Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
HisenseWadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Sumsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunuwe TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Overpriced productsSio kwa sasa tu kwa kila wakati ni Lg Na Samsung tu
Unaweza kujazia nyama kidogo kwa faida ya wengi?Hisense
Hii TV niliyonayo ni Samsung HD inch 32, nilinunua laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Samsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?Sio kwa sasa tu kwa kila wakati ni Lg Na Samsung tu
Samsung, LG HisenseWadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Sumsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunuwe TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda.Unaweza kujazia nyama kidogo kwa faida ya wengi?
Lg Tv with magic remote control,Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Sumsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunuwe TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Hii magic remote INA maajabu gani?Lg Tv with magic remote control,
Kufananisha Hisense na Samsung Ni Sawa na kufananisha tecno na iPhoneHapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukkikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda
Ushachukua hatua ya kuwawajibisha hao vibaka? Au ni Mwendo wa kuwatajirisha...?Bado naendelea kusoma comments zenu ili kesho nichukuwe hatua.
HisenseWadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Sumsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunuwe TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Inafanya kazi kama remote ya kawaida na wakati huo huo kama mouse na ina mic, ukii program badala ya kuandika unaongea tu ina command.Hii magic remote INA maajabu gani?
Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.Kufananisha Hisense na Samsung Ni Sawa na kufananisha tecno na iPhone
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app