Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
- Thread starter
- #21
Nimefunga camera.Ushachukua hatua ya kuwawajibisha hao vibaka ? Au ni Mwendo wa kuwatajirisha... ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefunga camera.Ushachukua hatua ya kuwawajibisha hao vibaka ? Au ni Mwendo wa kuwatajirisha... ?
Kwani hio Smart TV Usmart wake unaishia wapi? Haiwezi kuwa Tracked Ulijaribu? Au wajanja walitumia njia mbadala...Nimefunga camera.
Sikuwa na hilo wazo, hiyo tracker ni bei gani?Kwani hio Smart TV Usmart wake unaishia wapi ? Haiwezi kuwa Tracked Ulijaribu ? Au wajanja walitumia njia mbadala...
Hapo kwako wanajua kupiga chini TV kweliHii TV niliyonayo ni Sumsung HD inch 32, nilinunuwa laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Sumsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?
Nini tofauti kati ya Google TV na Android TV?.Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Sasa wewe unaonaje umiliki techno macho matatu,Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Naendelea kusoma, ila mpaka dakika hii tatu bora ni Sumsung, LG na Hisense.Ngoja waje kukupa muongozo...
Naendelea kusoma, ila mpaka dakika hii tatu bora ni Sumsung, LG na Hisense.
Inabidi nichaguwe moja kati ya hizo.
Top brand ni SONY nlinunua android 4k TV 55 ni 1.8m lakini utapata value for money.
Mbona Hisense wengi wameisifu wewe umeitowa maana kabisa?kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.
kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m
Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.
Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.
hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.
South afrika - boksi la kaki
china - Boksi jeupe
Go for chines.
kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Sijakataa lakini kwa laki sita hadi saba Hisense hana mpinzani[emoji38][emoji38]Sasa wewe unaonaje umiliki techno macho matatu ,
Au iPhone macho matatu?
Zote zina kitu kile kile sio?
Ubora wa kitu Sio muonekano Bali ni spare zilizotumika mle.
Samsung hata fridge zake ni balaa,,tuache kujifariji na brand zingine.
LG Electonics ndy Mashindani wa Samsung kwa sasa.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Chuki tu si unajua m'bongo akishachukia kitu ndio basi tenaMbona Hisense wengi wameisifu wewe umeitowa maana kabisa?
Mkuu kama unataka rahisi basi nunuwa Hisense,,Sijakataa lakini kwa laki sita hadi saba Hisense hana mpinzani[emoji38][emoji38]
Message Sent
Google TV na Android TV, zote hizi zipo developed na Google ili zitumike kwenye smart TV. Google TV sio Android TV. Android TV inatumia Android operating system, Google TV zinatumia Chrome operating system ambayo ni Chrome tu lakini yenyewe inaoperate juu ya Linux OS.Nini tofauti kati ya Google TV na Android TV?.
Kama huna hela achana na Samsung na LG, nenda kwa Hisense, Baroda, sijui brandi gani.Overpriced products
Ziko vile vile mkuu.Hii TV niliyonayo ni Sumsung HD inch 32, nilinunuwa laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Sumsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?
Mimi tv, simu Samsung.Nina Samsung LED ya south Africa tangu 2013 hadi Leo,
Hainan shida yeyote..inapiga mzigo .
Kwangu Mimi Samsung ndy brand yangu
Kuanzia fridge, Home theatre,tv
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ni kwa sababu moja tu mkuu, value for money.Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukkikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda