josephmazuri
Member
- Mar 24, 2024
- 27
- 34
AmenNina siri naye Yesu, yanifanya niwe jasiri
Usioe au kuolewa??Ivi ni kitu gani kinachokufanya usione au kuolewa hadi now??
-uchumi
-umri
-hujampata wa kuendana
Au nn???
Mambo ya kimaendeleo yamekufanyaje?Mm binafsi ni mambo ya kimaendeleo huwa sipendi watu wangu wa karibu wajue.
ndo lile halipozi au sio..ππSina siri
Basi alie single jaman, pm yangu ipo wazi.Wapo single wengi tu na double wengi tu niwewe kujia nani ninani
nmekuja uko nmekukosa au nmepotea njia[emoji1495]Pm zipo wazi jamni! [emoji7]
Njoo tu mm nipo mbona?nmekuja uko nmekukosa au nmepotea njia[emoji1495]
Itakua ni wezere la kichina@LamomyAaah madame umesahau mara hii?? Si ile naniliiyu bana madame!! Unataka tumwage mchele kwenye mikuku mingi sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nmetafta kote sijakuona ukoNjoo tu mm nipo mbona?
π€£π€£π€£ unatamani kujua na hatusemi ngβooItakua ni wezere la kichina@Lamomy
Pole ila mbona sijakuona na palikua wazi kabisa! Au pm yangu haifanyi kaziπ€£nmetafta kote sijakuona uko
Hakuna siri.Wewe huwa unafunguka
... Ndo hivo hawati.Nimechekaaa.....I wish tuwaone hata kwa suraπππππ
Ivi kuvuta bangi ukiwa chooni nayo ni siri???? Kama in siri basis nawaombeni mnitunzie hii siri maana mwenzenu huwa navutia choon na hakuna MTU anaejua isipokuwa nyie
nawew utakua umepotea njia pia[emoji23]Pole ila mbona sijakuona na palikua wazi kabisa! Au pm yangu haifanyi kazi[emoji1787]
Udugu wizo anauza π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]