MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
Najenga hoja ya kuwa wakina Mbilinyi pia wanaweza tokea Songea..Mkuu hapa mbona tunamzungumzia Joseph Mbilinyi 'Sugu' na sio huyo aliekuwa waziri wa fedha.
Hawa japo majina yao yanafanana lkn ni watu wawili tofauti.
Oh ok mkuu, mimi simfahamu sana mwamba huyu zaidi ya kumsikia kupitia mziki wake enzi hizo na baadae ubunge. Kwahiyo katika hili no comment mkuu.Najenga hoja ya kuwa wakina Mbilinyi pia wanaweza tokea Songea..
Kwa issue ya Sugu namfahamu ni jirani yangu pale Sai. Wazazi wake walihamia kutokea Songea. NI WANGONI.
Wewe sio Mmbeya ya mbeya Yanakuhusu nini?By then ilikua Mbeya.... Btw Mbeya mjini si Jimbo na halmashauri vilikua upinzani ama Mbeya ipi unaongelea wewe?
Unsingiza ukabila kitsifa.Habari zenu wana JF wenzangu,
Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.
Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.
Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.
Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.
Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.
Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.
Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
Habari zenu wana JF wenzangu,
Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.
Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.
Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.
Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.
Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.
Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.
Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
Nyinyi endeleeni kuwa wana harakati, mfungwe, mtiwa vilema na wengine kuuwawa kwa faida ya wajanja wachache waliofanikiwa kuhodhi nafasi za juu na kula matunda mema ya chama.Usituletee mambo ya ukabila hapa! Au unataka kila mkoa uwe na chama chake! Pointless and rubbish post!
Habari zenu wana JF wenzangu,
Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.
Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.
Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.
Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.
Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.
Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.
Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
Nyinyi endeleeni kuwa wana harakati, mfungwe, mtiwa vilema na wengine kuuwawa kwa faida ya wajanja wachache waliofanikiwa kuhodhi nafasi za juu na kula matunda mema ya chama.
Mkuu kuanzisha chama na kufanikiwa kumiliki chawa na nyumbu kibao katika mikoa mbali mbali kama vile Mbeya, Mara, Zanzibar, Lindi nk sio kazi ndogo.
Ni akili kubwa ilitumika, tena kwa mikoa kama Mbeya au Mara ambayo ndio inajifanya ina wasomi wengi nchi hii kushikiwa akili na kina Zito ni aibu sana.
Ningekuwa wewe nisingeandika huu uzi umewavua nguo wachaga. Wachaga hawana uwezo kuongoza taasisi yoyote ya kitaifa hawana. Ndiyo maana mpaka Leo hakuna mchaga ameaniwa kuwa waziri mkuu. Anglia vyama vinavyoongozwa na wachaga vimekufa vyote. Aliyekipaisha CHADEMA ni Dr. Wilbraham Slaa iko wapi sahv wamebaki kulalamika na kutafuta mchawi. Mchawi ni Mbowe hana uwezo. Bora ungechutama siyo kwa aibu hii uliyoiandika
Watu wa Mbeya siyo wabinafsi kama watu wa Kilimanjaro na ndiyo maana SUGU kutoka kabila Wakinga akapewa Ubunge.
Tanzania ya ukabila hatuitaki Mkuu, kwani Uchaga umeifikisha wapi CHADEMA?
Ukute na wewe ni mtu wa Mbeya uliekubali kuwekewa akili yako mfukoni na mwenyekiti ambae hajui hata kijiji unachotoka achilia mbali nyumba au mtaani unaoishi. So sad!!
AlKigoma wadai vyeo gani tena na wakati tayari wanavyo kupitia ACT wazalendo? Kigoma wamejitambua mapema wakakataa kuburuzwa na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa uchwara.
Japo chama chao hakina kichwa wala miguu, lkn wamejaribu kukwepa kutumiwa kama daraja na wajanja fulan kutoka sehemu fulan. Mbeya bado hawajashtuka ndo maana wamekalia uwana harakati koko huku mapato ya ruzuku na vyeo vya juu vikielekezwa kwa wajanja wengine.
We jamaa ni mjinga sana !!
Idadi ya Wakinga pale Mbeya mjini ni significant. Sio ajabu kwa mpigiwa kura yeyote kutoka kabila la Wakinga kushinda. Wakinga wamejaa Mbeya kiidadi na kiuchumi.Watu wa Mbeya siyo wabinafsi kama watu wa Kilimanjaro na ndiyo maana SUGU kutoka kabila Wakinga akapewa Ubunge.
Tanzania ya ukabila hatuitaki Mkuu, kwani Uchaga umeifikisha wapi CHADEMA?
Yangu lini mbilinyi akawa mngoni???
Wabunge wa 2015 aliyewaleta ni Lowassa we mdumavu wa akili. Mbowe 2005 alileta impact ipi. Watanzania wenye akili wanajua aliyepaaisha CHADEMA ni Dr. Wilbroad Slaa, hata ule uchaguzi wa 2015 Dr. Slaa alijiondoa muda mfupi tu kabla ya uchaguzi aliacha chama imara sana. Alijiondoa kwasababu Dr. Slaa ni mtu wa principles huwezi kumburuza na watu wa aina yake ni wachache sana hata Tundu Lissu hana principles yoyote anaangalia maslahi siyo DoctorDr Slaa yupi kaipaisha CHADEMA?. 2015 chadema ilipata wabunge wengi na asilimia arobaini ya kura za urais Dr Slaa alikuwepo? Mpaka jimboni kwake karatu CHADEMA ilishinda ubunge Sasa nguvu yake ilikuwa wapi?.
Aliyeleta mageuzi CHADEMA ni Mbowe kwenye uchaguzi wa 2005. Kampeni zake zilivutia wengi, kwa kutumia chopa na kukusanya vijana wengi kuja CHADEMA. Pia ndie aliyebadilisha bendera ya chama na kuleta vazi la combat kwenye chama. Mbowe kapelekewa Mkuu wa Wilaya wa kumshughulikia , Mbowe kafunguliwa kesi ya ugaidi, Mbowe kabomolewa bilcanas yake, Mbowe alifugiwa akaunti zake zote na pesa kuchukuliwa, Mbowe kafukuzwa kwenye jengo la NHC ambayo ni mali yake nk. Halafu anakuja mtu ansema Mbowe Hana lolote, uwe na adabu.
Tatizo lako unaangalia mambo Kama mtoto mchanga. CHADEMA wamezuiwa kufanya siasa kwa miaka Saba na serikali ya CCM ulitegemea wajieneze kivipi?. Hata uchaguzi wenyewe ukifika figisu nyingi.
Chama kilichanzishwa na mchaga ni kimoja tu CHADEMA tena akishirikiana na msukuma wa Shinyanga Bpb Makani. NCCR-MAGEUZI na TLP vilianzishwa na watu wa makabila mengine. We nafikiri ni wale wachaga waliosomea shule ya kata umedanganywa na wachaga wenzako wakabila, mbona wamesahau kukueleza kuwa vyama vyote vinavyoongozwa na wachaga viko mahututi. Wachaga hawana sifa ya uongozi wanachoweza ni kuiibia taasisi anayoiongoza na kuifanya mali yake binafsi. Mtu kama Mbowe unaweza kusema kweli ni kiongozi? Bchi hii unasimamiwa na mfumo makini sana hawawezi kumuachia nchi kwa muhuni kama Mbowe. Angalia CHADEMA amekifanya chama chake binafsi hana mpango wa kuachia uenyekiti, eti chama cha demokrasia. Vijana wa CHADEMA hawajui hata maana ya demokrasia nini?Mkuu kuanzisha chama na kufanikiwa kumiliki chawa na nyumbu kibao katika mikoa mbali mbali kama vile Mbeya, Mara, Zanzibar, Lindi nk sio kazi ndogo.
Ni akili kubwa ilitumika, tena kwa mikoa kama Mbeya au Mara ambayo ndio inajifanya ina wasomi wengi nchi hii kushikiwa akili na kina Zito ni aibu sana.