THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
May be wanyonge wa chato,Wanyonge wanamshukuru na kumuombea dua kila siku kwa
Serikali imara iliyozuia mgambo wahuni kuwamwagia mitaji yao..
Watumishi wa umma watamshukuru kwa lipi?miaka sita bila salary incriments,
Wamakonde watamshukuru na kumuombea kwa lipi huku amewadhulum korosho zao,
Labda huko chato,ila sisi wengine Tunashukuru mungu KWA kumpenda zaid