Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Mkuu hapa mbona tunamzungumzia Joseph Mbilinyi 'Sugu' na sio huyo aliekuwa waziri wa fedha.

Hawa japo majina yao yanafanana lkn ni watu wawili tofauti.
Najenga hoja ya kuwa wakina Mbilinyi pia wanaweza tokea Songea..

Kwa issue ya Sugu namfahamu ni jirani yangu pale Sai. Wazazi wake walihamia kutokea Songea. NI WANGONI.
 
Najenga hoja ya kuwa wakina Mbilinyi pia wanaweza tokea Songea..

Kwa issue ya Sugu namfahamu ni jirani yangu pale Sai. Wazazi wake walihamia kutokea Songea. NI WANGONI.
Oh ok mkuu, mimi simfahamu sana mwamba huyu zaidi ya kumsikia kupitia mziki wake enzi hizo na baadae ubunge. Kwahiyo katika hili no comment mkuu.

Shukran kwa ufahamisho wako pia.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.

Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.

Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.

Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.

Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.

Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.

Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
Unsingiza ukabila kitsifa.
Mbeya imeanza vixuri kwa kuenzi sera za maendelei za CCM.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.

Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.

Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.

Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.

Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.

Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.

Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.

Usituletee mambo ya ukabila hapa! Au unataka kila mkoa uwe na chama chake! Pointless and rubbish post!
 
Usituletee mambo ya ukabila hapa! Au unataka kila mkoa uwe na chama chake! Pointless and rubbish post!
Nyinyi endeleeni kuwa wana harakati, mfungwe, mtiwa vilema na wengine kuuwawa kwa faida ya wajanja wachache waliofanikiwa kuhodhi nafasi za juu na kula matunda mema ya chama.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.

Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.

Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.

Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.

Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.

Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.

Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.

Punguza ukabila. Tangu lini ACT imekuwa chama Cha Kigoma?. Tangu lini Chadema kimekuwa chama Cha Kilimanjaro?. Hivi vyama vina ufuasi mkubwa nchi nzima hasa CHADEMA. Kwa Zanzibar Ni ACT.
 
Mkuu kuanzisha chama na kufanikiwa kumiliki chawa na nyumbu kibao katika mikoa mbali mbali kama vile Mbeya, Mara, Zanzibar, Lindi nk sio kazi ndogo.

Ni akili kubwa ilitumika, tena kwa mikoa kama Mbeya au Mara ambayo ndio inajifanya ina wasomi wengi nchi hii kushikiwa akili na kina Zito ni aibu sana.

Watu Kama wewe mna roho mbaya Sana. Mnapenda kugawa watanzania ili muendelee kukaa madarakani.
 
Ningekuwa wewe nisingeandika huu uzi umewavua nguo wachaga. Wachaga hawana uwezo kuongoza taasisi yoyote ya kitaifa hawana. Ndiyo maana mpaka Leo hakuna mchaga ameaniwa kuwa waziri mkuu. Anglia vyama vinavyoongozwa na wachaga vimekufa vyote. Aliyekipaisha CHADEMA ni Dr. Wilbraham Slaa iko wapi sahv wamebaki kulalamika na kutafuta mchawi. Mchawi ni Mbowe hana uwezo. Bora ungechutama siyo kwa aibu hii uliyoiandika

Dr Slaa yupi kaipaisha CHADEMA?. 2015 chadema ilipata wabunge wengi na asilimia arobaini ya kura za urais Dr Slaa alikuwepo? Mpaka jimboni kwake karatu CHADEMA ilishinda ubunge Sasa nguvu yake ilikuwa wapi?.

Aliyeleta mageuzi CHADEMA ni Mbowe kwenye uchaguzi wa 2005. Kampeni zake zilivutia wengi, kwa kutumia chopa na kukusanya vijana wengi kuja CHADEMA. Pia ndie aliyebadilisha bendera ya chama na kuleta vazi la combat kwenye chama. Mbowe kapelekewa Mkuu wa Wilaya wa kumshughulikia , Mbowe kafunguliwa kesi ya ugaidi, Mbowe kabomolewa bilcanas yake, Mbowe alifugiwa akaunti zake zote na pesa kuchukuliwa, Mbowe kafukuzwa kwenye jengo la NHC ambayo ni mali yake nk. Halafu anakuja mtu ansema Mbowe Hana lolote, uwe na adabu.

Tatizo lako unaangalia mambo Kama mtoto mchanga. CHADEMA wamezuiwa kufanya siasa kwa miaka Saba na serikali ya CCM ulitegemea wajieneze kivipi?. Hata uchaguzi wenyewe ukifika figisu nyingi.
 
Watu wa Mbeya siyo wabinafsi kama watu wa Kilimanjaro na ndiyo maana SUGU kutoka kabila Wakinga akapewa Ubunge.

Tanzania ya ukabila hatuitaki Mkuu, kwani Uchaga umeifikisha wapi CHADEMA?

Ndio silaha mliyobakia nayo. Kuchochea ukabila mshindwe kabila. Eti chadema na uchaga, roho za ajabu.
 
Ukute na wewe ni mtu wa Mbeya uliekubali kuwekewa akili yako mfukoni na mwenyekiti ambae hajui hata kijiji unachotoka achilia mbali nyumba au mtaani unaoishi. So sad!!

Furaha yako kila mtu aifuate CCM . Mbona mkoa wa Mbeya wote ni CCM inaongoza kwenye kila ngazi ila bado hujaridhika. Unataka Wana mbeya wafanyeje kwa mfano?
 
Kigoma wadai vyeo gani tena na wakati tayari wanavyo kupitia ACT wazalendo? Kigoma wamejitambua mapema wakakataa kuburuzwa na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa uchwara.
Japo chama chao hakina kichwa wala miguu, lkn wamejaribu kukwepa kutumiwa kama daraja na wajanja fulan kutoka sehemu fulan. Mbeya bado hawajashtuka ndo maana wamekalia uwana harakati koko huku mapato ya ruzuku na vyeo vya juu vikielekezwa kwa wajanja wengine.
Al

ACT ngome yake Pemba sio kigoma.
 
Watu wa Mbeya siyo wabinafsi kama watu wa Kilimanjaro na ndiyo maana SUGU kutoka kabila Wakinga akapewa Ubunge.

Tanzania ya ukabila hatuitaki Mkuu, kwani Uchaga umeifikisha wapi CHADEMA?
Idadi ya Wakinga pale Mbeya mjini ni significant. Sio ajabu kwa mpigiwa kura yeyote kutoka kabila la Wakinga kushinda. Wakinga wamejaa Mbeya kiidadi na kiuchumi.
 
Vyama vya siasa siyo vya kikabila au eneo fulani la nchi, ni vya kitaifa.
Kinachotakiwa ni malengo na sera za kuunganisha wananchi wote. Ujinga wa kuwaza kikabila na maeneo bila utaifa hautakiwi kupewa nafasi zama hizi. Hayo ni mawazo ya kijima.
 
Vipi kuhusu...
Tanga Mara Manyara Mwanza Kagera Dodoma Morogoro Singida Iringa Songea na kadhalika?
Pumbavu!
 
Dr Slaa yupi kaipaisha CHADEMA?. 2015 chadema ilipata wabunge wengi na asilimia arobaini ya kura za urais Dr Slaa alikuwepo? Mpaka jimboni kwake karatu CHADEMA ilishinda ubunge Sasa nguvu yake ilikuwa wapi?.

Aliyeleta mageuzi CHADEMA ni Mbowe kwenye uchaguzi wa 2005. Kampeni zake zilivutia wengi, kwa kutumia chopa na kukusanya vijana wengi kuja CHADEMA. Pia ndie aliyebadilisha bendera ya chama na kuleta vazi la combat kwenye chama. Mbowe kapelekewa Mkuu wa Wilaya wa kumshughulikia , Mbowe kafunguliwa kesi ya ugaidi, Mbowe kabomolewa bilcanas yake, Mbowe alifugiwa akaunti zake zote na pesa kuchukuliwa, Mbowe kafukuzwa kwenye jengo la NHC ambayo ni mali yake nk. Halafu anakuja mtu ansema Mbowe Hana lolote, uwe na adabu.

Tatizo lako unaangalia mambo Kama mtoto mchanga. CHADEMA wamezuiwa kufanya siasa kwa miaka Saba na serikali ya CCM ulitegemea wajieneze kivipi?. Hata uchaguzi wenyewe ukifika figisu nyingi.
Wabunge wa 2015 aliyewaleta ni Lowassa we mdumavu wa akili. Mbowe 2005 alileta impact ipi. Watanzania wenye akili wanajua aliyepaaisha CHADEMA ni Dr. Wilbroad Slaa, hata ule uchaguzi wa 2015 Dr. Slaa alijiondoa muda mfupi tu kabla ya uchaguzi aliacha chama imara sana. Alijiondoa kwasababu Dr. Slaa ni mtu wa principles huwezi kumburuza na watu wa aina yake ni wachache sana hata Tundu Lissu hana principles yoyote anaangalia maslahi siyo Doctor
 
Mkuu kuanzisha chama na kufanikiwa kumiliki chawa na nyumbu kibao katika mikoa mbali mbali kama vile Mbeya, Mara, Zanzibar, Lindi nk sio kazi ndogo.

Ni akili kubwa ilitumika, tena kwa mikoa kama Mbeya au Mara ambayo ndio inajifanya ina wasomi wengi nchi hii kushikiwa akili na kina Zito ni aibu sana.
Chama kilichanzishwa na mchaga ni kimoja tu CHADEMA tena akishirikiana na msukuma wa Shinyanga Bpb Makani. NCCR-MAGEUZI na TLP vilianzishwa na watu wa makabila mengine. We nafikiri ni wale wachaga waliosomea shule ya kata umedanganywa na wachaga wenzako wakabila, mbona wamesahau kukueleza kuwa vyama vyote vinavyoongozwa na wachaga viko mahututi. Wachaga hawana sifa ya uongozi wanachoweza ni kuiibia taasisi anayoiongoza na kuifanya mali yake binafsi. Mtu kama Mbowe unaweza kusema kweli ni kiongozi? Bchi hii unasimamiwa na mfumo makini sana hawawezi kumuachia nchi kwa muhuni kama Mbowe. Angalia CHADEMA amekifanya chama chake binafsi hana mpango wa kuachia uenyekiti, eti chama cha demokrasia. Vijana wa CHADEMA hawajui hata maana ya demokrasia nini?
 
Back
Top Bottom