Udhalimu upi?
Kwasababu kwa akili zako kila alichofanya JPM ni kibaya kaa usubirie hapohapo
Hii ndio CCM chama kubwa haina kufeli
Tatizo la kihesabu tu,anzia tarehe 17 kuhesabu siku ya kwanza.Mmmhhh leo sio siku ya 20? Au Siku 21 kuanzia Tar 17? Haraka ya nini? Si tulikubaliana mitano tena?
18,19,20,21,22,23,24 - Week 01
25,26,27,28,29,30,31 - Week 02
01,02,03,04,05,06,07 - Week 03
Tatizo la kihesabu tu,anzia tarehe 17 kuhesabu siku ya kwanza.
Siasa za chuki zimekwisha baada tu yah.Samia kushika nchi.Wewe mpumbavu nini tena mtu mwenyewe wa kike wewe umejiandalia wapi usituletee siasa za chuki
Kumbukeni siku ina masaa 48!Mmmhhh leo sio siku ya 20? Au Siku 21 kuanzia Tar 17? Haraka ya nini? Si tulikubaliana mitano tena?
18,19,20,21,22,23,24 - Week 01
25,26,27,28,29,30,31 - Week 02
01,02,03,04,05,06,07 - Week 03
Uongozi uliopita ambao na yeye alikuwemo[emoji848][emoji848][emoji848]Issue ya kimara iko kisiasa sana, na kutokuwajibika kwa viongozi waliokua madarakani..... mwenyewe nina watu wangu wa karibu waliothirika pia sana
Kunaweza kuwa na makosa lakini pia Kuna waliokua wakijua wakauza walionunua wakawa waathirika..... kosa kubwa lilikua kwa uongozi uliotangulia kuendelea kuuza na kuruhusu watu kuuziana na kujenga eneo la barabara
Hapana sio JIWE huyo KOKOCHANELI.Tokea kutoweka hadi kutangazwa kifo tarehe 17 hajaonekana cocochanel hadi tunajikuta tunamashaka kuwa jee alikuwa ni yeye mwenyewe mwendazake?
Yaani hakukuwa na namna kweli?Apumzike tu kwakweli, ilikua hakuna namna
Kiukweli kwenye korosho walibugiWanyonge wanamshukuru na kumuombea dua kila siku kwa
Serikali imara iliyozuia mgambo wahuni kuwamwagia mitaji yao
Reli zinatumika na wanyonge zaidi
Barabara na madaraja vimejengwa
Shule na mahospitali vimejengwa na kuboreshwa
Elimu bure
Makanisa na misikiti vimejengwa na kuboreshwa
Ametengeneza viongozi imara na wazalendo
Aliamua kuzikwa na pamoja na marehemu 😆Hivi cocochanel uko wapi?
Ali covidikaHivi cocochanel uko wapi?
Ukipona wewe inatosha utaniona mzima wa afyaHiki kichaa ulichonacho naamini kuna siku utapona na kujiona mjinga sana. Time will tell...
Sent using Jamii Forums mobile app