na mwarabu Kama ilivyo kwa aljebra,msome ibn Sina ujue alifanya nini!?..elimu imeanzia mashariki ya kati, Syria na Iraq,mwarabu hakuja kutawala/kufanya ukoloni hasa kwa Tanganyika,lakini,mzungu alikuja kutawala akitafuta malighafi,alihitaji matarishi wa kuwatuma,hivyo ilibidi ajenge shule ili ujifunze namna afanyavyo kazi,hakuna na lengo jingine,lakini hospitali ya ocean road ilikua shule
Muongezee na hii chuo kikongwe Zaid duniani ni alhazali kilichoko misri hiyo ni kabla marekani haijulikani duniani
 
To historia hiyo haijasema ilikua owned na African chief daughters? Nilivyoelewa mimi hiyo shule ilijengwa kwaajili ya kusoma watoto wa kike wa machief na baadae watoto wote wakike wakawa wanaruhusiwa kusoma.
Google,huyo Kuna vitu anaviacha for the sake of debate
 
Unyonyaji na ukadamizaji waliofanya waarabu wenyewe haukusaidia kujenga shule ila ulisaidia kujenga makanisa tu
Mwarabu hakupeleka manamba kwa lazima kwenye mashamba ya mikonge,pamba,kahawa,karanga nk,yeye alifuata pembe za ndovu congo
 
Waarab wametawala Zanzibar na Pwani kwa miaka karibubl 1,000 na hata maili kumi za pwani Mjerumani aliuziwa na Sultan wa Zanzibar. Walishindwa kijenga shule au vyuo? Bado kuna pockets nyingi za nchi Waarabu walikuwepo kwa mida mrefu kama watawala kabla ya Wazungu kama vile Ujiji, Tabora, na central corridor karibu yote. Hawana cha kujitetea...
Muarabu hakujenga ndio huyo mzugu nae kajengea malizetu baada ya kuiba kingi akatugaia kichache kupita misaada
 
Mwarabu hakupeleka manamba kwa lazima kwenye mashamba ya mikonge,pamba,kahawa,karanga nk,yeye alifuata pembe za ndovu congo
Ni kweli lkn alikonipeleka huko alihakikisha anajenga shule, hospitali na kanisa. Sasa kuna yule aliyeniuza kama nyanya sokoni, anitesa na kuua kabisa
 
Sasa una elimu ambayo ni ustaarabu wa kimagharibi hamna cha maana...Wao wanajielewa hawakopi ovyo kama nyie wana elimu zao Wana maisha Bomba hata maendeleo makubwa.

We Tanzania one unajiproud na nn ? Zaidi ya kuwa mjinga .

Dunia nzima Afrika ndo tunafuata elimu za wazungu coz bado hatujiwezi nenda Korea, China, Iran Wana mifumo yao tofauti na elimu zao hata kiteknolojia wako juu.
Ila mwamba ni muongo sana waarabu vyuo vinatumia mitaala ya wazungu, mfumo wa elimu Dunia kote ni WA wazungu kuanzia primary, secondary, first degree, masters na PhD ni mifumo ya wazungu kwa hiyo acha uongo
 
Sasa una elimu ambayo ni ustaarabu wa kimagharibi hamna cha maana...Wao wanajielewa hawakopi ovyo kama nyie wana elimu zao Wana maisha Bomba hata maendeleo makubwa.

We Tanzania one unajiproud na nn ? Zaidi ya kuwa mjinga .

Dunia nzima Afrika ndo tunafuata elimu za wazungu coz bado hatujiwezi nenda Korea, China, Iran Wana mifumo yao tofauti na elimu zao hata kiteknolojia wako juu.
Mfumo wa Irani wa nyuklia walicopy kutoka western, ukienda china wanatumia elimu ya magharibi, biology, physics, mathematics topics almost zote waandishi wake ni western elites

We kama unachukia elimu ya western usipeleke mtoto wako shule, sababu Tanzania elimu inayotumika ni ya western
 
Mfumo wa Irani wa nyuklia walicopy kutoka western, ukienda china wanatumia elimu ya magharibi, biology, physics, mathematics topics almost zote waandishi wake ni western elites

We kama unachukia elimu ya western usipeleke mtoto wako shule, sababu Tanzania elimu inayotumika ni ya western
Una akili kwamba sisi tunasoma kama Western mbona syllabus yetu na wala international school hazifanani na wale ndo wanafuata mfumo huo.

Sisi tunafuata ustaarabu wao wa ukoloni kwani walitupa sehemu ndogo ya elimu ndo hii tuliyonayo ila sio elimu kamili.
Jiulize zamani walichukuwa baadhi ya watu na kuwasomesha nje hata Nyerere nafikiria alisoma nje level fulani.
 
Back
Top Bottom