Ni siku 21 leo, endelea kulala salama kipenzi chetu Rais John Pombe Joseph Magufuli

Udhalimu upi?
Kwasababu kwa akili zako kila alichofanya JPM ni kibaya kaa usubirie hapohapo

Hii ndio CCM chama kubwa haina kufeli

Nasema hivi ule utawala wa kidhalimu. Kama ni miundombinu, hata Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini alifanya. Je alisifiwa kuwa alifanya mambo mazuri? Baki unajibaraguza kwa kuitaja ccm ili kujifariji. Hapa hamna mtu anaisifia ccm wala nini, bali tunafurahia utawala wa dhalimu kufutwa rasmi.
 
Mmmhhh leo sio siku ya 20? Au Siku 21 kuanzia Tar 17? Haraka ya nini? Si tulikubaliana mitano tena?


18,19,20,21,22,23,24 - Week 01
25,26,27,28,29,30,31 - Week 02
01,02,03,04,05,06,07 - Week 03
Tatizo la kihesabu tu,anzia tarehe 17 kuhesabu siku ya kwanza.
 
Mmmhhh leo sio siku ya 20? Au Siku 21 kuanzia Tar 17? Haraka ya nini? Si tulikubaliana mitano tena?


18,19,20,21,22,23,24 - Week 01
25,26,27,28,29,30,31 - Week 02
01,02,03,04,05,06,07 - Week 03
Kumbukeni siku ina masaa 48!
 
Uongozi uliopita ambao na yeye alikuwemo[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Maombolezo bado yapo kwani?!
Maisha yanaendelea mbona
Tusome kitabu cha Kumbukumbu ktk Biblia Takatifu
.....Shahidi wa Mambo Yako Ni Wewe Mwenyewe, Utakapoisikiliza sauti Yako......
 
Kiukweli kwenye korosho walibugi

Ova
 
Bahati nzuri Mungu si Ndugai atalazwa anapostahili...
 
15 tena kwa jembe letu,zile ndege alipaswa kwenda nazo ahera zinatupa faida kubwa sana mpka mabeberu wanatuonea wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…